Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Shida nikuwa sayansi iko limited na mitazamo yenu.
Kwa kukusaidia maarifa Mengi hutayapata darasan wala kweny mifumo rasmi ya elimu.
Pitia angalau hata secret papers of Newtons
Unaweza attach hizo secret papers za Newton hapa kwa faida ya wote. Asanteh

Pia ANGALIZO, Isaac newton hakua sahihi mara zote.
Kama alivyo binadamu yoyote alikua akiamini pia kwenye fallacious concepts

Mfano aliamini kwenye Alchemy,na kutumia kipindi cha mwisho cha maisha yake akifanya majaribio ya Philosophical stone (attempt ya kubadili lead into gold,dhana ambayo kwa sasa tunajua si sahihi)

Kama nitakua sahihi,
You believe in spiritualism.
Kuwa kuna roho, na roho zinaisha na ku evolve

Pia roho ni advanced zaidi kuliko nafsi ya kawaida ya binadamu aliye duniani

Pia kuna higher souls,kwenye other dimensions na possibly kuna highest soul ambayo kwa mujibu wa imani yako, ndiye Mungu

Lakini tunajua kuwa roho hai exist
Ni ancient concept iliyo attempt kuelezea consciousness /ufahamu

Thus why, tunaweza changes kabisa personality yako, kwa kuathiri sehemu fulani ya ubongo wako

Kama roho ingekuwepo, hitilafu yoyote katika ubongo wako isingebadili personality yako

Kwa sababu personality yako ipo ndani ya roho, na roho ni spiritual thing ambayo haiwezi athiriwa na material things Kama ubongo

Kama roho ipo, kwanini hitalafu yoyote severe katika ubongo wako ina impact asilimia kubwa ya personality yako?
 
Tatizo ni pale unapo taka sayansi ikupe kila jibu la usiyo yajua,yaani unataka kila kitu u prove kwa kutumia sayansi na ni kitu ambacho hakiwezekani.
jibu lako ni kwamba hauwezi ukatambua uwepo wa Mungu kwa kuitumia hiyo sayansi, hayo mengine unayoyasema ni ya kwako mwenyewe,mm sijaongelea kina thor au unicorn

Mambo ya kiimani hauwezi kuyatambua hata kama ungekuwa na elimu ipi ya kidunia, kwa sababu yanavuka uelewa wa kawaida wa mwanadamu. Sayansi inajikita katika uwezo wa mwanadamu wa kufikiri na kutenda kimwili zaidi,na mambo yake yanaonekana na kushikika.

Sasa wewe umekazania elimu moja ambayo unaifahamu na kuzani kwamba elimu zingine hazipo,lah ! Elimu zingine zipo ila hauzijui na hazihitaji njia hizo ulizozoea wewe kuzitumia ili kuweza kuzitambua. Unahitaji mwongozo tu ili uweze kuthizibitisha, elimu zingine ni za siri! Sio kila mmoja analazima ya kuzijua, na kama hauijui isiwe sababu ya kukataa kuwa hazipo.
Kwani thor hayupo kwenye mambo ya kiimani?

Kwasababu una elimu ya kiimani basi ni wazi unakubali kua thor ni mungu wa kweli?
 
Go back to school and claim you fees, pseudoscience haihusiani na kukataa kitu bila uthibitisho

Kama pseudoscience ni collection of wrong beliefs zinazo husishwa kimakosa na sayansi, kivipi atheists ambaye hayupo katika belief system atumie pseudoscience ku assert wrong beliefs ambazo haziamini?

Hivi unaelewa kwa hoja yako hiyo imewalenga theist wanaotumia pseudoscience kama mwanya wa kuthibitisha mungu yupo scientifically kwa dhana ya intelligent design?
Haisusiani kukataa bila uthibitisho lakini inahusiana kukubali bila uthibitisho kuwa Mungu hayupo?
 
