Niwasimulie kisa cha Babu yangu aliyekuwa kama baba yangu

Mwakatumbula alikuwa ni neighbor ....yeye aliitwa Mwammbungu chief
Mhh..mbona inasemekana hinaya yake ni kuanzia tukuyu mjini ya SASA mpaka kule kwenye kiwanda cha gesi kurudi mpaka kule kwenye chemi chemi za maji Moto na milima yenye ziwa katikati...sijui kunaitwaje kule
 
To yeye

Hii story mbona ngumu kusoma kiswahili chake hlf we ni mwalimu dah mpk nachoka aisee
 
Mhh..mbona inasemekana hinaya yake ni kuanzia tukuyu mjini ya SASA mpaka kule kwenye kiwanda cha gesi kurudi mpaka kule kwenye chemi chemi za maji Moto na milima yenye ziwa katikati...sijui kunaitwaje kule
Kama kwa sasa,kipindi hicho alikuwa yeye,alivyokufa alikufa na yake limebaki jina mwambungu
 
Nimeanza haya ya kwanza tu sijaelewa kitu dah maendeleo hayan chama
 

❀️ Nimekumind,sasa mbona hujanimbia siku zote hizo πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Ahsante Watu8
Leka unjhwegho,

Isagha kusofu kuno tulambalale, fula imyenda ,kwela pakitala imbombo jhande.
"Kwela pakitala". Panda kitandani.

Kumbe ni lugha inaingiliana na kingoni
 
Karibia asilimia 75 ya wabongo wamelelewa na mzazi mmoja....


Wanaume mishumaa yetu kazi yake ni kumulika matundu Tu, nyuki wakitoka tunduni tunawakimbia walelewe na mizinga mingine ili wasitungate
 
Sijui nini kimeandikwa..ila niseme tu
Naungana na wachangiaji huko juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…