Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Thibitisha kama wewe hauna chanzo ? Napata wasi wasi na namna unavyo yafikiria mambo. Naona kama hauko serious katika suala zima la kutafakari na kuhoji.
Sikumbuki nilitokeaje na sijawahi kufanya makubaliano na chochote juu ya kitabu au katiba au document yeyote wala sijawahi kuwa na mkataba wa nn jema au baya yote nimetambulishwa tuu na sijawah kuona yeyote mkwel 100% ,ila nauhakika wabaya kwa Tafsiri yangu hufanikiwa zaidi , na nisivyo viona havijawahi ongea na mm ila kuna walio kama mm wananiletaa mamikataba na vitabu kuwa nivifate nikiwauliza nionane naye wananijibu haonekani , na niamini hivyo hivyo
 
Ntaendelea kuamini kuwa mungu yupo haijalishi nikifika mbinguni nitamkuta au la!.

Ila Mungu yupo yaani kuna wakati kabisa unahisi uwepo wake karibu nawe, kuna wakati unakuwa kwenye matatizo makubwaaa sana ila ukimuita msaada unatokea pale pale.

Mimi amenifanyia mengi sana amemlinda mama yangu yupo hai, wadogo zangu etc

Kubwa zaidi hii pumzi nisiyoilipia hata sent moja napumua tu bureee Asante mungu.

Kuna wakati nakuwa namuomba Mungu nikilalamika moyo unaniambia acha kulalamika kuna nilichonacho ambacho mwingine hana naishia kusema asante Mungu.
 
Siku ukikabwa na mfupa ukatoa mimacho saa roho inauacha mwili utamwona tu. Sa hivi we ndo mjanja sijui akili kubwa.
 
Yani waafrika tumegomea kabisa evolution / evolitonal biology . Ila mtu anakuja hapa anasema oh sijui kitu intelligent kimeumba[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ukimuuliza do you know how metochondria work na kama binadamu yupo special sana mbona cell zake hazina tofauti na cell za wanyama wengine [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Trust me, asilimia 99% ya wanaopinga evolution humu hawajaisoma na inawezekana wamesahau hata basics biology

Asilimia 99% ya DNA zetu hazina tofauti na Sokwe and yet mtu anaamini Binadamu sio sehemu ya mnyama

Evolution inaelezea vitu vingi sana, sio tu evolution ya binadamu mpaka jinsi gani baadhi ya organ katika miili yetu inavyofanya kazi

Nilikua najifunza jinsi gani, pornography ina sababisha Erectile dysfunction nikashangaa kwa jinsi gani evolution imetumia kuelezea kwa usahihi mkubwa

Concept ya evolution ni simple sana sijui kwanini baadhi ya watu wanashindwa kuielewa hii masterpiece ya biology

Intelligent design ina jaribu kujibu swali katika easiest way possible, inatoa jibu jepesi ambalo halina uhalisia

Mungu akaumba kwa udongo, how?
Akasema kuwe hiki kuwe kile how?

Evolution inatupa jibu complex, inaeleza kivipi kiumbe hai kinatengenezwa from the simplest form possible

Evolution inaanza from the beginning bila assumption ya Pre existing designer
 
Ntaendelea kuamini kuwa mungu yupo haijalishi nikifika mbinguni nitamkuta au la!.

Ila Mungu yupo yaani kuna wakati kabisa unahisi uwepo wake karibu nawe, kuna wakati unakuwa kwenye matatizo makubwaaa sana ila ukimuita msaada unatokea pale pale.

Mimi amenifanyia mengi sana amemlinda mama yangu yupo hai, wadogo zangu etc

Kubwa zaidi hii pumzi nisiyoilipia hata sent moja napumua tu bureee Asante mungu.

