Nje ya mapenzi Diamond anaweza nini?

Nje ya mapenzi Diamond anaweza nini?

Diamond 45%,Kusaga 53% ,hao ni bussiness partiner,at the end of the day wote ni wafanyabiashara,hela ikingia wanagawana based on their percentage.Ndio dunia inavyoenda Jordan (Michael Jordan) na Nike,Yeezy (Kanye West) na Addidas ,mmoja ana fame (Diamond & Wasafi) mwengine ana mtaji (Kusaga).
Yes those are smart partnerships
 
Akili ya mtu ama mind hutambulishwa zaidi na matendo ama maamuzi ya mtu katika masuala mbalimbali. Na katika tabia na mienendo ya matamanio mtu akizama zaidi huwa mlevi na huenda akawa ameathiriwa na tabia hizo ama addict. Tokea nimeanza kuzisikia nyimbo za huyu anaitwa kila siku najiuliza kichwani make kuna nini cha ziada? Uwezo wake wa kufikilia na kuamua.

Na hili ni tatizo la malezi, makuzi ama nini? Tatizo ni ukosefu wa elimu ama ni nini hasa, kinachlkela zaidi ni aina ya maneno ama lugha katika nyimbo zake, yote inagusia tendo la ndoa, namwona mtu alive addicted kama wabwia unga na pombe. Hakika naye anahitaji msaada wa haraka, aelimishwe maisha ni nini na kuwa msanii ni nini
Biashara lazima ujue watu wako wanataka nini hicho ndicho anachofanya

mpuuzi mpuuzi tu
 
Ebu tuanze nawewe ulie elimika,unaweza majungu tu

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
Diamond nyimbo anazoimba siku hiz kweli zimezid matusi. Mie napenda nyimbo zake ila hiz anazoshikirikishwa siku hiz hapana. Halafu umkute mtoto kakazana na mistari
 
sikuiz bongo kwanza tusahau kabsa mashairi yanayogusa siasa labda hadi awam hii ya uongoz iishe. ila sjui kwa nin hata masuala mengine ya kijamii hayaguswi kabsa na mapenz na ngono. Hii inaonesha taifa letu linaendelea zaid katika ukanda huo. very disappointing. Serikal yetu inachangia sana muzik wetu kua na mlengo huo mmoja. maana hairuhusu kuzungumzia siasa na mambo mengi ya kijamii bado hayapo vizur kwa hiyo ukiongelea masuala ya kijamii let say elimu hali yake kiuhalisia sio nzur. na ukizungumza ukwel huu serikal haitakuacha salama.
 
Akili ya mtu ama mind hutambulishwa zaidi na matendo ama maamuzi ya mtu katika masuala mbalimbali. Na katika tabia na mienendo ya matamanio mtu akizama zaidi huwa mlevi na huenda akawa ameathiriwa na tabia hizo ama addict. Tokea nimeanza kuzisikia nyimbo za huyu anaitwa kila siku najiuliza kichwani make kuna nini cha ziada? Uwezo wake wa kufikilia na kuamua.

Na hili ni tatizo la malezi, makuzi ama nini? Tatizo ni ukosefu wa elimu ama ni nini hasa, kinachlkela zaidi ni aina ya maneno ama lugha katika nyimbo zake, yote inagusia tendo la ndoa, namwona mtu alive addicted kama wabwia unga na pombe. Hakika naye anahitaji msaada wa haraka, aelimishwe maisha ni nini na kuwa msanii ni nini
Tuambie we Natasha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilijua tu, mnaumia sana companion wenu kaguswa. Jiandaeni vyema almradi haimbii porini ni lazima mfalme wenu aguswe, nawakalibisha kwa matusi mengine zaidi wakati dawa inaendelea kufanya kazi.

Wewe unayewaza Siasa una nini cha maana kumzidi Diamond [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Endelea kuteseka taratibu huku nyimbo zake umedownload kwenye tecno yako


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Tatizo fursa..... watanzania ndo wanachopenda kusikia toka kwake..... kwani we unaonaje?
 
Back
Top Bottom