Niwaaminishe vipi watu kuwa mimi sijawahi na sivuti Bangi?

Niwaaminishe vipi watu kuwa mimi sijawahi na sivuti Bangi?

Wanaovuta bangi kiukweli ni watu ambao huwezi kufikiri lakini bangi wakati mwingine haitaki fujo wala stress.
Hapa umepatia....

Nina mifano mingi sanaa ya watu walio kua smart Ila waka haribikiwa kweny MAISHA

Baada ya kuvuta kupita kiasi jumlisha stress na fujo.
 
Sasa bangi inahalalishwa na inatajwa kama dawa ..na ishaanza kuwa kama sigara au better kuliko sigara.

Wewe why unaogopa kuonekana unavuta?

Advantage yake watu wakikuhisi unavuta hawakuletei upuuzi ovyo ovyo

Wanajua utawavutia uwakomeshe
Siogopi na sipendi na wala sijawahi vuta,
Kitu sifanyi kwanini mtu anitangazie jamani
 
Vuta hadharani mara ya mwisho halafu usivute tena. Ili waweke kumbukumbu upya kwamba kuanzia 2021 huvuti Tena ng'oo
Mara ya mwisho kwani mara ya kwanza nilivutia wap
 
Unifundishe nini mkuu
images (4).jpeg
 
Bunge la marekani [ congress] limepitisha muswada kuhalalisha ganja!! Ukiwa Washington DC unalipuliza tu ukiwa barabarani hakuna wa kukubugudhi!!! Waswahili tuliwekewa hizi sheria za kupiga marufuku GANJA kwa faida ya watawala wetu na sisi mpaka hivi leo bado tunazikazia bila kuzifanyia utafiti wa kina!!! GANJA is a multibillion dollar industry; ni fursa ambayo nchi zenye watu welevu wanaitumia optimally!
JE unajua kuwa makampuni yanayojihusisha na GANJA yako listed kwenye New York stock Exchange?
 
Waache waamini hivyo,..mimi Hadi mke hataki kuniamini kuwa sivuti bangi,..Mana macho mda wote Ni mekundu
 
Mzee Warioba mwenyewe tunakula naye mashashi hana noma na mtu alafu wewe unawaza walimwengu ambao hawanywi hata bia ni walokole kabisa ila wanasengenya january mpaka december/

Kwani hii dunia yetu kidela??
 
Jamani hili jambo linanisikitisha na linaninyima raha hadi sasa.

Ni hivi miaka ya nyuma kidogo wakati nasoma nilianza kufuga Rasta hadi namaliza chuo nipo na Rasta zangu ndefu tu.

Nipo Nimeingia kitaa baada tu ya kutoka chuo nikaamua nipunguze wingi wa zile Rasta, yaani niwe na Rasta tano tu kichwani kwa hiyo ikabidi niunge unge zile Rasta kichwani ili zitoke tano, lengo la kufanya hivyo ni kupunguza wingi wa kuwa na rasta nyingi maana nilikuwa na Msitu haswa wa rasta.

Kwa hiyo nikawa na mikonga mitano ya nywele.

Miaka imepita nikaja kunyoa zile nywele kutokana sababu flani flani hivi. Basi baada ya hapo nakuja kutana na watu tofauti tofauti wa mtaani na wa familia wananipongeza kwa kukata nywele maana wanaambiwa nilikuwa mvutaji hodari wa bangišŸ¤”šŸ¤”.

Leo kuna mtu tuliwahi fanya nae kazi enzi hizo nimekutana nae akaniambia hongera Bushmamy naamini sasa hivi huvuti mibangi yako kama zamani, nikamuuliza ushawahi niona navuta hiyo mibangi akasema ameambiwa hivyo ila yeye hajawahi niona.

Japo niliapa pale Kuwa ukweli wa Mungu sijawahi vuta Bangi lakini naona hakuamini na wala sikuhangaika naye maana silali na sili kwake ili nilitaka ajue kuwa watu wanajua kusema uongo.

Hata wazazi wangu hadi leo wanaamini hadi sasa napuliza.

Jamani kweli hiyo kitu. Sijawahi fanya kabisa nivip naweza waaminisha kuwa sijawahi hata shika hiyo kitu na mkono wangu, au niwapotezee?
Tatizo hizi si tamaduni za wabongo mnapaswa kuishi kwa kuzingatia mazingira na tamaduni zilizopo.
 
Huwezi ishi kwa kuprove kwa kila mtu kuhusu mashaka waliyonayo juu yako..binadamu hatuna jema

Fanya yako
 
Back
Top Bottom