Njia gani sahihi za kuzuia mimba mara baada tu ya kujamiana?

Emergence contraceptive/Vidonge vya dharura;
•P2
•P72
•Levonorgestrel Ritcher 0.75
•preventol
•i pill
Kazi kwako na mechi njema kumbuka pia kujikinga na UKIMWI
Hizi zote performance yake ni chini ya 65%
 
Kuna jamaa yangu back in college yeye huwa anamnywesha huyo patina wake chupa mbili za maji uhai za baridi saaana.
Yule jamaa sijui alipata wapi ile method
chupa mbili za lita moja ns nusu mkuu?
 
Njia local kabisa bibi aliniambia kabla ya saa 24/72 unachukua majivu anakoroga supu yake au tuiite juisi yake anapiga glasi zake 4 hivi mchenzo 3 bila ahsante.
Note.
Hii utumiwa sana na dada zetu wa mabaani na baadhi ya wake za watu.
naomba vipimo
 
Nimeingia choo cha kike,mi huwa sizini.Ngoja niwaachie wazinifu waendelee kujadili
 
Mbona wapo Wadada kibao wanaolalamika hawapati mimba...si muwatafute hao muwe stress free.
 
Ikiingia imeingia tu, kuna m2 alipewa dawa za kunywa na nyingine aweke kwenye papuchi, lakini iliingia na akajifungua.
Mimi huwa sipendagi uongo, huyo mtu alitumia dawa gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…