Hizi zote performance yake ni chini ya 65%Emergence contraceptive/Vidonge vya dharura;
•P2
•P72
•Levonorgestrel Ritcher 0.75
•preventol
•i pill
Kazi kwako na mechi njema kumbuka pia kujikinga na UKIMWI
Hapana mkuu hizo baadhi nimezosoma na perfomance yake ni kuanzia 75% up to 85%Hizi zote performance yake ni chini ya 65%
Ni ipi ambayo ni 85% kati ya hizo mkuumkuu?Hapana mkuu hizo baadhi nimezosoma na perfomance yake ni kuanzia 75% up to 85%
p2 iliwahi fail kwangu
Hiyo Levonorgestrel Ritcher tena hii ipo sana kwenye zahanati na vituo vya afyaNi ipi ambayo ni 85% kati ya hizo mkuumkuu?
chupa mbili za lita moja ns nusu mkuu?Kuna jamaa yangu back in college yeye huwa anamnywesha huyo patina wake chupa mbili za maji uhai za baridi saaana.
Yule jamaa sijui alipata wapi ile method
naomba vipimoNjia local kabisa bibi aliniambia kabla ya saa 24/72 unachukua majivu anakoroga supu yake au tuiite juisi yake anapiga glasi zake 4 hivi mchenzo 3 bila ahsante.
Note.
Hii utumiwa sana na dada zetu wa mabaani na baadhi ya wake za watu.
Hizo dawa zaitwaje jina nimesahauClouds FM leo asubuhi nimesikia tangazo la vidonge kwa kazi hii, vidonge vinauzwa sh 1,500 tu.
Sikumbuki jina, wala sikumbuki chochote zaidi ya nilichokiandika, ila nimeshtuka tangazo kuwa wazi namna hii kama vile abortion iko legalized Bongo.
Mamdenyi mbona unarusha mawe gizani duhTembeeni tu na hao wanafunzi na hao wajakazi, arobaini yenu itafika tu;
Ulikosea masharti... Ni dawa moja effective sanaap2 iliwahi fail kwangu
Huwa kuna baadhi ya makabila mimba zao hazizuilikiUlikosea masharti... Ni dawa moja effective sanaa
hahaaaBadala ya kuuliza njia ya kuzuia ukimwi unauliza kuzuia mimba! Utakufa na utamu wako.....subiri!!
Mimi huwa sipendagi uongo, huyo mtu alitumia dawa gani?Ikiingia imeingia tu, kuna m2 alipewa dawa za kunywa na nyingine aweke kwenye papuchi, lakini iliingia na akajifungua.