Kuna wakati nakuwa namuomba Mungu nikilalamika moyo unaniambia acha kulalamika kuna nilichonacho ambacho mwingine hana naishia kusema asante Mungu.
Amini Mungu yupo
Hakuna mwenye tatizo kabisa na kipi unapaswa kuamini

Unaweza amini almost anything
Tatizo ni pale unapotaka na wengine wafate imani yako, na wasipofata uwaone waovu na kuwalaani kuwa watafia kwenye tanuru la moto

Unapofikia hatua hii, ndipo tunapotaka uthibitishe unachoamini

Hakuna aliyeweza, mpaka kwanzia page ya kwanza mpaka hii

Pia wakati una mshukuru Mungu kwa kukuweka hai wewe na Familia yako

Kuna mtoto hivi sasa somewhere,ana mpoteza mama yake kwa Cancer japo alimuomba sana Mungu amsaidie

Mungu ambaye alishindwa kuzuia Hitler asiue watu zaidi ya Million 16 ndani ya miaka 5

Point ni kwamba, maombi ni 50 na 50
Yaani kila unachoomba kina nafasi ya kutimia kwa 50%
Wewe shahidi, nusu ya yote unayoomba hayatimii

Kujipa moyo unasema Mungu atakujibu siku yoyote au wenda sio mapenzi yake

Unasahau kuwa ni just matter of coincidence
Umeomba usiku huu upate kazi, na kesho ukaitwa kwenye interview

Mungu amejibu maombi sio?
Kwenye interview kuna non believer ambae pia ali apply na akaitwa bila kufanya maombi kama wewe,

Ni just circumstance tuu

Kuomba ni sawa na kuongea peke yako

Na kama unaamini kwenye Mungu aliyepanga kila step katika maisha yako tangu ukiwa tumboni basi utakubaliana na mimi ninaposema maombi ni kujiongelesha peke yako

Fikiria hivi, kama Mungu tayari alishaanda Mpango kamili kuhusu maisha yako,

Na alijua kipi kinakufaa na kipi hakikufai,

Huoni kuomba ni kutaka kubadili mipango yake?

Kama alipanga usioe au kuolewa, huoni kuomba ndoa ni kuongea peke yako?

Pia hii hewa unayovuta haina sababu yoyote ya kuuzwa

Kuuza na kununua ni human constructions, zina maana tu kwenye akili yetu

Hujui carbon dioxide unayoitoa, inavutwa na mimea inayotoa oxygen in return

Ni fair exchange, kama unaamini katika kuuza na kununua basi kila sekunde unayopumua unanunua oxygen kwa kulipia carbon dioxide
 
Mathayo 17:20
"Yesu akawaambia, Kwa sababu ya upungufu wa imani yenu. Kwa maana, amin, nawaambia, Mkiwa na imani kiasi cha punje ya haradali mtauambia mlima huu, Ondoka hapa uende kule; nao utaondoka; wala halitakuwako neno lisilowezekana kwenu."
 
Na ukifata Miungu mighairi ya Mwenyezi Mungu hakuna itakacho kupa isipokuwa ni dhana tu.
Quran
 
Ntaendelea kuamini kuwa mungu yupo haijalishi nikifika mbinguni nitamkuta au la!.

Ila Mungu yupo yaani kuna wakati kabisa unahisi uwepo wake karibu nawe, kuna wakati unakuwa kwenye matatizo makubwaaa sana ila ukimuita msaada unatokea pale pale.

Mimi amenifanyia mengi sana amemlinda mama yangu yupo hai, wadogo zangu etc

Kubwa zaidi hii pumzi nisiyoilipia hata sent moja napumua tu bureee Asante mungu.

Kuna wakati nakuwa namuomba Mungu nikilalamika moyo unaniambia acha kulalamika kuna nilichonacho ambacho mwingine hana naishia kusema asante Mungu.
Vipi kuhusu wale ambao mama zao, baba zao na ndugu zao wote hawapo hai??
 
narudia tena pitia kuhusu universal counsious acha uzembe sipo hapa kushawishi watu wamfuate Mungu wangu sababu anajitosheleza
Hili naona limekushinda kijana. Maana ya mjadala unapo ulizwa swali unatakiwa ujibu,sababu ndiyo munasaba.

Pili,unayo yaelezea na mambo ya kufirika yasiyo na ithbati yoyote zaidi ya mawazo ya watu. Uhalisia uko kinyume chake.
 
hujui chochote kuhusu energy.
Umezoea kuskia roho but ukiulizwa nini hujui.
Jenga hoja kwa hicho nilichokiandika. Kama energy ina hivyo nilivyo vitaja au kama unaweza kuthibitisha hilo basi hiyo si energy kijana.

