The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
- Thread starter
-
- #101
Wewe na sukuma gang wenzako ndio kutwa kucha kuanzisha vi thread uchwara kuponda Serikali..Tafuta pesa ndugu Vyakula vipo tu hata nje ya nchi vitakuja tu kupitia wafanyabiashara wao uangalia gap wapi kuna mahitaji achana na mambo ya misimu. Kariakoo matunda yote mwaka mzima unapata bila kujali msimu toka hadi nje ya nchi.
Sure mwaka jana mda km huu uku nilipo mahindi debe kijijini ilikua 2500-3000 hila now uko kijijini ni 7000- 8000. Na hakuna dalili za kushuka. Mwaka huu na mwanzoni mwa mwaka 2023 kutakua na njaa kali sanaChakula kichache sana..maeneo mengi wamevuna kidogo..bado chakula kina toka nje ya nchi..unategemea nini kama sio kuanza kwa kelele za njaa kwa wananchi.
Inshu sio bei inshu ni chakula kichache mwaka huu.
#MaendeleoHayanaChama
Sasa kama serikali imeachia mipaka si ndo vizuri hata msimu usipokuwa mzuri chakula si kitatoka njeWewe na sukuma gang wenzako ndio kutwa kucha kuanzisha vi thread uchwara kuponda Serikali..
Mwendazake alikuwa anafunga mipaka wakulima wakaishia kulia hovyo ..
Saizi Serikali imeachia biashara huru mazo yamepanda mumeanza kulinganisha bei wakati huo huo hamtaki Serikali izuie mazo kuuzwa nje kwa kisingizio cha kusema tafuta pesa.
Msije kuanza kumlaumu Samia kwamba Bei zimepanda maana mna midomo Sana nyie.
Mwaka jana mbolea ilikuwa 35,000 -60,000Sure mwaka jana mda km huu uku nilipo mahindi debe kijijini ilikua 2500-3000 hila now uko kijijini ni 7000- 8000. Na hakuna dalili za kushuka. Mwaka huu na mwanzoni mwa mwaka 2023 kutakua na njaa kali sana
Jamani acheni roho mbaya.mnadhani wakulima wa nchi hii lini watapata nafuuu???mbolea wamenunua kwa bei kubwa mnooo halafu Leo ati wauze kwa bei ndogo.mipaka ifungwe ili wauze kwa bei kiduchu.dah plz ushindwe mtoa postHabari za mida..
Kuna dalili za njaa mwaka ujao kutokana na Hali ya ukame inayoendelea Nchini kwa sasa.
Sio jambo la kawaida kwa mwezi huu wa disemba mikoa ya Nyanda za Juu Kusini kutokuwa na mvua.Sehemu nilipo wananchi bado hawajaotesha Mazao kwa sababu mvua hazipo.
Hali ya hewa ni jua,joto,upepo na manyunyu tuu huku nzi wakitamalaki.
Chonde chonde Serikali zuieni kuuza chakula nje ya Nchi maana hivi tunavyoongea bei za Mazao zimeanza kupanda.Hata wale wa mahindi waliokuwa wanalia saizi wanauza kwa bei ya Kati ya 45,000-55,000 kwa gunia huku mikoani.
Ili kunusuru chakula kilichopo,nashauri serikali ipige marufuku exports ya Mazao yote ya chakula.
Kama Hali hii itaendelea ,Wananchi tujiandae kisaikolojia.Ukame umeeneo si tu Tanzania bali Hali ni mbaya zaidi Ethiopia,Kenya na Somalia.
Watu wa Hali ya hewa walitabiri hali hii toka mwezi wa tatu,wakarudia mwezi Juni na mwezi November.
