Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Mshirikishe mungu wako kujua mi nani, au mungu wako hana sifa ya ujuzi wote?wewe ni nan?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshirikishe mungu wako kujua mi nani, au mungu wako hana sifa ya ujuzi wote?wewe ni nan?
wewe ni nani?umerudi tena? Ebu nihakikishie kwamba huta kimbia maswali tena
Kama hujawahi kimbia basi nakurudisha kwenye swali ambalo mimi nasema ulilikimbiasijawahi kimbia wakati wowote ule
Na uhakika hujui wewe ni naniMshirikishe mungu wako kujua mi nani, au mungu wako hana sifa ya ujuzi wote?
Nimekuulza kuhusu sayansi umeshindwa.Kama hujawahi kimbia basi nakurudisha kwenye swali ambalo mimi nasema ulilikimbia
Nipatie definition ya mungu wako pamoja na sifa zake, kisha unothibitishie yupo
"Na uhakika hujui wewe ni nani"Na uhakika hujui wewe ni nani
kuhusu Mungu wangu nimekueleza toka kitambo tofauti ya seeker na believer
Nikataj na jinsi navyo mjua Mungu wang.
usiwe mwepesi wa kusahau
Maswali yako yapo irrelevant, na ndio maana nimekuambia hiyo kazi ya kujua mi ni nani kwanini asiifanye huyo mungu unaye muamini ili iwe njia rahisi ya kuthibitisha yupoNimekuulza kuhusu sayansi umeshindwa.
Hata wewe ni nan pia hujui?
We mbona mwepes wa kusahau"Na uhakika hujui wewe ni nani"
Kama kawaida yako hapo utasema hoja yako imebase kwenye hpothesis
Maelezo yako yamejaa contradiction hata we ukitulia soma mara mbili ulichokiandika sidhani kama kimewasilishwa kiufasaha
Ulisema una amini mungu yupo (believer), hapa tena umedai kua wewe sio believer (seeker)
At the same time unapoielezea hiyo seeker unadai kua ni hatua ya hypothesis ambayo inayoanza na kuamini kitu kipo. Hivi maelezo hayo hata wewe hayakuchanganyi?
i am a seeker not believer
Huyo Mungu wangu hafanyi kazi kimuujiza kama uliyezoea kumsikia ni Mungu wa principleMaswali yako yapo irrelevant, na ndio maana nimekuambia hiyo kazi ya kujua mi ni nani kwanini asiifanye huyo mungu unaye muamini ili iwe njia rahisi ya kuthibitisha yupo
Hujui kwamba ukiweza hilo utakua umethibitisha yupo kirahisi bila kutumia sayansi?
Yako irrevant kwasababu hayajajibiwa kwenye logic zako?Maswali yako yapo irrelevant, na ndio maana nimekuambia hiyo kazi ya kujua mi ni nani kwanini asiifanye huyo mungu unaye muamini ili iwe njia rahisi ya kuthibitisha yupo
Hujui kwamba ukiweza hilo utakua umethibitisha yupo kirahisi bila kutumia sayansi?
Maswali yako unaweza kujibu yakiangukia kwenye logic ulizo kalilMaswali yako yapo irrelevant, na ndio maana nimekuambia hiyo kazi ya kujua mi ni nani kwanini asiifanye huyo mungu unaye muamini ili iwe njia rahisi ya kuthibitisha yupo
Hujui kwamba ukiweza hilo utakua umethibitisha yupo kirahisi bila kutumia sayansi?
Nacheka sana,tatizo unataka nijibu ujinga kinyume na uhalisia. Swali lako nimekujibu zaidi ya mara moja. Unarudia rudia ujinga ule ule. Na ays nikakupa.Sheikh
Hakuna unachokijua
Hujui kujenga hoja
Hujui pia kusoma hoja za wengine
Unajaza huu uzi kwa comments zisizo na mantiki yoyote...
Nimekuuliza swali moja, na nakuuliza tena
Kwanini Allah hakuteua mitume kwenye kila jamii ya watu duniani na kwa wakati mmoja?
