sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Kuna watu wanakula mahindi ya kuchoma jioni kwa kuburidisha vinywa lakini kwa mwengine ni kwajili ya kuokoa maisha, njaa isikie tu.
Kuna kipindi njaa ilinipiga kwa siku inayokaribia ya pili bila kuweka chochote tumboni, nililegea sana ila nilijifanya nina nguvu nisichekwe na wenzangu, Nimeshakopa sana sina kwa kukopa na nimeshaomba sana, watu washanijua uchumi wangu upo mahututi.
kuna banda la karibu wanauzaga chips nilifika pale wakiwa wanafunga, nilichukua rambo fasta fasta nilibeba kabeji ile iliyokatwa katwa nikatoka nduki fastaaa..... Huo ndio ukawa msosi wangu na nikashiba.
Kuna kipindi njaa ilinipiga kwa siku inayokaribia ya pili bila kuweka chochote tumboni, nililegea sana ila nilijifanya nina nguvu nisichekwe na wenzangu, Nimeshakopa sana sina kwa kukopa na nimeshaomba sana, watu washanijua uchumi wangu upo mahututi.
kuna banda la karibu wanauzaga chips nilifika pale wakiwa wanafunga, nilichukua rambo fasta fasta nilibeba kabeji ile iliyokatwa katwa nikatoka nduki fastaaa..... Huo ndio ukawa msosi wangu na nikashiba.