Nipe description mkuu
Jini niliyemuona ni wakike
UMRI:siwezi sema exactly lakini alikuwa na muonekano wa mtu mzima kidogo
SKIN COLOR: Brown like color
APPEARANCE: Human like shape
VISIBILITY: +visible, -visible(I mean she can be seen and disappear unnoticed)

Misukule pia nimewaona na si mmoja ila karibia wote wanasifa zinafanana

Appearance: Ni binadamu
Visibility : + visible and - visible
Skin color: rangi kama za binadamu tulivyo ila wamechoka kweli

Mizimu pia haina tofauti sana,lakini ile niliyobahatika kuitizama ilikuwa na muonekano black afu ilkuwa mchanganyiko(I mean watoto na watu wazima kidogo)

Si hivyo tu vitu vingi nimeona ila kwa kuwa bado debate ni kubwa nadhani hii itakutosha lakini isipokupa picha nzuri nadhani utahitaji kuwa na subra kidogo
 
Hapo nimekuelewa vizuri, nitakujibu kiwepesi tu, katika kila jambo tambua kuna jambo jingine ndani yake. Cha kwanza unatakiwa ukubali kuwa hayo yote yapo katika mambo ya kiimani, na ndio mana hata leo hii hakuna dini moja.

Usichanganywe na wingi wa dini au miungu inayosemwa hata ukafikia kuhoji kwa nini palikosekana utaratibu wa kuwa na usitarabu mmoja wa kiima,na badala yake pakawepo mlolongo wa dini nyingi na miungo kama wote

Hayo ni mambo mepesi mno na yanaelezeka kwa wepesi sana, kwanza tambua kila imani ina mfumo wake japo inabaki kuwa ni imani ile ile. Hapo inategemea na ww unataka kipi katika imani hiyo, hapo utakacho taka ni mwongozo katika imani unayotaka kuielekea.

Ndo hapo tunapata utofauti wa sayansi na mambo ya kiimani, sayansi mna njia moja na kila ukiifata utapata majibu yale yale, ila imani ina njia nyingi ndio mana unapotea na inakuchanganya. Haina mfumo wa rasimi ila inategemea na dhamira ya mpokeaji .Kwa sababu imani inahusu mwanadamu mwenyewe na sio kitu kingine, inahusu roho na utu wa mtu, ndio mana kuna mapokeo mengi hata leo.

Hapa sasa ukitaka kujua ni kuingia katika imani ndio utaanza kupata picha ya mambo yalivyo. Kwa sababu imani ni elimu kama elimu zingine ila ni elimu katika ulimwengu wa kiroho sio ulimwengu wa kimwli.
 
habari great thinkers.

Uwepo wa mungu ni matokea ya maendeleo ya binadamu katika kuupata ustaarabu.Men create the god in their own imagination.Ndo mana wale miungu ya kale kabla ya hizi dini mpya za kisasa walikuwa na maumbo ya kibinadamu(human look_like) hata sifa walikuwa kama binadmu.
Walikuwa na sifa za kulia, kukasirika,wivu, njaa n.k.

Lakini hizi dini za kileo ni maboresho ya dini za kale so that hata miungu ya dini hizi wamepewa sifa nyingi kidogo kuliko wale wa kale,ikiwemo kutoonekana,ana uwezo wote, yupo kila sehemu n.k.
Nadhani wote tunajuwa kuwa binadamu alikuwa anaishi pamoja na wanyama wengine hapo kale kabla ya kuanza kujitenga na kuanzisha ustaarabu wake,katika kipindi hiki cha maisha binadamu alikuwa hana tofauti na wanyama wengine.Ilimchukau mamilioni ya miaka biandamu kujitofautisha na wanyama wengine na kuanza kustaarabika.Katika kipindi hiki huyu binadamu alianzisha mambo mbalimbali ikiwemo Dini,mungu,sheria,taifa n.k.