Mtu akisoma tu hoja zako anagundua una shida kubwa sana ya kujielezea
Nauuliza tena kati ya kuanzisha uislam kwenye kila jamii ya watu na kwa wakati mmoja na kuanzisha uislam kwa kuchagua jamii moja tu ya watu fulani tena ndani ya kipindi fulani baada ya dini nyingine kuibuka ipi ni njia sahihi?
Ku argue na wewe ni kupoteza mda
Shida kubwa ya watu hawa hawayafikirii mambo katika uhalisia wake,zaidi ya kufikiri kwa mujibu wa mawazo ya walio watangulia.Mkuu natamani kujua hao wanaopinga uwepo wa Mungu wanapata maslahi gani lengo lao kuu nini?
Hivi hawajajificha kwa ibilisi kweli?
Hili nimeshlifanya zaidi ya mara kumi humu.Thibitisha allah yupo
someni vitabu sio kukalili terminologies.Maswali yako yapo irrelevant, na ndio maana nimekuambia hiyo kazi ya kujua mi ni nani kwanini asiifanye huyo mungu unaye muamini ili iwe njia rahisi ya kuthibitisha yupo
Hujui kwamba ukiweza hilo utakua umethibitisha yupo kirahisi bila kutumia sayansi?
Ukisha prove unalipwa nini ?Haitoshi.
Ume define vizuri
Kwako Mungu ni yule anayetufanya tupoteze fahamu usiku kisha anazirejesha zikirudi
Jenga hoja sasa, kwa mfano kwanini tukubalieni na hitimisho lako (kuwa Mungu kwa tafsiri uliyotoa yupo)
Kabla hujajenga hoja, at least get your facts straight
Hatupotezi fahamu usingizini, to the contrary
Bongo zetu zinakua active zaidi usingizini kuliko tukiwa macho
Mchana kutwa ubongo wako haupati mda mzuri wa kuchakata taarifa, isipokua usiku
Ndiyo maana tunaota
So ni uongo kuwa tunapoteza fahamu usingizi
Mkuu, hatuzimii usiku, tunalala.
Rekebisha tafsiri yako ya neno Mungu tuendelee
Au rise hoja inayopinga nilichosema hapo juu
Karibu....
Halafu kama bado hujui tunachotaka, tunaka ku prove imani yako wrong
Unataka kujua ya nini na shetani humjui?Wakina nani hao wanamfanyia kazi shetani?
Ongea kingine ila usiongee katika suala la ujengaji wa hoja,hapa ndiyo mahala pake.Sheikh
Hakuna unachokijua
Hujui kujenga hoja
Naamini hawa wana tekeleza ahadi ya ibilis yani wanafanya kazi moja kutoa watu katika haki.Shida kubwa ya watu hawa hawayafikirii mambo katika uhalisia wake,zaidi ya kufikiri kwa mujibu wa mawazo ya walio watangulia.
Hao kwanza ni uzembe wao, Ibilisi huwa ana dili sana na watu wenye imani hao ambao wameshapotea tayari hashughuliki nao sababu kwake Ibilisi hawamsumbui.
Kingine usiongelee kuhusu "mantiki" kwangu mimi sababu unadhihirisha wazi ya kuwa katika suala la ujengaji hoja ns mjadala uko duni sana.Unajaza huu uzi kwa comments zisizo na mantiki yoyote...
Hukuona aya niliyo kuwekea toka katika Qur'aan au husomi ninacho kiandika ?Kwanini Allah hakuteua mitume kwenye kila jamii ya watu duniani na kwa wakati
Haya maneno tu kwayo huwezi kuthibitisha ukweli wake mpaka unakufa.Mtu akisoma tu hoja zako anagundua una shida kubwa sana ya kujielezea
Hili swali unataka nikujibu mara ngapi ? Niambie.Nauuliza tena kati ya kuanzisha uislam kwenye kila jamii ya watu na kwa wakati mmoja na kuanzisha uislam kwa kuchagua jamii moja tu ya watu fulani tena ndani ya kipindi fulani baada ya dini nyingine kuibuka ipi ni njia sahihi?