Niuluze chochote kuhusu utapeli

Niuluze chochote kuhusu utapeli

Kabla ya urapeli wa waganga ngoja nieleze huu wa kijinga
1. Watu wenye shida kubwa kama wagonjwa na mafukara
2. Watu wenye uchu wa mafanikio ya haraka.

Leo nitaelezea aina ya utapeli inaitwa 'kenge mweusi' huu ni utapeli ambao umelenga kukusanya sadaka toka kwa watu wenye akili finyu kama za kenge weusi wanaofikiri pesa inatafutwa kizembe, sasa hawa huandaliwa ndowano ambayo inawekewa chambo ili kuwavuta.

Mfano. Tapeli hutengeneza website au app ya kutoa mikopo kwa riba nafuu yaani unakuta tangazo linasepa kopa laki 5 kwa miezi 6, riba elfu 3 na miatano. Sasa kenge nyeusi zikiona hivi zinaclick na kujaza fomu kwenye fomu kunakuwa na sehemu ya namba ya simu.

Baada ya kusubmit, tapeli anapiga simu kukujulisha kuwa wamepokea fomu ya maombi na ndani ya nusu saa mzigo utasoma ila uutumie vizuri na ukifanya marejesho vizuri kiwango kitapanda zaidi, na unaweza kukopeshwa vitu vikubwa zaidi.

Baada ya muda unapigiwa simu ya pili na mdada anayesema yuko bank (ile uliyojaza) na kukufahamisha kuwa kuna fedha zimeingia kwenye acc yako ila wamezihold hivyo uende tawi lolote la karibu au utume 5000 ili wa activate zisome bila wewe kwenda.

Ndo umesha tapeliwa kenge wewe.
Akili kubwa.
 
Utapeli wa Dark web unafahamu na vp card zake zinafanya kazi
Usijaribu kununua card kule na kufanyia manunuzi, 1. Zitafanya kazi ila watakudaka kama panzi. Wengi hutumia kadi hizo kununua vitu amazon mfano na unaweka address yako na namba ya simu, hapo unadakwa kenge wewe. Huo uhalifu unaovuka mipaka unashughulikiwa na interpol sio hawa wakwetu wanao fukuzana na bodaboda kila kukicha.
 
utapeli wa kutemeshwa nywele mdomoni huwa ni uchawi au ?

unamkuta babu anauliza directions kisha mwengine anatokea kukusihi mumsindikize, automatically unajikuta unawafata, huko mnakoenda unatemeshwa nywele ..

ulivuma sana miaka ya 2000
 
Usijaribu kununua card kule na kufanyia manunuzi, 1. Zitafanya kazi ila watakudaka kama panzi. Wengi hutumia kadi hizo kununua vitu amazon mfano na unaweka address yako na namba ya simu, hapo unadakwa kenge wewe. Huo uhalifu unaovuka mipaka unashughulikiwa na interpol sio hawa wakwetu wanao fukuzana na bodaboda kila kukicha.
Kwamba ntadakwa, nataka ninunue nilipe services mfano Upwork 🤣🤣🤣
 
Boss la DP World niko hapa kujibu maswali yako. Nimekunja 4 hapa kwenye ofisi yangu ya kifahari najizungusha zungusha kwenye kiti changu wakati nikifikiri kuhusiana na michongo ya kuongeza ukwasi wangu kupitia watu wa Africa na rasilimali zao.

Karibuni.

Kwanini tunawapa waarabu watutunzie misitu yetu? Wenyewe wanafanya dili la kuuza carbon credit kupitia misitu yetu wanatupa 10%. Kwanini tusingefanya wenyewe?
 
Boss la DP World niko hapa kujibu maswali yako. Nimekunja 4 hapa kwenye ofisi yangu ya kifahari najizungusha zungusha kwenye kiti changu wakati nikifikiri kuhusiana na michongo ya kuongeza ukwasi wangu kupitia watu wa Africa na rasilimali zao.

Karibuni.
Tunaweza vipi kuitapeli ATC kuna mchongo lile aibus lina dili Congo....yaani bonge la dili ya kufa ntu.
Karibu
 
Boss la DP World niko hapa kujibu maswali yako. Nimekunja 4 hapa kwenye ofisi yangu ya kifahari najizungusha zungusha kwenye kiti changu wakati nikifikiri kuhusiana na michongo ya kuongeza ukwasi wangu kupitia watu wa Africa na rasilimali zao.

Karibuni.

Rais wa Tanzania kazi yake ni nini? Utalii? Royal tour, kupiga misele?

Bunge la Tanzania kazi yake ni nini?

Kwanini hatuwezi kujenga matundu ya vyoo bila mikopo?

Kwanini maji ni tatizo nchi hii?

Majambazi, majangili, mafisadi walioko serikalini tuwafanyaje?
 
Hii ni kwa ajili ya carbon trading
Soma hapo kuhusu vitu ambavyo haviko sawa
 
Tunaweza vipi kuitapeli ATC kuna mchongo lile aibus lina dili Congo....yaani bonge la dili ya kufa ntu.
Karibu
Nenda ulaya, tafuta mzungu yeyote asiye na mbele wala nyuma mlete, mvalishe suti na tai, mpe briefcase aende kukutana na waziri wa uwekezaji hapo utapewa shirika lote bure, utumie documents za shirika kukopa kwenye banki za nje halafu unaiachia serikali deni, unamlipa mzungu asepe nawewe unabaki na salio refu, ATC inabaki na deni. Chadema wanabaki na hoja ya kisiasa.
 
Rais wa Tanzania kazi yake ni nini? Utalii? Royal tour, kupiga misele?

Bunge la Tanzania kazi yake ni nini?

Kwanini hatuwezi kujenga matundu ya vyoo bila mikopo?

Kwanini maji ni tatizo nchi hii?

Majambazi, majangili, mafisadi walioko serikalini tuwafanyaje?
Mimi kama Boss la DP World sioni shida kwa wote ulio wataja maana wana roho nzuri ndomaana wamenipa bandari bure. Nawewe nenda kaombe jengo la bunge ufugie kuku.
 
Boss la DP World niko hapa kujibu maswali yako. Nimekunja 4 hapa kwenye ofisi yangu ya kifahari najizungusha zungusha kwenye kiti changu wakati nikifikiri kuhusiana na michongo ya kuongeza ukwasi wangu kupitia watu wa Africa na rasilimali zao.

Karibuni.
Inakuaje unaambiwa ukachukue kadi ya benki ukatoe hela ukabidhi matapeli.. baada ya dakika ndio unajitambua kuwa nimeibiwa.
 
Inakuaje unaambiwa ukachukue kadi ya benki ukatoe hela ukabidhi matapeli.. baada ya dakika ndio unajitambua kuwa nimeibiwa.
Hiyo dawa inafanya kazi kwa mtu aliye kula/kuliwa ndani ya siku 7 kama wewe sio mzinzi huwezi ibiwa kwa dawa hii.
 
Back
Top Bottom