Niwalipe au niuze deni la Bodi ya Mikopo?

Niwalipe au niuze deni la Bodi ya Mikopo?

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Ipo hivi, mimi ni Mtumishi wa Serikali idara elimu, daraja langu ni E, nakatwa kiasi cha laki Moja na elfu arobain na nane mia tano (148,500/) kwa kila mwezi kama malipo ya deni la Bodi ya Mkopo.

Kwa sasa nikisoma deni langu kupitia salary slip ni millioni tatu na nusu. Katika mazungumzo yangu na mwajiriwa wa serikali leo kaniambia anashukuru kamaliza deni la bodi na kanishauri na mimi nifanye mpango wa either kuuza deni ama kuwalipa bank in a lump sum.

Ukitazama hii pesa iliyobaki tafsri ni bodi watanikata hadi 2025, nimebaki njia panda. Ipi njia nzuri na salama ya kumaliza haya makato kwa ushauri wako?
 
Hakuna bank yenye riba ndogo zaidi ya bodi ya mikopo. Hivyo utalipa zaidi huko bank.

Lengo la kuuza deni huwa ni kukuwezesha kukopa zaidi bank, lakini ujue kuwa overall utalipa fedha nyingi zaidi. Kama hauna haraka na mikopo ya bank endelea kulipa taratibu huku ukimwombea Mheshimiwa SSH afya njema.
 
Sikushauri kabisa kuuza, kwani ukiachana na kulipa Bank ni waizi sana kuhusu mikopo yao wanachokisema na wanachokupa hasa kuhusu riba yao dah ni nyoko sana hawa watu..mwana komaa ulipe mwenyewe hilo deni na utakuwa Poa mnooo ..mie nimemalizana nao mwaka huu mwanzoni sitaki kabisa [emoji1666]
 
Ipo hivi, mimi ni Mtumishi wa Serikali idara elimu, daraja langu ni E, nakatwa kiasi cha laki Moja na elfu arobain na nane mia tano (148,500/) kwa kila mwezi kama malipo ya deni la Bodi ya Mkopo.

Kwa sasa nikisoma deni langu kupitia salary slip ni millioni tatu na nusu. Katika mazungumzo yangu na mwajiriwa wa serikali leo kaniambia anashukuru kamaliza deni la bodi na kanishauri na mimi nifanye mpango wa either kuuza deni ama kuwalipa bank in a lump sum.

Ukitazama hii pesa iliyobaki tafsri ni bodi watanikata hadi 2025, nimebaki njia panda. Ipi njia nzuri na salama ya kumaliza haya makato kwa ushauri wako?
Your a class of 2014 kwenye ajira!!
 
Nilipata boom kwa miaka minne tena in USD na sijawahi kukatwa hilo deni hata siku moja na sitakuja kukatwa,ni mgao wangu wa kuuzwa kwa Bandari yetu
Pleasure/euphoria or ego. Najaribu kusoma subconscious mind yako na sio conscious mind ambayo unaongea. Ila Hapa una ego plus euphoria ndizo zimekusuma kuandika hichi ulichoandika.
 
Ipo hivi, mimi ni Mtumishi wa Serikali idara elimu, daraja langu ni E, nakatwa kiasi cha laki Moja na elfu arobain na nane mia tano (148,500/) kwa kila mwezi kama malipo ya deni la Bodi ya Mkopo.

Kwa sasa nikisoma deni langu kupitia salary slip ni millioni tatu na nusu. Katika mazungumzo yangu na mwajiriwa wa serikali leo kaniambia anashukuru kamaliza deni la bodi na kanishauri na mimi nifanye mpango wa either kuuza deni ama kuwalipa bank in a lump sum.

Ukitazama hii pesa iliyobaki tafsri ni bodi watanikata hadi 2025, nimebaki njia panda. Ipi njia nzuri na salama ya kumaliza haya makato kwa ushauri wako?
Walimu Mnaishi Kwa manyanyaso saana
 
Back
Top Bottom