Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Angalia unavyolia lia hutaki kubali jamaa kakuzidi kwenye hii angle hahaaa wabongo wabishi
ni lie lie kwako ili iweje?
Saiz yako ni waimba taarabu huko ndio kunamipasho.
siko kweny hizo level zako za punish and award.
what you say ni reflection ya mind yako not mine.
Na hilo ni tatizo lako sio langu.
 
Nashukuru upumbavu umeanza kukutoka.
Umetambua kuwa kunashughuli zingine.
Wapumbavu kam ninyi hamstahili muachwe mtaurudia upumbavu wenu kwa wengine.
Nilichogundua ww huna akili /una mental case reasoning yako ipo chini mno.....
umechakatwa kule juu unataka uje kwangu nikuchakate tena
 
unapenda majibizano (league) huna kazi nyingine jipe shughuli
Mtu huelewi maana ya league.
Majibizano toka lini yakawa league?
cambridge dictionary imetafsir vzuri jielimishe.
Utapata wapi akili.
Mbadal wa akili sio matusi nikujielimisha
Nilichogundua ww huna akili /una mental case reasoning yako ipo chini mno.....
umechakatwa kule juu unataka uje kwangu nikuchakate tena
Kama kuna matusi mengine makubwa kuliko hayo nayaomba.
 
Back
Top Bottom