Inakuwaje maswali marahisi yanakushinda ?
 
Ningekuambia Mungu ni roho probably ningeonekan smart kumbe hata yenyewe hujui ni nin tafta maana ya roho then urudi kwenye energy
mnapenda kutumia misamiati ambayo mmezoea lakini hamjuai inamaanisha nini usiishi kwa mazoea
Tofauti yangu na yako ni kuwa mimi huwa najua maana ya maneno kabla sijayatumia ndiyo maana kunikuta nimepotosha maana ni vigumu sana.

Ama kuhusu Roho mimi nakufundisha wewe,na nina uhakika huijui Roho ni nini,ngoja nikupe faida kidogo kuhusu Roho.

Naanzia hapa.

Mola wetu anasema katika Qur'aan, juu ya ukweli kuhusu ROHO.

85. Na wanakuuliza khabari za Roho. Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo. (Israa : 85)

Hii inaonyesha ya kuwa suala la elimu juu ya Roho ni elimu kubwa mno na sisi tumepewa elimu ndogo sana juu ya ROHO na jambo hili linabaki kuwa kwake Mola wetu kwa undani wake.

Kama hali iko hivi, ni nini Roho ? Ni zipi sifa zake? Ni zipi tabia zake na ni upi uwezo wake ? Maswali haya watu hujiuliza sana.

Katika Elimu hiyo ndogo tuliyopewa na Mola wetu, tunaipata kutoka katika vyanzo vya uhakika na kuaminika ya kuwa, Roho ni kitu kisicho onekana, chenye mafungamano ya moja kwa moja na mwili.

Lakini Roho hiyo ina sifa kadhaa kwazo huwa tunazitumia kuelezea vitu vyenye kushikika (Tangible things), kama vile hupulizwa na Malaika kuupa mwili uhai na hutolewa kipindi mja anapokufa, hukutana na kuzungumza.

Mwili unakufa ila Roho haifi, roho hubaki milele. ROHO ni katika vile viumbe ambavyo vina mwanzo ila havina mwisho.

Sasa njoo ukosoe hiki nilichokiandika kwa hoja si maneno matupu.
 
Mada hizi zinkujaga kwa kasi zikichipuka kama uyoga mara kunapita kitambo kidogo zinapotea kabla ya kuibuka tena

Hawa mawakala wa ibilisi wakishashiba tu ugali kwa bamia na mbaazi basi lazima waje wahare humu!
 
Ukifikiria kwa makini, bila kuweka hisia zozote, utagundua kuwa uwezekano wa kuwepo mungu ni mdogo.
Ukizaliwa kwenye family ya kiislamu utakuwa muislamu. Ukizaliwana mkristo vilevile.
Binadamu anaamini anachoambiwa.
 
Tofauti yangu na yako ni kuwa mimi huwa najua maana ya maneno kabla sijayatumia ndiyo maana kunikuta nimepotosha maana ni vigumu sana.

Ama kuhusu Roho mimi nakufundisha wewe,na nina uhakika huijui Roho ni nini,ngoja nikupe faida kidogo kuhusu Roho.

Naanzia hapa.

Mola wetu anasema katika Qur'aan, juu ya ukweli kuhusu ROHO.

85. Na wanakuuliza khabari za Roho. Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo. (Israa : 85)

Hii inaonyesha ya kuwa suala la elimu juu ya Roho ni elimu kubwa mno na sisi tumepewa elimu ndogo sana juu ya ROHO na jambo hili linabaki kuwa kwake Mola wetu kwa undani wake.

Kama hali iko hivi, ni nini Roho ? Ni zipi sifa zake? Ni zipi tabia zake na ni upi uwezo wake ? Maswali haya watu hujiuliza sana.

Katika Elimu hiyo ndogo tuliyopewa na Mola wetu, tunaipata kutoka katika vyanzo vya uhakika na kuaminika ya kuwa, Roho ni kitu kisicho onekana, chenye mafungamano ya moja kwa moja na mwili.

Lakini Roho hiyo ina sifa kadhaa kwazo huwa tunazitumia kuelezea vitu vyenye kushikika (Tangible things), kama vile hupulizwa na Malaika kuupa mwili uhai na hutolewa kipindi mja anapokufa, hukutana na kuzungumza.

