Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #181
Sina mda huu, act zangu zote nimeziacha ofisiniWeka hapa hiyo unayoiita current
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina mda huu, act zangu zote nimeziacha ofisiniWeka hapa hiyo unayoiita current
Kufungisha haikulazimu uwe mwalimuMimi sio mwalimu
Unaijuwa mpwayungu?We jamaa ni teacher..?? Kwa nature ya mpwayungu ilivo huwezi kua Ulisoma tofauti na ualimu
Heeee kumbe ni kijana mdogo hivyoKiufupi nilizaliwa kijiji cha mpwayungu Kata ya mpwayungu tarafa ya mpwayungu iliyoko wilaya ya chamwino mkoani dodoma mwaka 1997. Tupo watatu ktk Familia yetu wawili wasichana na mimi ni mtoto WA kiume pekee ktk familia yetu.
Kijiji cha mpwayungu kimepakana na vijiji kadhaa Kwa upande wa mashariki kimepakana na kalenga, upande wa magharibi kimepakana na huzi, upande wa kaskazini kimepakana na kijiji cha Nagulo na upande wa kusini kimepakana na Nghambaku
Asante [emoji120]
Sema ukweliSina mda huu, act zangu zote nimeziacha ofisini
Tuko na vitoto humu.alafu vibishi na vijuaji balaa.Kumbe wewe ni sawa na mtoto wangu. Naye kazaliwa 1997
Aaahaah
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mnawaza kutrombwa tu.
Nani anataka uti zenu?
Halafu ni MUONGOKwasabau ni CHOKO
Mtag aje 😅😅😅😅Eti acts!!
Hakuna recent court ruling inayofuta hivyo vifungu
Aache uongo
Dont judge others that wayTuko na vitoto humu.alafu vibishi na vijuaji balaa.
Kama kweli basi ni mwanasheria nawaonea huruma hao anaowawakilisha mahakamaniMtag aje 😅😅😅😅
Nimeulizwa swali nikajibu kulingana na ufahamu wangu na maoni yangu binafsi. Kwahiyo ukiulizwa unawapenda wazungu ukijibu ndio tayari na wewe ni mzungu?Kwasabau ni CHOKO
AaaahahaDont judge others that way
hata wewe ni kitoto kwa mzee FaizaFoxy
Respect is a tiny thing but can build roofs
1997
Yaani wewe pichu siwez kukuvulia just in case
Aisee1997
Yaani wewe pichu siwez kukuvulia just in case
1.Nini maana ya mpwayungu.?Nimebambikiwa
Duh, hujui kitu Kaa kimya kwani mahakama ndoinafanya ammendment ya sheria za makosa ya jinai [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eti acts!!
Hakuna recent court ruling inayofuta hivyo vifungu
Aache uongo
Kumbe mbwe mbwe zote ni wewe ni wale wale 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Story ni ndefu, nikija kuitoa wote mtanipa pole, anyway ipo siku nitaweka wazi [emoji120]
Huelewi hata unachoandika, kwani court ruling ni nini au unaropoka tu. Act ammendment inafanywa na court????Sema ukweli
Hakuna hicho Wala ruling ya hivi karibuni inayofuta kile kifungu Cha 154
Mwanasheria wa wapi alikimbia Lindi kutafuta shule ya kufundisha? Amelala pale Mbagala sana kwa mama ntilie. Amshukuru sana jamaa aliyesema imeisha hiyoooKama kweli basi ni mwanasheria nawaonea huruma hao anaowawakilisha mahakamani