Niwaaminishe vipi watu kuwa mimi sijawahi na sivuti Bangi?

Niwaaminishe vipi watu kuwa mimi sijawahi na sivuti Bangi?

Relax,Wala usisikilize maneno yao fanya yako,maneno mengi yatasemwa na makwazo hayana budi kuja.narudia Tena Relax, Relax,Hebu mwenye nyimbo ya Good luck Gozibert_Mungu hapokei rushwa na wimbo mwingine wa Good luck Gozibart_kumbe ni hao hao.na ule hauwezi kushindana na mwadamu mwenye kinywa aturushie jamvini humu ili tumburudishe ndugu yetu huyu.Relax.[emoji1241]
 
Ukijifananisha na wavuta bangi utaitwa mvuta bangi..ukijifananisha na Makahaba utaitwa kahaba..
Ukijifananisha na walokole utaitwa mlokole..

Ukijifananisha na Watu Fulani hiyo ndo identity yako...
POLE WEWE ENDELEA NA MAISHA YAKO...huwezi badilisha mawazo yao haraka.
 
Bangi Jamani inapoteza Watu....Inaharibu maisha, Inaharibu Akili...

Mh
Kuna siku nilikua napiga story na mchungaji wa dhehebu Moja.....

Kuhusu uvutaji wa bangi....Nikamwambia nina Rafiki yangu tangu yupo primary alianza kuvuta

Mpaka muda huu tuna zungumza yupo kwenye taasisi serikalini kupitia yeye nilipata mtazamo tofauti na bangi....

Yupo smart kichwani...yupo cool...pia Ni mstarabu sanaa...katika jamii hakuna hata mmoja ambae anamdhania kua jamaa anapuliza msuba....

Nikamwambia mchungaji huyu jamaa Ni mtu wa watu yupo peace Sana hana tatizo na mtu...

Mchungaji alicho nijibu akasema kweny uvutaji bangi mtu anaweza akawa mwema machoni pa watu akauficha uovu kweny macho ya watu...

Akasema bila shaka uvutaji wa bangi hauto iacha akili salama...
 
Ukikitia akilini hicho kitu kitakusumbua sana wewe waache tu.Wataujua ukweli tu wenyewe
 
Jamani hili jambo linanisikitisha na linaninyima raha hadi sasa.

Ni hivi miaka ya nyuma kidogo wakati nasoma nilianza kufuga Rasta hadi namaliza chuo nipo na Rasta zangu ndefu tu.

Nipo Nimeingia kitaa baada tu ya kutoka chuo nikaamua nipunguze wingi wa zile Rasta, yaani niwe na Rasta tano tu kichwani kwa hiyo ikabidi niunge unge zile Rasta kichwani ili zitoke tano, lengo la kufanya hivyo ni kupunguza wingi wa kuwa na rasta nyingi maana nilikuwa na Msitu haswa wa rasta.

Kwa hiyo nikawa na mikonga mitano ya nywele.

Miaka imepita nikaja kunyoa zile nywele kutokana sababu flani flani hivi. Basi baada ya hapo nakuja kutana na watu tofauti tofauti wa mtaani na wa familia wananipongeza kwa kukata nywele maana wanaambiwa nilikuwa mvutaji hodari wa bangi🤔🤔.

Leo kuna mtu tuliwahi fanya nae kazi enzi hizo nimekutana nae akaniambia hongera Bushmamy naamini sasa hivi huvuti mibangi yako kama zamani, nikamuuliza ushawahi niona navuta hiyo mibangi akasema ameambiwa hivyo ila yeye hajawahi niona.

Japo niliapa pale Kuwa ukweli wa Mungu sijawahi vuta Bangi lakini naona hakuamini na wala sikuhangaika naye maana silali na sili kwake ili nilitaka ajue kuwa watu wanajua kusema uongo.

Hata wazazi wangu hadi leo wanaamini hadi sasa napuliza.

