Niulizeni swali lolote lile kuhusu mimi, leo nipo tayari hata kufichua identification

Niulizeni swali lolote lile kuhusu mimi, leo nipo tayari hata kufichua identification

😅😅😅😅anapotezaga memory 🤣🤣🤣🤣
Shida ya shemeji yangu mpwayungu village anadanganya humuhumu tena Kwa maandishi tena humuhumu jf

Siku zote ogopa teknolojia na Mungu

Tunamuandama Kwa kuwa anajaribu kuishi Misha ambayo Hana na kibaya zaidi ukosefu wake anaufidia Kwa kuwatemea nyongo walimu

Akitaka amani aachane na walimu
 
Shida ya shemeji yangu mpwayungu village anadanganya humuhumu tena Kwa maandishi tena humuhumu jf

Siku zote ogopa teknolojia na Mungu

Tunamuandama Kwa kuwa anajaribu kuishi Misha ambayo Hana na kibaya zaidi ukosefu wake anaufidia Kwa kuwatemea nyongo walimu

Akitaka amani aachane na walimu
Kuna watu hawamjui ndio wanamtetea
 
Anavyowachukia wenye taaluma yako sasa[emoji23]
Ana stress huyu wa kumpuuza Bure TU
Kwanza anedanganya kasoma Degree mbili na ana 26yrs Kwa nature ya elimu ya bongo na maishaa ya kwao wagogo mtoto anaanza shule na miaka 8 Hadi 10,nilikua naenda minadani huko kote alikokutaja unakutana na vitoto Ile school age wao wanauza chakula ,mbuzi n.k
Mtoto wa miaka Tisa std one
Mpk mpk amalize advance miaka 20 hukooo hapo haya hizo degree mbili kamaliza lini jamani
May be kama Ndo anamaliza this year
 
Back
Top Bottom