Mwili unakufa ila Roho haifi, roho hubaki milele. ROHO ni katika vile viumbe ambavyo vina mwanzo ila havina mwisho.

Sasa njoo ukosoe hiki nilichokiandika kwa hoja si maneno matupu.
Hamna sehem hata moja uliyoelezea roho zaidi ya story na Quote ambazo kila mtu anajua kuw roho haina mwili.
 
Tofauti yangu na yako ni kuwa mimi huwa najua maana ya maneno kabla sijayatumia ndiyo maana kunikuta nimepotosha maana ni vigumu sana.

Ama kuhusu Roho mimi nakufundisha wewe,na nina uhakika huijui Roho ni nini,ngoja nikupe faida kidogo kuhusu Roho.

Naanzia hapa.

Mola wetu anasema katika Qur'aan, juu ya ukweli kuhusu ROHO.

85. Na wanakuuliza khabari za Roho. Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo. (Israa : 85)

Hii inaonyesha ya kuwa suala la elimu juu ya Roho ni elimu kubwa mno na sisi tumepewa elimu ndogo sana juu ya ROHO na jambo hili linabaki kuwa kwake Mola wetu kwa undani wake.

Kama hali iko hivi, ni nini Roho ? Ni zipi sifa zake? Ni zipi tabia zake na ni upi uwezo wake ? Maswali haya watu hujiuliza sana.

Katika Elimu hiyo ndogo tuliyopewa na Mola wetu, tunaipata kutoka katika vyanzo vya uhakika na kuaminika ya kuwa, Roho ni kitu kisicho onekana, chenye mafungamano ya moja kwa moja na mwili.

Lakini Roho hiyo ina sifa kadhaa kwazo huwa tunazitumia kuelezea vitu vyenye kushikika (Tangible things), kama vile hupulizwa na Malaika kuupa mwili uhai na hutolewa kipindi mja anapokufa, hukutana na kuzungumza.

Mwili unakufa ila Roho haifi, roho hubaki milele. ROHO ni katika vile viumbe ambavyo vina mwanzo ila havina mwisho.

Sasa njoo ukosoe hiki nilichokiandika kwa hoja si maneno matupu.
Energy inavyote hivo ulivo sema hata kabla hatujafikia kwenye universal consious kasome kuhusu single atom kwa undani
ambayo kila kitu kimetokana nayo. Usiwaze kimiujiza miujiza kila kitu kinamaelezo yake ambayo ni scientific hata kama huyajui maelezo
hayo pitia kuhusu tone la maji linavyoweza kubeba memory yako au maneno uliyotamka kam negative or positive.
Haya yote ni scientific proved elimu ya kweli hutaipat darasani wala kwenye dini hizi
 
habari great thinkers.

Uwepo wa mungu ni matokea ya maendeleo ya binadamu katika kuupata ustaarabu.Men create the god in their own imagination.Ndo mana wale miungu ya kale kabla ya hizi dini mpya za kisasa walikuwa na maumbo ya kibinadamu(human look_like) hata sifa walikuwa kama binadmu.
Walikuwa na sifa za kulia, kukasirika,wivu, njaa n.k.

Lakini hizi dini za kileo ni maboresho ya dini za kale so that hata miungu ya dini hizi wamepewa sifa nyingi kidogo kuliko wale wa kale,ikiwemo kutoonekana,ana uwezo wote, yupo kila sehemu n.k.
Nadhani wote tunajuwa kuwa binadamu alikuwa anaishi pamoja na wanyama wengine hapo kale kabla ya kuanza kujitenga na kuanzisha ustaarabu wake,katika kipindi hiki cha maisha binadamu alikuwa hana tofauti na wanyama wengine.Ilimchukau mamilioni ya miaka biandamu kujitofautisha na wanyama wengine na kuanza kustaarabika.Katika kipindi hiki huyu binadamu alianzisha mambo mbalimbali ikiwemo Dini,mungu,sheria,taifa n.k.

There are no gods,no god in the universe,no nation,no money,no justice,no law,no human rights out side the common imagination of human beings.Mara baada ya kuapata ustaarabu binadamu aliweza kuanzisha mambo mengi ikiwe religion institutions,mungu n.k.