Wanaolaumu kwamba Bei zimepanda na kumlaumu Samia ni nani kama sio nyie mavivu wa Dar?Jamani acheni roho mbaya.mnadhani wakulima wa nchi hii lini watapata nafuuu???mbolea wamenunua kwa bei kubwa mnooo halafu Leo ati wauze kwa bei ndogo.mipaka ifungwe ili wauze kwa bei kiduchu.dah plz ushindwe mtoa post
Lengo liwe kumlinda mkulima na hapo hapo kulinda maslahi mapana ya taifa. Formula ni moja tu- serikali inunue nafaka ya mkulima kwa bei ya soko.Serikali lazima ifanye regulation kwenye uzalishaji na biashara ya mazao ya chakula hasa nafaka ili kuepuka upungufu wa mazao ya chakula ndani ya nchi (acute food shortage), huwezi ukaacha tu watu wakajisafirishia mazao kwenda nje wanavyotaka kisa wanatafuta bei ya juu.....serikali inao wajibu na mamlaka kuzuia mazao ya vyakula muhimu kwa nchi hasa nafaka kwenda nje pale inapoona kuna ulazima huo.
Wapi huko tuje kuwatembelea kama kunafikika.
Uchumi uko mjini,kijijini kufanya Nini?Ndio maana wanamsema kuwa boss wako haijui nchi kwavile hajatembelea vijijini kazi yake kufika mji mkuu ya mkoa na wilayani lakini hajui huko vijijini kukoje!!! Na hivi mmejiongezea posho za safari za nje mtakuwa mnazuga kwenda makao makuu ya Mkoa na kufanya mkutano mmoja, mkirudi Dodoma/Dar. mnakaa siku mbili safari ULAYA!!!
Tembeleeni vijijini mjue kama barabara zinafikika au hazifikiki
Uchumi uko mjini,kijijini kufanya Nini?
Bado ninakusikiliza mkuu!Una wazo zuri lakini usiseme tu serikali ipige marufuku kuuza mazao nje, muhimu serikali pia iangalie namna ya kumsaidia mtumiaji wa mwisho asije kuuziwa kwa bei ya juu japo nashauri pia wakulima waangaliwe ili wafidie gharama zao walizoingia kwenye pembejeo, kusema kweli tunapoelekea hali itakuwa mbaya sana, nauona mfumuko wa bei ukiongezeka mara mbili.
Hili huwa ninalisikia sana, lakini kiuhalisia mkulima hana njia ya kutopangiwa. Huo ndio ukweli wenyewe!Kufa na njaa nani kakuambia kuwa Mimi mkulima ndo naleta njaa? Usinipangia pa kwenda kuuza mazao yangu
Kama serikali iligoma kutoa ruzuku ya mbolea wasiwaingilie wakulimakwa nini msinunue chakula kabla hakijapanda zaidi au mnasubiri mje mfanye mbadilishano wa kilo 1 ya unga kwa makalio
mkulima anazidi kunyonywa tu kwani hao wanaosafirisha mazao nje ya nchi ni wafanyabiashara wakubwa.walinunua mazao wakati bei yake ilikuwa ndogo wakayahifadhi kwenye maghala na sasa wanayauze nje sababu yamepanda bei (speculation).kwa hali hiyo mwananchi kabaki kama alivyo na umaskini wake.serikali iwasaidie wakulima waweze kuuza mazao yao kwa bei nzuri ambayo inampa faida ili aweze kuzalisha tena kwa tia.Una wazo zuri lakini usiseme tu serikali ipige marufuku kuuza mazao nje, muhimu serikali pia iangalie namna ya kumsaidia mtumiaji wa mwisho asije kuuziwa kwa bei ya juu japo nashauri pia wakulima waangaliwe ili wafidie gharama zao walizoingia kwenye pembejeo, kusema kweli tunapoelekea hali itakuwa mbaya sana, nauona mfumuko wa bei ukiongezeka mara mbili.
mkulima anazidi kunyonywa tu kwani hao wanaosafirisha mazao nje ya nchi ni wafanyabiashara wakubwa.walinunua mazao wakati bei yake ilikuwa ndogo wakayahifadhi kwenye maghala na sasa wanayauze nje sababu yamepanda bei (speculation).kwa hali hiyo mwananchi kabaki kama alivyo na umaskini wake.serikali iwasaidie wakulima waweze kuuza mazao yao kwa bei nzuri ambayo inampa faida ili aweze kuzalisha tena kwa tia.