kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
- Thread starter
-
- #21
Hawa viumbe hawakuumbwa na mioyo kama ya wanaume hawa viumbe ni wabinafsi sana pata tu picha ndogo mwaume anaweza kuishi na mwanamke asiye na kazi na asiye na kitu lakini hali ni tofauti kwao hawawezi kabisa kuishi na mwanaume asiye na kitu hawa malalamiko yatakuwa kila sehemuHuu mwezi wanawake sijui mmemzingua nini, maada hizi mada hadi #KataaNdoa tumebaki midomo wazi.
Malawi walifanikiwa kumto yule Mama na sasa ni shwari. Hata Maandiko yanasema,Mungu alimweka mwanamke ili awe msaidizi wa Mwanaume na siyo vinginevyo.Tena lazima tuchukue hatu haraka
Kina mama wana majukumu yao kwa mujibu wa uumbwaji wao na hiyo ni kwa viumbe wa kike wote duniani nashangaa kiumbe binadamu anataka kubadili uhalisiaMalawi walifanikiwa kumto yule Mama na sasa ni shwari. Hata Maandiko yanasema,Mungu alimweka mwanamke ili awe msaidizi wa Mwanaume na siyo vinginevyo.
Na anaetaka kubadili tumchunguze,lazima atakuwa na maslahi binafsi.Kina mama wana majukumu yao kwa mujibu wa uumbwaji wao na hiyo ni kwa viumbe wa kike wote duniani nashangaa kiumbe binadamu anataka kubadili uhalisia
Nashangaa wanaume wazima na ndeke zao eti wanashadadia wanawake kuwa juu yaoNa anaetaka kubadili tumchunguze,lazima atakuwa na maslahi binafsi.
Hizi nyuzi sasa zinatisha.Kuna wanaume nawashangaa sana unakuta baba zima limesimamisha kitambi na ndeke zake lina wasemea wanawake utadhani na lenyewe limama, mara ooh! Kuwe na 50 kwa 50 mara ooh! haki sawa, halafu ukilitizama ni jibaba zima kabisa lenye mwili na sijui kuhusu akili
Niwaambie tu ukweli hapa baada ya kuwapambania hao wanawake na wakafika wanapo pataka na wakashika hatamu basi kibao kitageuka na kitageuka haswaa na hapo ndipo mtakapo ziona rangi halisi kabisa za hawa viumbe na ndipo mtakapo jua kwanini mungu aliwapa majukumu yao na wanaume wakapewa majukumu yao
Endeleeni kulazimisha usiku uwe mchana.
Haha......walizoea Kataa ndoa mnazodolewa.....mmepata team nyingineHuu mwezi wanawake sijui mmemzingua nini, maada hizi mada hadi #KataaNdoa tumebaki midomo wazi.
Ndio nashangaa hata mimi kijiweni kwetu hapa tuna piga kazi hakuna mwanamke hata mmoja akija leo kesho analalamika kazi gumu anaacha anakula mbio sasa hiyo haki sawa unajiuliza wanamaanisha kwenye kugawana mirathi tuSelf-control kila kitu Kwa kias
Pia hizi harakati za kuwakomboa wanawake zimekaa kisiasa tu maaana wanawake 90% bado ni omba-omba.
Sasa si wawaache wanawake wajipambanie wenyewe ? Sasa mwanaume mzima na ndeke zake nayeye anatetea haki za wanawakeMwanaume haihitaji kutetewa.
Huyo sio mwanaume
Wanawake wanapenda umbea ndio tabia yao kwa asili. But mwisho wa CCM ni 2025 kwenye sanduku la kuraKibao ndio kimeshageuka kama alivyotabiri Shehe Yahya Baada ya Nyota ya Mwanaume kukatizwa itatawala Nyota ya kike hadi CCM itapotoka madarakani
kwani ina muda sasa kutoka madarakani si swala la muda na kwa sasa marekani ameshaonyeshwa nn atachota kwahyo fisiemu wakileta ujuaji wanashushwa cia wanaharibu mambo alafu nchi inaliwa kivingine ni muda tuKibao ndio kimeshageuka kama alivyotabiri Shehe Yahya Baada ya Nyota ya Mwanaume kukatizwa itatawala Nyota ya kike hadi CCM itapotoka madarakani
Ndio maana tuna peana tahadhari maana tunaona hata kwa majibu haya nyie viumbe mlivyoMaji mtaita mma
🤣🤣🤣🤒Ndio maana tuna peana tahadhari maana tunaona hata kwa majibu haya nyie viumbe mlivyo