reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3]umeona eehhhWe jamaa ni teacher..?? Kwa nature ya mpwayungu ilivo huwezi kua Ulisoma tofauti na ualimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3]umeona eehhhWe jamaa ni teacher..?? Kwa nature ya mpwayungu ilivo huwezi kua Ulisoma tofauti na ualimu
Mbona anaukataa sasa!!?Kwao kasoma yeye tu na ni Mwalimu
😅😅😅😅anapotezaga memory 🤣🤣🤣🤣Kaka yake yupi huyo wakati amesema ana dada wawili!?
Kule mirembe tutampoteza, na vile anataka kuwa mwanamke huko watamgeuza chakula 🥑Tutakuwa tumemsaidia,hata akitushinda Mirembe siyo mbali
Anaugulia maumivu sada aende wapI na alifeli!Mbona anaukataa sasa!!?
Enzi hizo Kwa mtu aliyezaliwa mwaka 1997 ni zipi?Nimefika huko Enzi hizo nasoma iringa likizo zote nilikuwa naenda Kwa mashkaji zangu mbeya
Wee...dogo nani niamkie asee...we unazaliwa mi Niko shule nisingesoma ningekuzaa kabisa bwamdogo!!!Upo sahihi dogo
Shida ya shemeji yangu mpwayungu village anadanganya humuhumu tena Kwa maandishi tena humuhumu jf😅😅😅😅anapotezaga memory 🤣🤣🤣🤣
Heshima kwakoKumbe wewe ni sawa na mtoto wangu. Naye kazaliwa 1997
Kuna watu hawamjui ndio wanamteteaShida ya shemeji yangu mpwayungu village anadanganya humuhumu tena Kwa maandishi tena humuhumu jf
Siku zote ogopa teknolojia na Mungu
Tunamuandama Kwa kuwa anajaribu kuishi Misha ambayo Hana na kibaya zaidi ukosefu wake anaufidia Kwa kuwatemea nyongo walimu
Akitaka amani aachane na walimu
1997 nipo la pili miye pale Makurumla mwembechai kabla haijabadilishwa kuwa Mwalimu Nyerere Primary School mwaka 1999 baada ya kifo Cha Baba wa TaifaWee...dogo nani niamkie asee...we unazaliwa mi Niko shule nisingesoma ningekuzaa kabisa bwamdogo!!!
Kuna watu wanalea ujingaKuna watu hawamjui ndio wanamtetea
Ana stress huyu wa kumpuuza Bure TUAnavyowachukia wenye taaluma yako sasa[emoji23]
Itoshe kusema wewe ni muongo.Olevo nimesoma Dr salmin, advance nimesoma ifunda(PCM) chuo nimesoma Udom na udsm bachelor of science in physics na law respectively
2016 mkuuEnzi hizo Kwa mtu aliyezaliwa mwaka 1997 ni zipi?
Mpwayungu ni distance kidogo na hizi mvua hizi km una gari ndogo ikirudu gereji....barabara mbovu kuanzia mpunguzi Mpk huko kwao kote hakuna lami kabisaaNipo DODOMA mkuu ataje shule niende sasa hivi[emoji28][emoji28][emoji28]
Mimi sio mwalimu, kujua aina za samaki sio Kwa mvuvi tuMpwayangu kwasababu unaelewa mambo mengi ya walimu, inaonekana wewe ni mwalimu na haujapata ajira, maana hadi mishahara yao unaifahamu