Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Kwa mindset kama yako, sidhani kama nina mda wa kukujibu tena
kwa sababu inawezekana hata uwezo wa kuelewa ni changamoto

Nikigeuza swali, nipe sababu ambazo zinaweza kukufanya wewe uwe atheist?
 
Kwa mindset kama yako, sidhani kama nina mda wa kukujibu tena
kwa sababu inawezekana hata uwezo wa kuelewa ni changamoto

Nikigeuza swali, nipe sababu ambazo zinaweza kukufanya wewe uwe atheist?
Sioni hizo sababu za kunifanya niwe atheist na hata kwenu nyinyi sijawahi kuona hizo sababu za msingi za nyie kuwa atheist, unakuta mtu kawa atheist kisa kagundua kuwa hizi dini ni za kubuniwa tu na watu hivyo ni uongo, sasa hapo kuamua kuwa atheist ndio ukweli?
 
Kwako nitapoteza mda, usha declare wazi kuwa hakuna chochote kitakacho ku convince

True definition ya 'closed'mind
Haijalishi dini au imani yako ni ya hovyo kiasi gani utabaki huko

Unasema huoni sababu ya Mtu kuwa Atheist licha ya inconsistencies,false beliefs,scientific inaccuracies, lack of evidences zilivyojaa kwenye imani zote

Sasa sababu ipi unataka upewe?
Nambie sababu 3 kubwa zinazokufanya uamini hio dini uliyopo?
 
Bro, hope na faith ni vitu viwili tofauti
Usichanganye mambo
No they're not. Kama unaweza basi andika hapa tofaiuti yake, "yaani tofauti ya hope na faith".

Huwezi kutenganisha hope na faith hata siku moja.
Sababu hope inazalisha faith simultaneously universally na ni undistinguishable.
Even kwenye dictionary faith ni synonym ya hope.

Hauwezi kuwa na hope kitu fulani kitatokea bila ya kuwa na faith kwamba kitu fulani kitatokea.

Nakuuliza hili swali jepesi tuone kama utaweza kujibu.

Wakati wewe unapomsaidia ndugu yako anayeumwa unakuwa na (hope)tumaini la nini?
 
Wewe bado unashambulia dini tu kitu ambacho hakikufanyi wewe kuwa sahihi na hiyo misimamo yako, nimekwambia suala la uwepo wa Mungu si issue ya wana dini tu kuna watu hawaamini dini ila wanakubali uwepo wa Mungu ila sasa wewe unataka tujadili masuala ya vitabu vya dini kitu ambacho hakiondoi ile dhana ya uwepo wa Mungu kitu ambacho ndio jambo la msingi hasa hapa. Kwa kifupi wewe hauwezi kuwa sahihi huko kudai kwako kwamba hakuna Mungu kisa tu unaonesha makosa ya kwenye vitabu vya dini.

Sijui kama tunaelewana?
 
Kila swali ninalouliza basi linakuwa na point yake.

Ngoja niende straight kwenye point.
Trust ya kuamini kama mimi sitojibu kwa matusi bila ya kujua kama nitajibu kwa matusi au lah Na
Trust ya kuamini kuna mungu bila kujua kama yupo au hayupo, ni imani mbili zisizo na tofauti yoyote.

//Nb. Kwa imani siongelei kuhusu vitabu vya dini bali naongelea imani kama imani.

[[Imagine unaelewa kabisa hiki unachokisadiki sio halisi umekitunga tu lakini unaamua kufumba macho na ubongo kujidanganya kua ni cha kweli kwa ajili ya kujipa tumaini, huu si wazimu?]]

Kwanza kabisa mimi sitegemei vitabu vya dini kuamini uwepo wa mungu bali naamini kuhusu uwepo wa mungu kutokana na observation na misingi yangu mwenyewe.
Unaweza kuamini uwepo wa mungu bila ya vitabu vya dini. Imani na vitabu vya dini ni vitu viwili tofauti.

Kama wewe ulivyo weka trust kwamba mimi sitojibu kwa matusi ilhali hujui kama nitajibu kwa matusi au lah,
Ndio vilevile au sawasawa na kuweka trust kuwa kuna mungu lakini hujui kama yupo au lah.

Sasa mimi naweza kuuliza Je ulijuaje kama fulani hatojibu kwa matusi ikiwa hujui kama atajibu kwa matusi au lah?
Je wewe utaweza kujibu hilo swali?

AU unataka kusema " kitendo cha wewe kuweka trust kwamba mimi sitojibu kwa matusi" ni Wazimu pia.
Ukikataa then utakuwa unajipinga mwenyewe.

Pia imani ya kuamini kama kuna mungu ikiwa hujui kama yupo au hayupo, haijalishi kama kweli au sio kweli bali pia ni kugorven binadamu.
Ukweli ni kwamba watu wengi hawajitambui bila ya kuwaambia wafanye nini basi watu wangekuwa vichaa zaidi na dunia ingekuwa chafu mara mia ya sasa hivi.
Ndio maana kuna serikali, sheria na kanuni vyote hivyo ili kuhakikisha watu wanakuwa kwenye mstari sahihi na vyote hivyo lengo ni kuwa na Uongozi.

