Bangi Jamani inapoteza Watu....Inaharibu maisha, Inaharibu Akili...Hapa umepatia....
Nina mifano mingi sanaa ya watu walio kua smart Ila waka haribikiwa kweny MAISHA
Baada ya kuvuta kupita kiasi jumlisha stress na fujo.
Kuna siku nilikua napiga story na mchungaji wa dhehebu Moja.....Bangi Jamani inapoteza Watu....Inaharibu maisha, Inaharibu Akili...
Mh
strong point do what you loveHuwezi kuwaridhisha binadamu wote, fanya maisha yako usijali sana kuhusu watu wansema nini au wanakuchukulia vipi, as long unajumuika na jamii vizuri na unatenda matendo mema
The rest yasikusumbue sana
muonekano wako nd uliwa aminisha unavuta kutokana n kunyoa rasta na kuziacha tano kichwani waka amini unatumia bangi ila kweny ay Maisha fata mambo yako usiskilize ya wengine watakupoteza mda tuJamani hili jambo linanisikitisha na linaninyima raha hadi sasa.
Ni hivi miaka ya nyuma kidogo wakati nasoma nilianza kufuga Rasta hadi namaliza chuo nipo na Rasta zangu ndefu tu.
Nipo Nimeingia kitaa baada tu ya kutoka chuo nikaamua nipunguze wingi wa zile Rasta, yaani niwe na Rasta tano tu kichwani kwa hiyo ikabidi niunge unge zile Rasta kichwani ili zitoke tano, lengo la kufanya hivyo ni kupunguza wingi wa kuwa na rasta nyingi maana nilikuwa na Msitu haswa wa rasta.
Kwa hiyo nikawa na mikonga mitano ya nywele.
Miaka imepita nikaja kunyoa zile nywele kutokana sababu flani flani hivi. Basi baada ya hapo nakuja kutana na watu tofauti tofauti wa mtaani na wa familia wananipongeza kwa kukata nywele maana wanaambiwa nilikuwa mvutaji hodari wa bangi🤔🤔.
Leo kuna mtu tuliwahi fanya nae kazi enzi hizo nimekutana nae akaniambia hongera Bushmamy naamini sasa hivi huvuti mibangi yako kama zamani, nikamuuliza ushawahi niona navuta hiyo mibangi akasema ameambiwa hivyo ila yeye hajawahi niona.
Japo niliapa pale Kuwa ukweli wa Mungu sijawahi vuta Bangi lakini naona hakuamini na wala sikuhangaika naye maana silali na sili kwake ili nilitaka ajue kuwa watu wanajua kusema uongo.
Hata wazazi wangu hadi leo wanaamini hadi sasa napuliza.
Jamani kweli hiyo kitu. Sijawahi fanya kabisa nivip naweza waaminisha kuwa sijawahi hata shika hiyo kitu na mkono wangu, au niwapotezee?
Sikunyoa bali niliziunga unga zikawa nene,muonekano wako nd uliwa aminisha unavuta kutokana n kunyoa rasta na kuziacha tano kichwani waka amini unatumia bangi ila kweny ay Maisha fata mambo yako usiskilize ya wengine watakupoteza mda tu
Nafikiri ni Ile Dhana kuwa marasta ni wavuta bangi, enzi hizo marasi hatukuwa wengi kama ilivo sasaUkijifananisha na wavuta bangi utaitwa mvuta bangi..ukijifananisha na Makahaba utaitwa kahaba..
Ukijifananisha na walokole utaitwa mlokole..
Ukijifananisha na Watu Fulani hiyo ndo identity yako...
POLE WEWE ENDELEA NA MAISHA YAKO...huwezi badilisha mawazo yao haraka.
Mkuu... Usione Watu wanasifia Bangi Ukasema Ni Jambo zuri...Watu wamepoteza muelekeo wa maisha yao, Wamelazwa Mirembe ...nahawajawai kupata kupona ..wanakuwa wakutumia Dawa.Kuna siku nilikua napiga story na mchungaji wa dhehebu Moja.....
Kuhusu uvutaji wa bangi....Nikamwambia nina Rafiki yangu tangu yupo primary alianza kuvuta
Mpaka muda huu tuna zungumza yupo kwenye taasisi serikalini kupitia yeye nilipata mtazamo tofauti na bangi....
Yupo smart kichwani...yupo cool...pia Ni mstarabu sanaa...katika jamii hakuna hata mmoja ambae anamdhania kua jamaa anapuliza msuba....
Nikamwambia mchungaji huyu jamaa Ni mtu wa watu yupo peace Sana hana tatizo na mtu...
Mchungaji alicho nijibu akasema kweny uvutaji bangi mtu anaweza akawa mwema machoni pa watu akauficha uovu kweny macho ya watu...
Akasema bila shaka uvutaji wa bangi hauto iacha akili salama...
Saiv hujasikia wavaa vikuku wanaitwa makahaba sijui wakawa Tigo je Ni KWELI?Nafikiri ni Ile Dhana kuwa marasta ni wavuta bangi, enzi hizo marasi hatukuwa wengi kama ilivo sasa
Hata hao marasi wasaiv... Wanahusishwa na bangi... Kuna rasi mmoja mtaani Kwetu hapa anabodaboda... Anavaa mavazi ya kijamaika...na mavazi yenye picha za bangi...Nafikiri ni Ile Dhana kuwa marasta ni wavuta bangi, enzi hizo marasi hatukuwa wengi kama ilivo sasa
Daaah pole Sana....
Hao hawawajui wavuta BANGE....wanaongea hisia...wanaongea YANAYOWAJIA VICHWANI....
Bange haijifichi....iko PEUPEE...
1.Midomo Myeusi tofauti na kipindi Cha nyuma..we unayo?
2.Viganja na vidole vyeusi(kwa Moshi na moto wa vyaukucha)..uko hivyo?!!!
3.Macho mekundu baada ya BLAZE...we uko hivyo?!!!
4."kusizi" Sana na maongezi machache baada ya BLAZE...we uko hivyo?!!!
Rasta ni STYLE tu ya nywele.....
Wala si kila MNYOA KIPARA huwa havuti KIJITI....
Peace
Agreed [emoji1666]Namba 1 na 2 sio kweli....kuna watu wanatumia na midomo yao sio myeusi na kuna watu hawatumii midomo yao Ni meusi .....kuna msemo wa kizungu unasema Don't Judge Book by it's cover....
👍Mkuu kiupande fulani uko sawa kiupande mwingine hapana..
1. Sio kila mvuta bangi lazima awe na lips nyeusi / kuungua lips.. kuna wavuta sigara wameungua midomo pia na kuna wavuta bangi wana zaidi ya miaka 10 wanavuta na lips hazijabadilika
2. Viganja na vidole vyeusi labda, nachojua juu ya vidole hasa gumba huwa kunakuwa brown hvi au rangi ya unjano njano flani na wengine huoni kabisa
3. Macho mekundu hapo kweli kabisa
4. Pia inategemeana na hisia zitakupeleka wapi kwani kila stick huwa ina hisia zake mkuu, utafurahi, utanuna, utawaza sana, utacheka n.k kutegemeana na hisia zitakupeleka wapi (as they say weed ni hisia)
Mvuta bangi mzoefu huwezi mkamata / mjua kwa simple ways kama hizi..
Jaribu kuangalia katikati chini ya lip ya chini je kumetuna / kuvimba hivi [emoji16], nmeishi nao sana mtaani chuo n.k nawajua vizuri and it is very easy to know kuwa mtu fulani anasmoke jani..
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app