mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 704
- 2,435
DahUnaeza lipa lote na wakaendelea kukufyeka Tulia tu 2025 mbona kesho tu apo
Your a class of 2014 kwenye ajira!!Ipo hivi, mimi ni Mtumishi wa Serikali idara elimu, daraja langu ni E, nakatwa kiasi cha laki Moja na elfu arobain na nane mia tano (148,500/) kwa kila mwezi kama malipo ya deni la Bodi ya Mkopo.
Kwa sasa nikisoma deni langu kupitia salary slip ni millioni tatu na nusu. Katika mazungumzo yangu na mwajiriwa wa serikali leo kaniambia anashukuru kamaliza deni la bodi na kanishauri na mimi nifanye mpango wa either kuuza deni ama kuwalipa bank in a lump sum.
Ukitazama hii pesa iliyobaki tafsri ni bodi watanikata hadi 2025, nimebaki njia panda. Ipi njia nzuri na salama ya kumaliza haya makato kwa ushauri wako?
Pleasure/euphoria or ego. Najaribu kusoma subconscious mind yako na sio conscious mind ambayo unaongea. Ila Hapa una ego plus euphoria ndizo zimekusuma kuandika hichi ulichoandika.Nilipata boom kwa miaka minne tena in USD na sijawahi kukatwa hilo deni hata siku moja na sitakuja kukatwa,ni mgao wangu wa kuuzwa kwa Bandari yetu
CHOKO wewePleasure/euphoria or ego. Najaribu kusoma subconscious mind yako na sio conscious mind ambayo unaongea. Ila Hapa una ego plus euphoria ndizo zimekusuma kuandika hichi ulichoandika.
CHOKO wewePleasure/euphoria or ego. Najaribu kusoma subconscious mind yako na sio conscious mind ambayo unaongea. Ila Hapa una ego plus euphoria ndizo zimekusuma kuandika hichi ulichoandika.
Walimu Mnaishi Kwa manyanyaso saanaIpo hivi, mimi ni Mtumishi wa Serikali idara elimu, daraja langu ni E, nakatwa kiasi cha laki Moja na elfu arobain na nane mia tano (148,500/) kwa kila mwezi kama malipo ya deni la Bodi ya Mkopo.
Kwa sasa nikisoma deni langu kupitia salary slip ni millioni tatu na nusu. Katika mazungumzo yangu na mwajiriwa wa serikali leo kaniambia anashukuru kamaliza deni la bodi na kanishauri na mimi nifanye mpango wa either kuuza deni ama kuwalipa bank in a lump sum.
Ukitazama hii pesa iliyobaki tafsri ni bodi watanikata hadi 2025, nimebaki njia panda. Ipi njia nzuri na salama ya kumaliza haya makato kwa ushauri wako?
Ndio 2014Your a class of 2014 kwenye ajira!!
Sasa hapo nanyanyasika nini, Nina uwezo wa kulipa Hilo deni, na kweli nilisoma kupitia mkopo Sasa ni lazima nilipe IWalimu Mnaishi Kwa manyanyaso saana
Yatapita kila jambo lina mwanzo na mwishoHongera mwezetu upo kwenye ajira hata sijui nikushauri nn,, maana natamani huko ulipo
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
I can see arrogance taking place in your subconscious mind.CHOKO wewe
Usiwe unaongea bahati zako kuwa na akili ya kutunza SiriNilipata boom kwa miaka minne tena in USD na sijawahi kukatwa hilo deni hata siku moja na sitakuja kukatwa,ni mgao wangu wa kuuzwa kwa Bandari yetu