Zanzibar 2020 Njama? Mgombea wa Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Maalim Seif awekewa Pingamizi

Tume na ccm yenu acheni ushamba na ulimbukeni wenu wa kihutu , wenye mamlaka ya kumkata mgombea ni wananchi peke yake sio tume Wala muweka pingamizi . Wananchi ndio wanaamua Nani wanataka Nani hawamtaki , tume kazi yake ni kusimamia uchaguzi tu sio kupitisha au kuengua wagombea.
 
Ulimbo soma hii fomu ya maalim SEIF Rais mtaraiwa wa ZANZIBARI labada akili yako itakukaa sawia
 
Mbona fomu ni rahisi na imejazwa vizuri? Tatizo liko wapi? Tume inataka kuleta machafuko bure.
 
CCM wanakanyaga katiba. Tuwakatae na kuwachukia.
 
Naiona forgery. Lakini hata kwenye original, Maalim na timu yake hawako makini. Transparency imeandikwa kimakosa (Trasparency)! Na ACT-Wazalendo imeandikwa ACT Wazalendo, bila ya dash katikati (-). Huyaoni hilo? Kwa mtu anayetafutwa kwa udi na uvumba kama Maalim, haya ni makosa ya kijinga.

Watanzania tujitayarishe kupigania uhuru wetu kwa damu. Tume na CCM ni kitu kimoja. Tume imefikia hatua ya kufoji fomu kwa ajili ya CCM. Je, itamtangaza Maalim hata akishinda? Hiyo forgery serikali haitosema chochote. Kule Bara nako Mkurugenzi anaonekana kwenye clip akisema lazima CCM ishinde.
 
Kwa hiyo ni haki na halali kabisa upinzani kuwawekea pingamizi wagombea wa CCM lakini upinzani wakiwekewa pingamizi ni kukandamiza demokrasia na kuchezea uchaguzi?

Wakojani bana dah
 
Hata mimi nauliza hilo swali, wapi amekosea?
Tarehe ipo sawa 7-9-2020.
Pingamizi lilitakiwa liseme amekosea kuandika neno TRANSPARENCY, herufi N haipo kwenye uandishi wa Maalim.
Kwa maoni yangu, Sio haki kumnyima mtu haki ya kuchaguliwa kwa sababu nyepesi kama hizi.
 
Amekosea tarehe
 
Magufuli ana nguvu au wanajeshi ndio wana nguvu
Kwahiyo huyu Mabeyo Msukuma wa Masanzakona, aliye mwadilifu kwa mkuu wake ndo unategemea aje kuunga mkono huu ujinga wenu, wa kutaka kuiingiza nchi kwenye machafuko😳??
Aiseeh mtasubiri sana.Kimsingi mifumo iliyoundwa ikichagizwa na uwepo wa katiba yetu pendwa, Ni ngumu Sana hayo mnayoyawaza kutokea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…