Sonko Bibo
JF-Expert Member
- May 24, 2019
- 957
- 1,493
- Thread starter
- #21
Mkuu kipande cha pili ndicho kinamalizia mkasa wangu huu kuwa na subira.Hii ni habari na hoja mchanganyiko.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kipande cha pili ndicho kinamalizia mkasa wangu huu kuwa na subira.Hii ni habari na hoja mchanganyiko.....
Mimi hata sielewi ,ndio nipo gongo ya buku tano hapaUshauri kwenye nini? Nimesoma habari na hoja mchanganyiko.....
Unaweka maelezo mengi mengine hayana umuhimu. Inachosha kusoma...Huko unakoenda ni wapi mpenz?
Naona ina mchanganyiko zaidi kuliko hata habari yenyewe na hoja.Hii ni habari na hoja mchanganyiko.....
Hiyo ni miaka ya nyuma nyuma huko mkuu but wait utaelewa tuDuh, ndefu sana. Sina cha kukushauri maana hata sijui imeishaje.
Ila 23yrs bado mdogo mno kukimbilia ndoa.
Mkuu labda tuma voice note, mi nmechoka kusomaMkuu kipande cha pili ndicho kinamalizia mkasa wangu huu kuwa na subira.
Nilitaka nikufuate ila ulipofika hapo kwenye kukojoa nimeghairi aisee.Unaweka maelezo mengi mengine hayana umuhimu. Inachosha kusoma...
Naenda kukojoa
Nakuaminia halafu unaniangusha kizembe hivyo? Ushaanza kuzeeka nini?Mkuu labda tuma voice note, mi nmechoka kusoma
Mkuu,isome yote halafu ututengenezee Audio sisi wavivu wa kusoma makala ndefu.Mimi hata sielewi ,ndio nipo gongo ya buku tano hapa
Ingekuwa fupi mngesema hamuielewi kuna vipande vimerukwaNimesoma story yote nimelima sana mbona ukweni wanaroho mbaya kiasi hiki na kwaniniwakufanyie hivyo?
Nakushauri usijinyonge vumilia tu ukikua utaacha kuandika gazeti leefu lisilokuwa na maana yyte.
Nimesoma Hadi pale uliposema hotcak ya mjini sijui daslma
Ajabu wanakosoa history yangu kabisa wakati nimewaomba ushauri badala wasubiri nimalizie ndio wanipe jibu la kuwapa ukweni wao wanakomalia ndefu.Shusha vitu achana na wakosoaji hawa wa kila kitu.
Niko hapa kusubiri part ya pili
Shusha vitu tupo kutimiza kusudio lako.Ajabu wanakosoa history yangu kabisa wakati nimewaomba ushauri badala wasubiri nimalizie ndio wanipe jibu la kuwapa ukweni wao wanakomalia ndefu.
NakaziaShusha vitu achana na wakosoaji hawa wa kila kitu.
Habari ina mambo mengi mnoooooNakuaminia halafu unaniangusha kizembe hivyo? Ushaanza kuzeeka nini?
Mkuu labda tuma voice note, mi nmechoka kusoma