There are no gods,no god in the universe,no nation,no money,no justice,no law,no human rights out side the common imagination of human beings.Mara baada ya kuapata ustaarabu binadamu aliweza kuanzisha mambo mengi ikiwe religion institutions,mungu n.k.

View attachment 1941529
Nje ya mawazo ya mwanadamu ni wapi?
 
Jini niliyemuona ni wakike
UMRI:siwezi sema exactly lakini alikuwa na muonekano wa mtu mzima kidogo
SKIN COLOR: Brown like color
APPEARANCE: Human like shape
VISIBILITY: +visible, -visible(I mean she can be seen and disappear unnoticed)

Misukule pia nimewaona na si mmoja ila karibia wote wanasifa zinafanana

Appearance: Ni binadamu
Visibility : + visible and - visible
Skin color: rangi kama za binadamu tulivyo ila wamechoka kweli

Mizimu pia haina tofauti sana,lakini ile niliyobahatika kuitizama ilikuwa na muonekano black afu ilkuwa mchanganyiko(I mean watoto na watu wazima kidogo)

Si hivyo tu vitu vingi nimeona ila kwa kuwa bado debate ni kubwa nadhani hii itakutosha lakini isipokupa picha nzuri nadhani utahitaji kuwa na subra kidogo
Unaposema Human like shape, una maanisha exactly kama Human au kuna part sio za kibinadamu

Na wana jinsia kwa ajiri ya kazi gani? Kuzaliana?

Wanazungumza lugha gani,na ushawahi kuzungumza na mmoja wapo ukamuuliza mtazamo wake kuhusu maarifa ya binadamu, asili yao(hao majini) n.k

Una ushahidi wowote nje ya maneno yako?

Hio misukule wapi naweza kuiona na mimi?
 
Kwani thor hayupo kwenye mambo ya kiimani?

Kwasababu una elimu ya kiimani basi ni wazi unakubali kua thor ni mungu wa kweli?
Hata wewe hapo ni mungu, kwani mara ngapi mnafundisha kuwa mwanadam ndio mungu mwenyewe? Na anajitawala kabisa katika uungu wake. Leo unauliza kuhusu thor.Hao wote ni miiungu na ipo mingi zaidi na zaidi

Ndio mana imani ni nyingi na hata mnazo waaminisha watu kuwa hakuna Mungu nazo ni mielekeo ya kiimani pia.
 
Hapo nimekuelewa vizuri, nitakujibu kiwepesi tu, katika kila jambo tambua kuna jambo jingine ndani yake. Cha kwanza unatakiwa ukubali kuwa hayo yote yapo katika mambo ya kiimani, na ndio mana hata leo hii hakuna dini moja.

Usichanganywe na wingi wa dini au miungu inayosemwa hata ukafikia kuhoji kwa nini palikosekana utaratibu wa kuwa na usitarabu mmoja wa kiima,na badala yake pakawepo mlolongo wa dini nyingi na miungo kama wote

Hayo ni mambo mepesi mno na yanaelezeka kwa wepesi sana, kwanza tambua kila imani ina mfumo wake japo inabaki kuwa ni imani ile ile. Hapo inategemea na ww unataka kipi katika imani hiyo, hapo utakacho taka ni mwongozo katika imani unayotaka kuielekea.

Ndo hapo tunapata utofauti wa sayansi na mambo ya kiimani, sayansi mna njia moja na kila ukiifata utapata majibu yale yale, ila imani ina njia nyingi ndio mana unapotea na inakuchanganya. Haina mfumo wa rasimi ila inategemea na dhamira ya mpokeaji .Kwa sababu imani inahusu mwanadamu mwenyewe na sio kitu kingine, inahusu roho na utu wa mtu, ndio mana kuna mapokeo mengi hata leo.

