mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 704
- 2,435
Ipo hivi, mimi ni Mtumishi wa Serikali idara elimu, daraja langu ni E, nakatwa kiasi cha laki Moja na elfu arobain na nane mia tano (148,500/) kwa kila mwezi kama malipo ya deni la Bodi ya Mkopo.
Kwa sasa nikisoma deni langu kupitia salary slip ni millioni tatu na nusu. Katika mazungumzo yangu na mwajiriwa wa serikali leo kaniambia anashukuru kamaliza deni la bodi na kanishauri na mimi nifanye mpango wa either kuuza deni ama kuwalipa bank in a lump sum.
Ukitazama hii pesa iliyobaki tafsri ni bodi watanikata hadi 2025, nimebaki njia panda. Ipi njia nzuri na salama ya kumaliza haya makato kwa ushauri wako?
Kwa sasa nikisoma deni langu kupitia salary slip ni millioni tatu na nusu. Katika mazungumzo yangu na mwajiriwa wa serikali leo kaniambia anashukuru kamaliza deni la bodi na kanishauri na mimi nifanye mpango wa either kuuza deni ama kuwalipa bank in a lump sum.
Ukitazama hii pesa iliyobaki tafsri ni bodi watanikata hadi 2025, nimebaki njia panda. Ipi njia nzuri na salama ya kumaliza haya makato kwa ushauri wako?