Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Akili mtu wangu, mabwege kama hawa hawaishi mtandaoni [emoji3]So uliweka kila kitu hadi CVV? Mkuu sasa mtu anayelipa unampaje CVV mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili mtu wangu, mabwege kama hawa hawaishi mtandaoni [emoji3]So uliweka kila kitu hadi CVV? Mkuu sasa mtu anayelipa unampaje CVV mkuu?
Kwenye upigaji kwa njia hii hata mimi nitawapiga sana, why?.Siyo wajinga ila shida sisi wabongo ni wapigaji sana na tumeona utapeli ni sehemu ya maisha.
VLC player kuna watu wana-donate, mtu akiingia YouTube akakutana njia ya kutatua tatizo lake ana-donate
Hapa ndipo kuna kazi. Kupata hyo connectionHizo njia zote zinajulikana, ila kusuka mfumo wa kazi mpka hela isome kwenye account hakuna mtu atakayekuambia!
Hii nzuri inahitajika muda piaWatu wengi Wamekuwa wanataman kutengeneza pesa online na hawajui ipi njia bora na nzuri zaidi, kwanza toka hii kitu akilini mwako kwamba ukianza kitu after 5-7 days unaweza toboa kwa hiyo kitu. watu wengine wamekuwa wanagive up katika sehemu mbalimbali tena online tunaona vijn wengi wanasema online kuna utapeli lakin kuna kazi unaweza fanya online na Ukapata Kipato kizur kwa Mwezi, Wiki, hata siku zifuatazo ni Njia 5 Bora za online ambazo unaweza Tengeneza Pesa
1. Kuanzisha Blog Au Tovitu na Kuandika Makala Mbali Zinazovutia watu. Kuweza Kuweka Matangazo Kutoka kwa Makampuni Kama Adsense, Adsterra,Monetag na Nyinginezo. Hapa Unahitaji Kuwa na Mda Kidogo wa Kufuatilia Ipi ni Niche Nzuri Kwako
2. Kuanzisha Duka la Online. Hapa ni Kwa wafanya Biashara wenye Waduka ya Nguo, Electronic. Unaweza Tengeneza Website yako utakayokuwa unauza vitu vyako na Kuandika bei huko huko. na hii itafanya Wateja kukuamini zaidi
3.Kutoa Huduma za Freelancing. Unaeza kuwa unatoa baadhi ya services Katika website mbalimbali zinazoruhus hiz kazi na Kutengeneza pesa baada ya Kufanya kazi
Note: hapa unahitajik uwe na elimu ya Hicho Kitu Kwa Undani zaidi
4.Kufanya Kazi na YouTube. Tunaona wanamuzik Wengi wapa post video zao YouTube na Watu Wengin Ukweli ni Kwamba YouTube inalipa na Kwa Mwezi Kama ukiwa na bidii unaweza Tengeneza zaidi ya 1000K ($500+) na zaidi pia kama ukiweka video zinazopata watu wengi na kwa mda mchache
5.Kufaya Kazi kama Muuzaji Katika Baadhi ya website kama eBay,Amazon,Alibaba
hapa wew unatakiwa kuwa na website pia unachukua bidhaa kutoka hiz website na una import kwako na unapanga bei yako na Hiyo Mitandao itafnya delivery [emoji598] kwa Watej Wako Baada ya Kununua Bidhaaa
Hapo unakuwa haujawapiga, wanafanya marketing wakakupa free trial ya hizo weeks, bahati nzuri ukamaliza kazi.Kwenye upigaji kwa njia hii hata mimi nitawapiga sana, why?.
Wametaka nilipe, nikaenda kauta kulipa, badala ya kuchukua pesa wananipa muda wa kutumia then after one week ndipo wanakuja tena wakitaka niwalipe how come?.
Watu wengi Wamekuwa wanataman kutengeneza pesa online na hawajui ipi njia bora na nzuri zaidi, kwanza toka hii kitu akilini mwako kwamba ukianza kitu after 5-7 days unaweza toboa kwa hiyo kitu. watu wengine wamekuwa wanagive up katika sehemu mbalimbali tena online tunaona vijn wengi wanasema online kuna utapeli lakin kuna kazi unaweza fanya online na Ukapata Kipato kizur kwa Mwezi, Wiki, hata siku zifuatazo ni Njia 5 Bora za online ambazo unaweza Tengeneza Pesa
1. Kuanzisha Blog Au Tovitu na Kuandika Makala Mbali Zinazovutia watu. Kuweza Kuweka Matangazo Kutoka kwa Makampuni Kama Adsense, Adsterra,Monetag na Nyinginezo. Hapa Unahitaji Kuwa na Mda Kidogo wa Kufuatilia Ipi ni Niche Nzuri Kwako
2. Kuanzisha Duka la Online. Hapa ni Kwa wafanya Biashara wenye Waduka ya Nguo, Electronic. Unaweza Tengeneza Website yako utakayokuwa unauza vitu vyako na Kuandika bei huko huko. na hii itafanya Wateja kukuamini zaidi
3.Kutoa Huduma za Freelancing. Unaeza kuwa unatoa baadhi ya services Katika website mbalimbali zinazoruhus hiz kazi na Kutengeneza pesa baada ya Kufanya kazi
Note: hapa unahitajik uwe na elimu ya Hicho Kitu Kwa Undani zaidi
4.Kufanya Kazi na YouTube. Tunaona wanamuzik Wengi wapa post video zao YouTube na Watu Wengin Ukweli ni Kwamba YouTube inalipa na Kwa Mwezi Kama ukiwa na bidii unaweza Tengeneza zaidi ya 1000K ($500+) na zaidi pia kama ukiweka video zinazopata watu wengi na kwa mda mchache
5.Kufaya Kazi kama Muuzaji Katika Baadhi ya website kama eBay,Amazon,Alibaba
hapa wew unatakiwa kuwa na website pia unachukua bidhaa kutoka hiz website na una import kwako na unapanga bei yako na Hiyo Mitandao itafnya delivery 🚚 kwa Watej Wako Baada ya Kununua Bidhaaa
Mkuu wewe unapga ipilazima hakuna mafanikio simple. sasa hujitumi wategemea miujiza
Sometimes neema inashuka online. Ndani ya mwezi mmoja nimevuta zaidi ya $8000 Wallahnimeandaaa Book Ambayo nimeeleza Mengi sana na Deep Kwanzia Njia Zote na Njins ya Kutoa pesa
Nanunua Google Play Console kwa bei nzuri Kwanzia laki 3... nicheki..0718474600