Niulizeni swali lolote lile kuhusu mimi, leo nipo tayari hata kufichua identification

Nimeweka mafuta ya 50k nipe muongozo tu nipi wa babaake😂😂😂😂😂
 
huyu mtoto MpwayunguLicious 🏳️‍🌈🏳️‍🌈
Kwa mlio soma Cuba na Russia mtakua mnazidi kumuelewa sasa jinsi anavyo jieleza uki connect dots... Huyu mtoto hasara tupu anahitaji msaada wa kisaikolojia... Ni vile yupo kwenye balehe na mbaya zaidi upinde... ila msihofu ipo siku atajisahau ataweka kilakitu hadharani na mtamjua nje ndani...
 

Tupe lD yako halisi
 
Mkuu unahimili vip hisia zako unapo waponda walimu , pale wanaporudisha mapigo kama kukuita shoga ? 2. Wakati unaandika ule uzi wako wakutaman kupata fursa wazopata wanawake , je hukufahamu walimu watautafsiri kivingne na kutumia kama silaha ya kukumaliza? 3 na unakabiliana vipi na hilo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…