Jamani kweli hiyo kitu. Sijawahi fanya kabisa nivip naweza waaminisha kuwa sijawahi hata shika hiyo kitu na mkono wangu, au niwapotezee?
muonekano wako nd uliwa aminisha unavuta kutokana n kunyoa rasta na kuziacha tano kichwani waka amini unatumia bangi ila kweny ay Maisha fata mambo yako usiskilize ya wengine watakupoteza mda tu
 
muonekano wako nd uliwa aminisha unavuta kutokana n kunyoa rasta na kuziacha tano kichwani waka amini unatumia bangi ila kweny ay Maisha fata mambo yako usiskilize ya wengine watakupoteza mda tu
Sikunyoa bali niliziunga unga zikawa nene,
Sahivi nimenyoa, na uzee ndo huo namalizia uzee wangu taratibu
 
Ukijifananisha na wavuta bangi utaitwa mvuta bangi..ukijifananisha na Makahaba utaitwa kahaba..
Ukijifananisha na walokole utaitwa mlokole..

Ukijifananisha na Watu Fulani hiyo ndo identity yako...
POLE WEWE ENDELEA NA MAISHA YAKO...huwezi badilisha mawazo yao haraka.
Nafikiri ni Ile Dhana kuwa marasta ni wavuta bangi, enzi hizo marasi hatukuwa wengi kama ilivo sasa
 
Ukitaka waamini hauvuti hakikisha kila asubuhi uwe unajitolea kufanya kazi za kijamii kama kumwagilia nguzo za umeme mtaani kwenu maana zimekauka sana, au futa futa vumbi kwenye vibao vinavyo elekeza shule/zahanati ilipo mtaani kwenu

Kwa wema huo watajua tu uvuti maana wavutaji hawawezi kujitolea kufanya kazi za kijamii
 
Kuna siku nilikua napiga story na mchungaji wa dhehebu Moja.....

Kuhusu uvutaji wa bangi....Nikamwambia nina Rafiki yangu tangu yupo primary alianza kuvuta

Mpaka muda huu tuna zungumza yupo kwenye taasisi serikalini kupitia yeye nilipata mtazamo tofauti na bangi....

Yupo smart kichwani...yupo cool...pia Ni mstarabu sanaa...katika jamii hakuna hata mmoja ambae anamdhania kua jamaa anapuliza msuba....

Nikamwambia mchungaji huyu jamaa Ni mtu wa watu yupo peace Sana hana tatizo na mtu...

Mchungaji alicho nijibu akasema kweny uvutaji bangi mtu anaweza akawa mwema machoni pa watu akauficha uovu kweny macho ya watu...

Akasema bila shaka uvutaji wa bangi hauto iacha akili salama...
Mkuu... Usione Watu wanasifia Bangi Ukasema Ni Jambo zuri...Watu wamepoteza muelekeo wa maisha yao, Wamelazwa Mirembe ...nahawajawai kupata kupona ..wanakuwa wakutumia Dawa.


Watu walikua smart shuleni wakavuta bangi wakapotea Kabisaa..

Hao wachahe wanao isifia bangi eti Ni natural wasitiliwe maanani.
 
Nafikiri ni Ile Dhana kuwa marasta ni wavuta bangi, enzi hizo marasi hatukuwa wengi kama ilivo sasa
Saiv hujasikia wavaa vikuku wanaitwa makahaba sijui wakawa Tigo je Ni KWELI?
Wasuka nywele wanaume wanaitwa wasaniii...

Huwezi fanya Mambo ambayo yanafanywa na jamii Fulani alafu wakikuhusisha na Tabia za jamii hiyo unakasiKITIKA.

Huwezi vaa mahirizi alafu ukiambiwa mshirikina Ukasema hapana Mimi nimevaa TU..

KOSA LAKI NI KUJINASIBISHA NA MAMBO AMBAYO WANAFANYA WAVUTA BANGI.
 