Hapa sasa ukitaka kujua ni kuingia katika imani ndio utaanza kupata picha ya mambo yalivyo. Kwa sababu imani ni elimu kama elimu zingine ila ni elimu katika ulimwengu wa kiroho sio ulimwengu wa kimwli.
Wewe unachofanya hapa ni kurudia tu yale uliyoyasikia kwa wengine tangu ukiwa mtoto, na hao ulio wasikia pia walisikia kwa wengine tangu wakiwa watoto
Tunaita mapokea,

Unarudia kitu ambacho umekisikia kwa watu waliokisikia kwa watu waliosikia kwa watu wengine (list goes on)

Ulimwengu wa mwili (Physical world) ni huu tunaoishi
Una sheria zake na una tabia yake

Naweza thibitisha chochote ambacho kina exist kwenye huu ulimwengu wa mwili bila kutaka wewe (assume huamini kuhusu ulimwengu wa mwili) uamini chochote

Ndiyo Rocket itapaa kwenda juu iwe una amini itapaa au huamini, kwasababu sayansi inafanya kazi na kila kitu kinaelezeka

Sasa mimi siamini ulimwengu wa roho, nithibitishie kivipi naweza kupata access yake

Una sheria zipi?

Una tabia zipi?

Nipe procedures za prove upo na unafanyaje kazi?
 
Hili swali hata wewe ukilisoma vizuri unaona lipo sawa?
Ndio hapo wewe unapo taka mtu akudhibitishie uwepo wa Mungu nje ya imani, kila kitu kina njia zake za kujitambulisha. Uwepo wa Mungu mtu atauona akijikita katika elimu hiyo. Ni sawa na leo nikuambie mambo ya uchawi utanikatalia kata kata, si kwambo hayapo ila ni kwamba hauyajui na wala njia zake hauna ufahamu nazo.

Ukinikubalia ni sawa na usiponikubalia pia ni sawa. Kwa sababu si kila jambo utaweza kulijua. Ila kuna mambo mengi usiyoyajua nje ya elimu zako
 
Unaposema Human like shape, una maanisha exactly kama Human au kuna part sio za kibinadamu

Na wana jinsia kwa ajiri ya kazi gani? Kuzaliana?

Wanazungumza lugha gani,na ushawahi kuzungumza na mmoja wapo ukamuuliza mtazamo wake kuhusu maarifa ya binadamu, asili yao(hao majini) n.k

Una ushahidi wowote nje ya maneno yako?

Hio misukule wapi naweza kuiona na mimi?
Kwanza nianze kusema kuwa ushahidi ninao ila nlikuomba mda kidogo

Pili jini niliyemuona sio sawa na binadamu ila anataka kufanana na binadamu karibia kila kitu tofauti ni kwamba yeye alikuwa na tabaka jeupe(limeanzia maeneo kidogo na shingo kushuka mpaka chini ya magoti kidogo) ambalo lilionekana kama vazi lake lakini halikuwa vazi

Mwisho kabisa misukule inaonekana lakini si kizembe hivyo.Kuna watu watakwambia ukifanya uganga unaweza kuwaona lakini mimi ilitokea tu kama bahati maana hakuna juhudi yoyote nilikuwa nimefanya

Kumalizia kabisa ni kwamba hii dunia ina mambo mengi ambayo binadamu hajui na wanaofahamu haya mambo pengine wameifanya kuwa siri.Lakini shukuru Mungu kwa hicho unachokijua na kitumie vizuri kitakusaidia

Kuhusu lugha nimeshindwa kukupa jibu sahihi kwa maana mimi niliweza kumuona tu lakini kwa msaada zaidi nilipata kuona viumbe wengine ambao ni sawa na majini,wale wana uwezo wa kusema lugha yoyote unayoijua wewe mnapokutana

Thank you and goodbye!
 
Ndio hapo wewe unapo taka mtu akudhibitishie uwepo wa Mungu nje ya imani, kila kitu kina njia zake za kujitambulisha. Uwepo wa Mungu mtu atauona akijikita katika elimu hiyo. Ni sawa na leo nikuambie mambo ya uchawi utanikatalia kata kata, si kwambo hayapo ila ni kwamba hauyajui na wala njia zake hauna ufahamu nazo.

