Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa alikuwa anajiamini 100% . kumbe mko wengi duuh...hongereni.I was applying this method too...
Wewe ni miiuaji aisee khahIngiza bomba tupu la sindano ndani ya papuchi fanya kama unavuta dawa vuta mara kumi, kwisha kazi.
hizi zina mtu na mtu wengine hazisaidii kabisa nina rafiki yangu alimeza na mimba akapataFlagil 6
Meza flagil
Utamuua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Flagil 6
Mtoto ana miaka mingapi sasa hivi?p2 iliwahi fail kwangu
Mbegu hazitatoka (zote) kwa kuoga, kuingiza vidole na kuzivuta au kujikakamua, kwakua mamilioni ya mbegu hutoka katika mshindo mmoja zile unazoona zinamwagika ni sehemu tu ya zingine ambazo zipo ndani zikijiandaa kurutubisha yai (nasema zikijiandaa kwakua mbegu zinaweza kukaa hata siku tatu mwilini).AHSANTE MLETA MADA KWA MJADALA HUU.BUT NAOMBA NIULIZE LET SAY MPENZ WAKO YUPO SIKU ZA HATARI AMBAZO AKIFANYA NGONO ANAWEZA PATA MIMBA.swali.JE MKIFANYA NGONO BILA KINGA SIKU YA HATARI NA UKAEJACULATE NDANI.BUT AFTER TEN MINUTES AKAENDA KUOGA.JE KUOGA HUKO AKIJISAFISHA KWA MAJI INAWEZA KUONDOA MBEGUBM ZOTE NA ASIPATE MIMBA??/??