Niwajibu nini Ukweni? Yaani jibu ambalo litatosha na liwe la haki hata kama litawakera ila liwe la haki.

Niwajibu nini Ukweni? Yaani jibu ambalo litatosha na liwe la haki hata kama litawakera ila liwe la haki.

Nimesoma story yote nimelima sana mbona ukweni wanaroho mbaya kiasi hiki na kwaniniwakufanyie hivyo?

Nakushauri usijinyonge vumilia tu ukikua utaacha kuandika gazeti leefu lisilokuwa na maana yyte.

Nimesoma Hadi pale uliposema hotcak ya mjini sijui daslma
Ingekuwa fupi mngesema hamuielewi kuna vipande vimerukwa
 
Ajabu wanakosoa history yangu kabisa wakati nimewaomba ushauri badala wasubiri nimalizie ndio wanipe jibu la kuwapa ukweni wao wanakomalia ndefu.
Shusha vitu tupo kutimiza kusudio lako.
 
Nakuaminia halafu unaniangusha kizembe hivyo? Ushaanza kuzeeka nini?
Habari ina mambo mengi mnooooo
Mama anataka uoe, unakaa geto na mshkaji, mara mshikaji anahama, humo humo umeandika lugha ya kihuni sana kama unaongea na washkaji zako tu wakati hapa unetuandikia na sisi wazee....

Habari haina mpangilio kiukweli inachosha kusoma mi nmeshindwa waandikie wanaoweza watakushauri
 
Back
Top Bottom