Tetesi: Njama za kuwavua Uwakili waliofungua kesi kupinga Mkataba wa Milele wa Bandari zavuja ni kama ile iliyomkuta Fatuma Karume

Wameanza kulialia baada ya kuona wameshindwa kabla hata ya kesi kuanza. Waliifungua kw amihemko ya wanaharakati bila facts. Ndo mana hata akina tundu lisu hawezi kuthubutu kwenda mahakamani kujidhalilisha mana wanajua wanapiga Domo to kitu ambacho hakipo.

Wameanza kulialia ili waonewe huruma baada ya kuona kesi ni ngumu. Na Bado kangaroo court inawahusu.

Vijana achaneni na mihemko bila facts za kutosha.akina lisu na akina slaa wanawapoteza. Jiulizeni kwa Nini wao hawaendi mahakamani? Wanajua kwamba wanapiga Domo tu to keep the ball rolling.
 
Wa Tz tusali sana kuomba msaada wa Mungu.
Kwani inawezekana tunaona tunapambana na binadamu wenzetu kumbe tunapambana na mashetani!
 
Umezidiwa hoja kabisa. Kwani kulewa ni kosa kisheria? Serkali si inachukua kodi kwa vileo?
Iweke orodha ya walevi kutoka kwenu na clip zao? Wengine wakiwa bungeni au kwenye mikutano?
Nyie kweli ni mangedere, mnatumia huu uzushi wenu km defence mechanism, nyie kweli vilaza hizo ni mbinu za kitoto. Tii sheria bila shuruti hakuna mwenye muda na kima km hao hawana madhara yoyote waropokaji wazushi tu na wanaeleweka
 
Aisee...
Wanamsingizia sababu ya msimamo wake...
JAMBO JEMA HALIHITAJI NGUVU NYINGI..
 
Fatuma Karume hatuhusu ni mzanzibar hatuhusu wanaotuhusu ni watanganyika kwanza hata swala la bandari amekuwa kimya.
 
Na leo yametimia.... laana na iwafikie na kizazi chao haya majizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…