Ukinikubalia ni sawa na usiponikubalia pia ni sawa. Kwa sababu si kila jambo utaweza kulijua. Ila kuna mambo mengi usiyoyajua nje ya elimu zako
Hapa mantiki yako sijaiona
Unacho sema ni kwamba huwezi kuthibitisha imani yako nje ya imani yako?

Hii sentensi bado haina Maana

Kwa mfano unaamini, maombi yanafanya kazi, sio?
Hii ni imani.

Lakini kuna sababu iliyofanya uamini maombi yanafanya kazi

Labda ulimwombea mgonjwa wa cancer akapona bila matibabu yoyote au ulishuhudia mchungaji akiweka mkono kwa kipofu aliyetoboka macho, kisha macho yakarudi

Hizi zote ni reasonable reasons ambazo unaweza mthibitishia yoyote asiyeamini kuwa maombi yanafanya kazi (imani)

Na sio kusema, siwezi thibitisha maombi nje ya maombi

Sasa kama umeona huo mfano hapo juu, wenda kuna sababu ambazo zimekufanya uamini Kuwa Mungu wa imani yako yupo

Huwezi amini tu bila sababu

Wenda umeshangazwa na jinsi gani mfumo wa uzazi unavyofanya kazi, au jinsi gani sayari zinazunguka jua bila kugongana

Au jinsi gani DNA zina encode information kuhusu wewe

Au kwanini kila binadamu ana finger prints unique

Hizi ni sababu, ambazo zinaweza kukufanya ujenge hoja nzuri tu ya ku prove unachoamini

Sisi tunataka sasa hio hoja....
Tupe hoja
 
Kwanza nianze kusema kuwa ushahidi ninao ila nlikuomba mda kidogo

Pili jini niliyemuona sio sawa na binadamu ila anataka kufanana na binadamu karibia kila kitu tofauti ni kwamba yeye alikuwa na tabaka jeupe(limeanzia maeneo kidogo na shingo kushuka mpaka chini ya magoti kidogo) ambalo lilionekana kama vazi lake lakini halikuwa vazi

Mwisho kabisa misukule inaonekana lakini si kizembe hivyo.Kuna watu watakwambia ukifanya uganga unaweza kuwaona lakini mimi ilitokea tu kama bahati maana hakuna juhudi yoyote nilikuwa nimefanya

Kumalizia kabisa ni kwamba hii dunia ina mambo mengi ambayo binadamu hajui na wanaofahamu haya mambo pengine wameifanya kuwa siri.Lakini shukuru Mungu kwa hicho unachokijua na kitumie vizuri kitakusaidia

Kuhusu lugha nimeshindwa kukupa jibu sahihi kwa maana mimi niliweza kumuona tu lakini kwa msaada zaidi nilipata kuona viumbe wengine ambao ni sawa na majini,wale wana uwezo wa kusema lugha yoyote unayoijua wewe mnapokutana

Thank you and goodbye!
Carl sagan aliwahi kusema
Tuhuma nzito zinahitaji ushahidi mzito

Hayo maelezo uliyoyatoa kuhusu majini na misukule ni ya kawaida sana

Mimi mwenyewe binafsi naweza buni maelezo mazuri na yakushangaza kuliko hayo

Yote unayoyaeleza,script writers wabovu wa bongo movie wanaweza buni zaidi ya hapo

Njoo na ushahidi extraordinary kuhusu Majini, mizimu au misukule
Sio hizi ambazo mwandishi yoyote anaweza akatunga

Katika maelezo yako sijaona kitu cha kuni convince
Sijaona compelling evidence yoyote

Umerudia yale yale tunayo yasikia kila siku kwenye masimulizi na kuyaona kwenye movie

Kuwa majini yanakaa baharini, misukule ina nywele ndefu

Mizimu inakaa porini etc..
 
