Njia gani sahihi za kuzuia mimba mara baada tu ya kujamiana?

avute sigara 2 inakata uwezekano wa kupata mimba, nyota ndo nzuri zaidi
 
Kuna jamaa yangu back in college yeye huwa anamnywesha huyo patina wake chupa mbili za maji uhai za baridi saaana.
Yule jamaa sijui alipata wapi ile method
unanawia hapo hapo
ukimaliza tu unamimina maji ya baridi sana unananawa
 
Umepigwa dushe na mwanaume usiyempenda nn??? ???????????????????
 
Badala ya kuuliza njia ya kuzuia ukimwi unauliza kuzuia mimba! Utakufa na utamu wako.....subiri!!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] mkuuu hiyo kali[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Kuna jamaa yangu back in college yeye huwa anamnywesha huyo patina wake chupa mbili za maji uhai za baridi saaana.
Yule jamaa sijui alipata wapi ile method
K inakuwa baridi na mbegu znaganda kama ice cream
 
Ikiingia imeingia tu, kuna m2 alipewa dawa za kunywa na nyingine aweke kwenye papuchi, lakini iliingia na akajifungua.
 
Clouds FM leo asubuhi nimesikia tangazo la vidonge kwa kazi hii, vidonge vinauzwa sh 1,500 tu.

Sikumbuki jina, wala sikumbuki chochote zaidi ya nilichokiandika, ila nimeshtuka tangazo kuwa wazi namna hii kama vile abortion iko legalized Bongo.
 
paka maziwa/unato wa mende juu ya papuchi baada tu ya sex hapo hakuna mimba tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…