Sasa imani lengo kuu ni kuhakikisha atleast watu wanakuwa kwenye mstari, Imani ndio kiongozi wa mwisho, haijalishi kama ni kweli au sio kweli.
Ni kama wewe ulivyoweka trust ya kutojibiwa matusi hukujiuliza swali lolote bali uliamini tu, the same thing ndio kinatokea kwa wanaoamini kwenye uwepo wa mungu.

Maana ya imani ni kuamini bila kuuliza sababu ukiuliza hakuna kitu ambacho kitamake anysense.

Sasa nyie jamaa mnajaribu kuhoji credibility ya Imani kitu ambacho mnajua ni impossible kupata majibu, na hiyo ndio sababu nikawauliza kwanini mnapinga uwepo wa mungu?
Well mkashindwa kujibu na sidhani kama mtakuja kujibu.
Sababu inayowafanya nyinyi kushindwa kujibu "kwanini" ndio sababu hiyohiyo inayowafanya waamini uwepo wa Mungu washindwe kujibu.

[[Kuna swali ambalo hujalijibu, niliuliza kama imani haitakiwi kuhoji kwanini tuna imani zaidi ya moja kuhusu mungu huku zikipingana?
Huoni wingi wa hizo imani ulikuja baada ya watu kuanza kuhoji imani iliyotangulia ambayo walikua wakiiamini na wao kuanzisha imani yao walioona inafaa?]]

Hapana. Imani ni kama utamaduni na kila kundi la watu lina tamaduni zake.
Kundi la watu sababu binadamu hawaishi sehemu moja wala hawakuwahi kuishi kwa pamoja hivyo wazi kupingana na kutofautiana ni kitu cha kutegemea.
Unaposema "watu kuanza kuhoji imani iliyotangulia" ni sawasawa na kusema (leo hii watu wote billion 8 tuanze kuhoji imani moja like wote tunakaa sehemu moja) kitu ambacho ni uongo.

//swali jepesi sana.

[[Hiki ulichokiandika hapa nime-notice kua we ni miongoni mwa watu ambao wanasumbuliwa na matumizi haya maneno matano trust, hope, faith, love and believe. Kwa ufupi tu ni kwamba hujaelewa mantiki yangu, mantiki yangu kwanza haikua mimi kukataa kutumia imani, tatizo linakuja kwako kushindwa kujua imani gani ambayo naizungumzia hapa.]]

Ngoja nimention hii kitu kwanza.
kwenye kiingereza neno moja linaweza kuwa na maana nyingi tofauti na maneno mengi pia yanaweza kuwa na maana moja.
mfano ukisema faith, hope, belief, trust, optimism, expectation, confidence, credence, sureness hayo maneno yote yana maana moja kwenye kiingereza except yanatumika kutegemea na situation husika. hata kwenye kiswahili pia.
Au kama unapinga basi toa maneno tofauti kwenye kiswahili yanayowakilisha hope, faith na trust huku yakiwa na maana tofauti pia...?

Hivyo kwa mfano huo bila shaka naelewa maana za maneno hayo matano.
Tatizo ni wewe kushindwa kuelewa maana za hayo maneno hivyo unajicontradict bila kujua.

Imani unayoitumia wewe kuamini ndio imani hiyohiyo wanayoitumia waamini mungu kuamini.
Narudia hapa siongelei vitabu vya dini bali naongelea imani kama imani.
 
to

Hahahaha mkuu umenichekesha sana!
 
Mataleban na ma alshabab watatuchinja hata huko mbinguni tukichelewa kula piza!
 
Samahani mkuu , naomba utuambatanishie pdf ya vitabu ulivyosoma pamoja na vyanzo vyote vya taarifa ulivyotumia kufikia kwenye hitimisho lako ,tafadhari vyanzo vya taarifa mkuu
Hivyo vitabu ndio tatizo lenyewe!
 
Swali lako la mwisho naamini wapingaji ndo wafuasi wa ibilisi atimize ahadi yake.
 
Sawa, upande mmoja uaweza kuwa uko sawa! Lakini tunazungumzia suala la Mungu hili i jambo la imani, Hata hayo maandishi na yale ya kwenye iblia yote yaliandikwa a mwanadamu!
Kumbe hata wewe unayeandika hayo ukiulizwa kuwa je Mugu alikuthibitishia lini kuwa "nje ya mawazo ya mwanadamu hajawahi kuwepo na hatokuwepo??" Ofcoz hutakuwa a jibu, hivyo tusitowe Coclusion kwa mambo ambayo ya kufikirika tu!
 
Kama kuna mapungufu je ni faida gani wanapata kupinga?
 
kwangu nilishaclose discussion.......
unaweza kucheki mdau mwingine akufafanulie
Hakuna alichomzidi

Hao ni wapumbavu tu wasikupotoshe kwa vimaneno vyao vingi visivyo na maana

Kuandika andika kiingereza usifikiri ndiyo ishara una akili
 
Ushashiba ugali wako wa muhogo Sasa umepata nguvu ya kuongea uharo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…