Hahaha hahahaSAS kweny kubet kwa sisi vijana tunasema umeweka double chance na bado umepigwa
Najua hujanielewa ila alieomba iyo nyimbo atakua kanielewa tu labda awe ameamua kukaza ubongo
Leo mwanafunzi unadharau mwl😂😂Ujulie wapi ww[emoji3][emoji3][emoji3]
Nilijua huwez kuelewa ndo maan nikasema alieomba iyo nyimbo lazim aeleweHahaha hahaha
Hiyo ni lugha gani eti Mkuu! Najua ni kiswahili ila mbona sijakielewa eti!!
Huo wimbo memuwekea kwa mapenzi mema! Ni wimbo ambao nausikiliza kila leo bila kuchoka!
Hope ataupenda pia!
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahahaNilijua huwez kuelewa ndo maan nikasema alieomba iyo nyimbo lazim aelewe
Ni kiswahili cha kawaida sema ni maneno ya kweny vijiwe vya kubet...najua alitegemea nyimbo flani ya mapenzi ila umeleta ya dini(ni maoni yangu ya kiume haya)
NB ....nipo salama kiakili na namzidi yule aliekata uume wake ili amtumikie mungu
Tatizo imeshindwa kumpa hitaji LA roho yakeHahaha hahaha hahaha hahaha hahaha
Kumbe alitaka ya maloveee!
Aburudike na hiyo bana!
Hii hatari sana nimecheka sana hadi watu wakashangaaKwanini ndege inapaa???
Nakufananishaga na huyo kaka kwenye huo wimbo!
Sifanani na hata mmoja pale!Khaaaa... Sikuona hii reply.
So, unampenda huyo broo.
Mbona siendani nae hata kidogo.
Wewe umefanana na yupi pale?
Hapo nitakuwa nimefeli...Tatizo imeshindwa kumpa hitaji LA roho yake
Hapo nitakuwa nimefeli...
Mkeka umechanika
Kule unakobeti etiHivi nasikia mikeka kuchanika mikeka kuchanika.. huu msemo umetoka wapi?
Kule unakobeti eti
HAPANAAaah, acha kunisingizia ningekuwa nipo huko ningejua hilo neno lilipotoka.
Kumbe unabet Sakayo...
Sawa kigori.HAPANA
Sijawahi waza kubet... Nimeona huyo Mkuu huko juu kasema mambo ya kubeti thy!
Unanisingizia jamaniSawa kigori.
Unanisingizia jamani
Hizo hisia zakooo, utavuna mabua![emoji3][emoji3] sikusingizii mpenzi. Hisia zangu zinaniambia wewe kigori eti.
Hizo hisia zakooo, utavuna mabua!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sawa tu niko tayari nitamla hata nyani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muone kwanza!!!
Tunaharibu uzi wa kakangu wa faida bana!