The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,288
Yes those are smart partnershipsDiamond 45%,Kusaga 53% ,hao ni bussiness partiner,at the end of the day wote ni wafanyabiashara,hela ikingia wanagawana based on their percentage.Ndio dunia inavyoenda Jordan (Michael Jordan) na Nike,Yeezy (Kanye West) na Addidas ,mmoja ana fame (Diamond & Wasafi) mwengine ana mtaji (Kusaga).
Biashara lazima ujue watu wako wanataka nini hicho ndicho anachofanyaAkili ya mtu ama mind hutambulishwa zaidi na matendo ama maamuzi ya mtu katika masuala mbalimbali. Na katika tabia na mienendo ya matamanio mtu akizama zaidi huwa mlevi na huenda akawa ameathiriwa na tabia hizo ama addict. Tokea nimeanza kuzisikia nyimbo za huyu anaitwa kila siku najiuliza kichwani make kuna nini cha ziada? Uwezo wake wa kufikilia na kuamua.
Na hili ni tatizo la malezi, makuzi ama nini? Tatizo ni ukosefu wa elimu ama ni nini hasa, kinachlkela zaidi ni aina ya maneno ama lugha katika nyimbo zake, yote inagusia tendo la ndoa, namwona mtu alive addicted kama wabwia unga na pombe. Hakika naye anahitaji msaada wa haraka, aelimishwe maisha ni nini na kuwa msanii ni nini
Tuambie we NatashaAkili ya mtu ama mind hutambulishwa zaidi na matendo ama maamuzi ya mtu katika masuala mbalimbali. Na katika tabia na mienendo ya matamanio mtu akizama zaidi huwa mlevi na huenda akawa ameathiriwa na tabia hizo ama addict. Tokea nimeanza kuzisikia nyimbo za huyu anaitwa kila siku najiuliza kichwani make kuna nini cha ziada? Uwezo wake wa kufikilia na kuamua.
Na hili ni tatizo la malezi, makuzi ama nini? Tatizo ni ukosefu wa elimu ama ni nini hasa, kinachlkela zaidi ni aina ya maneno ama lugha katika nyimbo zake, yote inagusia tendo la ndoa, namwona mtu alive addicted kama wabwia unga na pombe. Hakika naye anahitaji msaada wa haraka, aelimishwe maisha ni nini na kuwa msanii ni nini
Danga hilo liliyoanzisha juu uzi hayakuwe ayo yoteNje ya mapenzi Diamond ni mfanyabiashara mzuri na mkubwa ,hana degree lakini kasimamisha WCB Label,Sasa hivi anadeal na kuisimamisha Wasafi TV/Radio bila kusahau Wasafi Festival.
Nilijua tu, mnaumia sana companion wenu kaguswa. Jiandaeni vyema almradi haimbii porini ni lazima mfalme wenu aguswe, nawakalibisha kwa matusi mengine zaidi wakati dawa inaendelea kufanya kazi.