Zanzibar 2020 Njama? Mgombea wa Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Maalim Seif awekewa Pingamizi

Zanzibar 2020 Njama? Mgombea wa Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Maalim Seif awekewa Pingamizi

Hana na hatoleta ila atakatika na vigelegele juu siku ipite
IMG_20200911_002425.png
 
Hiyo fomu imeeditiwa baada ya kutoa photocopy ya photocopy .Mleta mada umechemka usidhani kila mtu mjinga humu .Ushahidi wa alichokosea kiko kwenye original
 
Ninashaka na elimu ya maalimu seif mbona kama chekechea au anayo degree ya Quran ataweza kusaini mikataba huyu,hapana akapumzike 77 ni babu kabisa.
Watoto mna shida sana. Mnapenda mambo ya vyeti siyo? Haya nenda UDSM kaulize GPA aliyopiga maalim Seif ilichukua miaka mingapi kuja kuvunjwa
 
Hii ndio taarifa iliyotolewa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar kwa waandishi wa habari, huku ofisa wa Tume hiyo akionekana kuwa na uso wa bashasha jambo lililoashiria kufurahia pingamizi hilo, ameendelea kusisitiza uhalali wa pingamizi jambo lililoshangaza wengi.


Tuendelee kutega sikio kwa yatakayojiri .

======

View attachment 1565642
Kelele za nini sasa? Nyinyi mmeweka mapingamizi pia, kwa hiyo mkiwekewa mapingamizi msilalamike; ndio mchakato wenyewe! Acheni sheria ichukue mkondo wake
 
Natamani Wazanzibar watuletee kichwa cha mwenye tume kwenye kisahani!
 
Asubuhi tuliambiwa kuwa VHADEMA imehujumiwa kunyimwa kibali cha kurusha helicopta kwa njama; TCAA ikaleta fact za kisheria kuonyesha kuwa walichofanya ni kwa mujibu wa sheria. Sasa tusubiri tume nayo ilete facts zao kisheria ndipo tuzijadili kama zina mantiki. Yote iliyoko hapa sasa hivi ni hisia ambazo hazijatoa ushahidi wowote wa kisheria.
 
Hii ndio taarifa iliyotolewa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar kwa waandishi wa habari, huku ofisa wa Tume hiyo akionekana kuwa na uso wa bashasha jambo lililoashiria kufurahia pingamizi hilo, ameendelea kusisitiza uhalali wa pingamizi jambo lililoshangaza wengi.


Tuendelee kutega sikio kwa yatakayojiri .

======

View attachment 1565642
Uzeeeeeee
 
Hii ndio taarifa iliyotolewa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar kwa waandishi wa habari, huku ofisa wa Tume hiyo akionekana kuwa na uso wa bashasha jambo lililoashiria kufurahia pingamizi hilo, ameendelea kusisitiza uhalali wa pingamizi jambo lililoshangaza wengi.


Tuendelee kutega sikio kwa yatakayojiri .

======

View attachment 1565642


Hawa CCM inaonekana wamechanganyikiwa hasa kule Zanzibar waliufuta uchaguzi 2015 bila aibu. Wakaachiwa serikali peke yao bado wameshindwa kutengeneza mazingira mazuri , wamejisahau miaka 5 sasa hivi wantaka kuleta maafa na hii ni aibu kwa serikali ya mapinduzi na serikali ya muungano ya Tz . Magufuli anajisifu kafanya mambo makubwa sasa ni kipi wanaogopa uchaguzi ?
Halahala maafa tunayatafuta .
 
Nahisi ni kutokuwa na team work ya kazi kwa maalim,kwani mapingamizi mengi ya ngazi ya udiwani ,ubunge ya bara yalikuwa ni ya staili hiyo.kiapi ni pale siku ya kurejesha ndio una saini.
labda kama walimuandikia tarehe halafu wakamuacha asaini maana fomu yake alipangiwa muda pekee wa kwenda kuchukua.
Huu ni ujinga lakini. Kweli unaacha kumpitisha mtu kisa typing error?? Tena mtu mwenye uzpefu wa kugombea toka 1995. Ebu twendeni field tuachane na haya mambo ya pingamizi, ni ya kitoto sana. Waacheni waZanzibar wachague kiongozi wamtakaye, mmewadhurumu miaka mingi sana.
 
Ukiangalia unaweza kusema ni kitu kidogo ila kisheria ni kosa kubwa sana. Wakikomaa wanaweza kumuengua Maalim Seif. Ukiangalia hata katiba ya ACT imeandikwa ACT-Wazalendo na siyo ACT Wazalendo. Angalia hii screenshot hapa nchini.

View attachment 1565674
Vipi hapa Angalia letter head
Screenshot_20200911-002423_Twitter.jpg
Screenshot_20200911-002423_Twitter.jpg
 
habari imerushwa ,nimeona kwa TBC na UTV.
Hapa tunapiga ramli tu. Mara kiapo kimeandikwa 7-7-2020 mwingine anasema kimeandikwa 7-9-2020. Na pia tamko la ACT kuhusu pingamizi lililoelekezwa kwa Maalim Seif lipo kiujumlajumla na halionyeshi pingamizi linahusu kitu gani!
 
Hii ndio taarifa iliyotolewa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar kwa waandishi wa habari, huku ofisa wa Tume hiyo akionekana kuwa na uso wa bashasha jambo lililoashiria kufurahia pingamizi hilo, ameendelea kusisitiza uhalali wa pingamizi jambo lililoshangaza wengi.


Tuendelee kutega sikio kwa yatakayojiri .

======

View attachment 1565642
Kuna machafuko yanataka kutengenezwa kwa nguvu
IMG-20200911-WA0018.jpg
 
A) Pingamizi halina mashiko!
B) Wazanzibari Wana alternative B, ambaye pia sio Hussein Mwinyi!
😅
👊 ✌️✌️✌️💥
 
Back
Top Bottom