Nafikiri ni Ile Dhana kuwa marasta ni wavuta bangi, enzi hizo marasi hatukuwa wengi kama ilivo sasa
Hata hao marasi wasaiv... Wanahusishwa na bangi... Kuna rasi mmoja mtaani Kwetu hapa anabodaboda... Anavaa mavazi ya kijamaika...na mavazi yenye picha za bangi...
So tunaMuona MVUTA BANGI..
 
Uvutaji wa bangi huhusishwa sana na ufugaji wa rasta, ni kama vile uvaaji wa vikuku na nanilii...




Cc: mahondaw
 
Ndo shida ya wabongo kuamin ni ngumu sana...
huku kwetu masela wamekataa kumuamin dada wa watu kuwa ni bikra kisa ana mtoto mmoja...
 
Daaah pole Sana....

Hao hawawajui wavuta BANGE....wanaongea hisia...wanaongea YANAYOWAJIA VICHWANI....

Bange haijifichi....iko PEUPEE...

1.Midomo Myeusi tofauti na kipindi Cha nyuma..we unayo?
2.Viganja na vidole vyeusi(kwa Moshi na moto wa vyaukucha)..uko hivyo?!!!
3.Macho mekundu baada ya BLAZE...we uko hivyo?!!!
4."kusizi" Sana na maongezi machache baada ya BLAZE...we uko hivyo?!!!

Rasta ni STYLE tu ya nywele.....

Wala si kila MNYOA KIPARA huwa havuti KIJITI....

Peace

Mkuu kiupande fulani uko sawa kiupande mwingine hapana..
1. Sio kila mvuta bangi lazima awe na lips nyeusi / kuungua lips.. kuna wavuta sigara wameungua midomo pia na kuna wavuta bangi wana zaidi ya miaka 10 wanavuta na lips hazijabadilika

2. Viganja na vidole vyeusi labda, nachojua juu ya vidole hasa gumba huwa kunakuwa brown hvi au rangi ya unjano njano flani na wengine huoni kabisa

3. Macho mekundu hapo kweli kabisa

4. Pia inategemeana na hisia zitakupeleka wapi kwani kila stick huwa ina hisia zake mkuu, utafurahi, utanuna, utawaza sana, utacheka n.k kutegemeana na hisia zitakupeleka wapi (as they say weed ni hisia)

Mvuta bangi mzoefu huwezi mkamata / mjua kwa simple ways kama hizi..

Jaribu kuangalia katikati chini ya lip ya chini je kumetuna / kuvimba hivi [emoji16], nmeishi nao sana mtaani chuo n.k nawajua vizuri and it is very easy to know kuwa mtu fulani anasmoke jani..

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kiupande fulani uko sawa kiupande mwingine hapana..
1. Sio kila mvuta bangi lazima awe na lips nyeusi / kuungua lips.. kuna wavuta sigara wameungua midomo pia na kuna wavuta bangi wana zaidi ya miaka 10 wanavuta na lips hazijabadilika

2. Viganja na vidole vyeusi labda, nachojua juu ya vidole hasa gumba huwa kunakuwa brown hvi au rangi ya unjano njano flani na wengine huoni kabisa

3. Macho mekundu hapo kweli kabisa

4. Pia inategemeana na hisia zitakupeleka wapi kwani kila stick huwa ina hisia zake mkuu, utafurahi, utanuna, utawaza sana, utacheka n.k kutegemeana na hisia zitakupeleka wapi (as they say weed ni hisia)

Mvuta bangi mzoefu huwezi mkamata / mjua kwa simple ways kama hizi..

Jaribu kuangalia katikati chini ya lip ya chini je kumetuna / kuvimba hivi [emoji16], nmeishi nao sana mtaani chuo n.k nawajua vizuri and it is very easy to know kuwa mtu fulani anasmoke jani..

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
👍
 
Back
Top Bottom