Wewe unachofanya hapa ni kurudia tu yale uliyoyasikia kwa wengine tangu ukiwa mtoto, na hao ulio wasikia pia walisikia kwa wengine tangu wakiwa watoto
Tunaita mapokea,

Unarudia kitu ambacho umekisikia kwa watu waliokisikia kwa watu waliosikia kwa watu wengine (list goes on)

Ulimwengu wa mwili (Physical world) ni huu tunaoishi
Una sheria zake na una tabia yake

Naweza thibitisha chochote ambacho kina exist kwenye huu ulimwengu wa mwili bila kutaka wewe (assume huamini kuhusu ulimwengu wa mwili) uamini chochote

Ndiyo Rocket itapaa kwenda juu iwe una amini itapaa au huamini, kwasababu sayansi inafanya kazi na kila kitu kinaelezeka

Sasa mimi siamini ulimwengu wa roho, nithibitishie kivipi naweza kupata access yake

Una sheria zipi?

Una tabia zipi?

Nipe procedures za prove upo na unafanyaje kazi?
Unamaswali mazuri sana mkuu na wewe ni mtu mwelewa sana.

Sasa nikueleze kidogo tu, kila jambo lina key zake hasa katika mambo ya kiimani , tofauti na sayansi inayojielezea wazi wazi na mambo yake yanayoonekana live kwa macho.

Access ya kiimani ina mambo yake kutokana na imani ipi unayotaka, key zake zinatofautiana kutokana na imani ipi unayoitaka kuilelekea. Nazo ni shule tosha zinahitaji mafundisho na hata mitihani ipo ili uweze kufikia hitaji lako na kuuona ulimwengu mwingine ambao bado hujaujua.

Hakuna mambo ya kusikia kwetu wala kuambiwa mkuu, ni kwa macho yetu na mengine yanatendeka kwa mikono yetu, sema wewe haujui tu, ila sio mbaya ukipata elimu tofauti na uliyo nayo mana hautapungukiwa na chochote ,ila utaongeza maarifa na ni vyema kabisa.

Sasa hapa unataka key ya imani ipi wewe ili angalau niweze kukusaidia kwa swali lako, mana zipo imani nyingi ndio maana unaona utitiri wa dini na miiungu wengi.
 
Carl sagan aliwahi kusema
Tuhuma nzito zinahitaji ushahidi mzito

Hayo maelezo uliyoyatoa kuhusu majini na misukule ni ya kawaida sana

Mimi mwenyewe binafsi naweza buni maelezo mazuri na yakushangaza kuliko hayo

Yote unayoyaeleza,script writers wabovu wa bongo movie wanaweza buni zaidi ya hapo

Njoo na ushahidi extraordinary kuhusu Majini, mizimu au misukule
Sio hizi ambazo mwandishi yoyote anaweza akatunga

Katika maelezo yako sijaona kitu cha kuni convince
Sijaona compelling evidence yoyote

Umerudia yale yale tunayo yasikia kila siku kwenye masimulizi na kuyaona kwenye movie

Kuwa majini yanakaa baharini, misukule ina nywele ndefu

Mizimu inakaa porini etc..
Mkuu nimerudi ila haikunibidi nifanye hivi

Unahisi kwamba hapa tunashindana labda? kama unahisi hivyo mimi sina mpango huo

Pili unahisi kwamba nipo hapa kukueleza uongo kwamba mwisho wa siku nionekana najua sana au vp? kama unahisi hivyo mimi sio mtu wa namna hiyo

Tatu unahisi kwamba mimi nashindana kuonyesha kwamba Mungu yupo? hiyo si kazi yangu maana yeye kashafanya hivyo ata kabla ya mimi kuepo hapa duniani

Mwisho kabisa niseme kwamba kuna vitu unavijua vitumie hivyo vitakusaidia ila kuna mengi bado hujui kabisa nayasikupe shida maana hujapangwa uyajue.Ila ikipita miaka miwili sijarudi kukupata huo ushahidi basi hesabu kwamba yote niliyosema si sahihi
 
Hapa mantiki yako sijaiona
Unacho sema ni kwamba huwezi kuthibitisha imani yako nje ya imani yako?