View attachment 1941529
hivi wachawi nao hawapo, wametungwa tu na akili za watu?
 
Tofauti yangu na yako ni kuwa mimi huwa najua maana ya maneno kabla sijayatumia ndiyo maana kunikuta nimepotosha maana ni vigumu sana.

Ama kuhusu Roho mimi nakufundisha wewe,na nina uhakika huijui Roho ni nini,ngoja nikupe faida kidogo kuhusu Roho.

Naanzia hapa.

Mola wetu anasema katika Qur'aan, juu ya ukweli kuhusu ROHO.

85. Na wanakuuliza khabari za Roho. Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo. (Israa : 85)

Hii inaonyesha ya kuwa suala la elimu juu ya Roho ni elimu kubwa mno na sisi tumepewa elimu ndogo sana juu ya ROHO na jambo hili linabaki kuwa kwake Mola wetu kwa undani wake.

Kama hali iko hivi, ni nini Roho ? Ni zipi sifa zake? Ni zipi tabia zake na ni upi uwezo wake ? Maswali haya watu hujiuliza sana.

Katika Elimu hiyo ndogo tuliyopewa na Mola wetu, tunaipata kutoka katika vyanzo vya uhakika na kuaminika ya kuwa, Roho ni kitu kisicho onekana, chenye mafungamano ya moja kwa moja na mwili.

Lakini Roho hiyo ina sifa kadhaa kwazo huwa tunazitumia kuelezea vitu vyenye kushikika (Tangible things), kama vile hupulizwa na Malaika kuupa mwili uhai na hutolewa kipindi mja anapokufa, hukutana na kuzungumza.

Mwili unakufa ila Roho haifi, roho hubaki milele. ROHO ni katika vile viumbe ambavyo vina mwanzo ila havina mwisho.

Sasa njoo ukosoe hiki nilichokiandika kwa hoja si maneno matupu.
unapofikiria kuhusu ulimwengu fikiria kuhusu single atom
Tofauti yangu na yako ni kuwa mimi huwa najua maana ya maneno kabla sijayatumia ndiyo maana kunikuta nimepotosha maana ni vigumu sana.

Ama kuhusu Roho mimi nakufundisha wewe,na nina uhakika huijui Roho ni nini,ngoja nikupe faida kidogo kuhusu Roho.

Naanzia hapa.

Mola wetu anasema katika Qur'aan, juu ya ukweli kuhusu ROHO.

85. Na wanakuuliza khabari za Roho. Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo. (Israa : 85)

Hii inaonyesha ya kuwa suala la elimu juu ya Roho ni elimu kubwa mno na sisi tumepewa elimu ndogo sana juu ya ROHO na jambo hili linabaki kuwa kwake Mola wetu kwa undani wake.

Kama hali iko hivi, ni nini Roho ? Ni zipi sifa zake? Ni zipi tabia zake na ni upi uwezo wake ? Maswali haya watu hujiuliza sana.

Katika Elimu hiyo ndogo tuliyopewa na Mola wetu, tunaipata kutoka katika vyanzo vya uhakika na kuaminika ya kuwa, Roho ni kitu kisicho onekana, chenye mafungamano ya moja kwa moja na mwili.

Lakini Roho hiyo ina sifa kadhaa kwazo huwa tunazitumia kuelezea vitu vyenye kushikika (Tangible things), kama vile hupulizwa na Malaika kuupa mwili uhai na hutolewa kipindi mja anapokufa, hukutana na kuzungumza.

Mwili unakufa ila Roho haifi, roho hubaki milele. ROHO ni katika vile viumbe ambavyo vina mwanzo ila havina mwisho.

Sasa njoo ukosoe hiki nilichokiandika kwa hoja si maneno matupu.
unapofikiria kuhusu ulimwengu huu usiende mbali fikria kuhusu single atom.
Kila kitu kimerise huko hai sio, hai. kinaonekana, hakionekan.
Vibration tu ndio inayotofautisha kitu kimoja na kingine.
Hata ivo vinavyocary memory, intelligence pia hujui kama ni atom.
Tukidissolve mwili wako hakuna sehem tutakuta kitu tofauti na atoms.
Hiyo intelligence na memory inaexist wap tofauti na kwenye atom.
 
Back
Top Bottom