Hii sentensi bado haina Maana

Kwa mfano unaamini, maombi yanafanya kazi, sio?
Hii ni imani.

Lakini kuna sababu iliyofanya uamini maombi yanafanya kazi

Labda ulimwombea mgonjwa wa cancer akapona bila matibabu yoyote au ulishuhudia mchungaji akiweka mkono kwa kipofu aliyetoboka macho, kisha macho yakarudi

Hizi zote ni reasonable reasons ambazo unaweza mthibitishia yoyote asiyeamini kuwa maombi yanafanya kazi (imani)

Na sio kusema, siwezi thibitisha maombi nje ya maombi

Sasa kama umeona huo mfano hapo juu, wenda kuna sababu ambazo zimekufanya uamini Kuwa Mungu wa imani yako yupo

Huwezi amini tu bila sababu

Wenda umeshangazwa na jinsi gani mfumo wa uzazi unavyofanya kazi, au jinsi gani sayari zinazunguka jua bila kugongana

Au jinsi gani DNA zina encode information kuhusu wewe

Au kwanini kila binadamu ana finger prints unique

Hizi ni sababu, ambazo zinaweza kukufanya ujenge hoja nzuri tu ya ku prove unachoamini

Sisi tunataka sasa hio hoja....
Tupe hoja
Umenielewa mkuu hapo, nilikuwa na maana hiyo hiyo, kwamba imani haithibitishi kwa mfumo ulio uzoea wewe.

Ndio mana nikasema haiwezekani kuthibitisha imani nje ya imani,imani inaendana na wenye imani na wao kwao hicho ni kitu cha kawaida kabisa. Ndo mana leo hawezi kufika mtu mwezini bila msaada wa sayansi au mwana sayansi .
 
Hapo nimekuelewa vizuri, nitakujibu kiwepesi tu, katika kila jambo tambua kuna jambo jingine ndani yake. Cha kwanza unatakiwa ukubali kuwa hayo yote yapo katika mambo ya kiimani, na ndio mana hata leo hii hakuna dini moja.

Usichanganywe na wingi wa dini au miungu inayosemwa hata ukafikia kuhoji kwa nini palikosekana utaratibu wa kuwa na usitarabu mmoja wa kiima,na badala yake pakawepo mlolongo wa dini nyingi na miungo kama wote

Hayo ni mambo mepesi mno na yanaelezeka kwa wepesi sana, kwanza tambua kila imani ina mfumo wake japo inabaki kuwa ni imani ile ile. Hapo inategemea na ww unataka kipi katika imani hiyo, hapo utakacho taka ni mwongozo katika imani unayotaka kuielekea.

Ndo hapo tunapata utofauti wa sayansi na mambo ya kiimani, sayansi mna njia moja na kila ukiifata utapata majibu yale yale, ila imani ina njia nyingi ndio mana unapotea na inakuchanganya. Haina mfumo wa rasimi ila inategemea na dhamira ya mpokeaji .Kwa sababu imani inahusu mwanadamu mwenyewe na sio kitu kingine, inahusu roho na utu wa mtu, ndio mana kuna mapokeo mengi hata leo.

Hapa sasa ukitaka kujua ni kuingia katika imani ndio utaanza kupata picha ya mambo yalivyo. Kwa sababu imani ni elimu kama elimu zingine ila ni elimu katika ulimwengu wa kiroho sio ulimwengu wa kimwli.
So unakubaliana na mimi kuwa mungu,miungu ni people's invention tu from their imagination au unakata kauli hii
 
Back
Top Bottom