Hanitoni
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 1,146
- 990
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji125] [emoji125]avute sigara 2 inakata uwezekano wa kupata mimba, nyota ndo nzuri zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji125] [emoji125]avute sigara 2 inakata uwezekano wa kupata mimba, nyota ndo nzuri zaidi
MisoprostalHizo dawa zaitwaje jina nimesahau
Unajua lkn madhara ya hv vdonge ukinyw mara moja n sawa na kutoa mayai ya mwanamke ytee kwhy hpaa utavuruga hedhi yake lakn pia janga kubw n pale unapohtaj mtto hlf usimpat kw wakt au kua tasa kabisaaa doooh hkna jemaaEmergence contraceptive/Vidonge vya dharura;
•P2
•P72
•Levonorgestrel Ritcher 0.75
•preventol
•i pill
Kazi kwako na mechi njema kumbuka pia kujikinga na UKIMWI
Yeah hi hata mi nimetumia coca infanya kazi kabisaCoca au pepsi baridiii kesho yake asubuh au keshokutwa...nimetumia miaka 9 sasa...sijawah mpa demu mimba
HongeraCoca au pepsi baridiii kesho yake asubuh au keshokutwa...nimetumia miaka 9 sasa...sijawah mpa demu mimba
Sijawahi kojolea ndani nmezoea kukojolea nje tuJe, imetokea kwa bahati mbaya umetegeka na mwanafunzi na ukamwaga ndani? Au umemwagia dada ambae unahisi huwezi kuzaa nae au hauko tayari, vivyo hivyo kwa mwanamke umetembea na mwanaume usingependa uzae nae au hauko tayari kuzaa nae.
Embu tusubiri wataalamu watupe majibu, mwenyewe sijui.
Fragile [emoji32] hii dawa ni mpya?Fragile 4 mixer maji lita 3
mwambie maji hayasaidii..ila asidi aina ya sulphuric acid ikiwa concentrated inafanya kweli....Ndugu , sperms, hazioshwi kwa maji, hata kama utaingiza Mpira wa kumwagilizia bustani. Ukiisha ejaculate, mbegu zinasafiri kuelekea katika filopian tubes zikifuata yai liliko ambako maji unayotaka kuoshea hayatafika. Tena ni hatari zaidi kama mwanamke atakuwa ni yule mwenye multi orgasms huyo ni moto Mara moja.
Hapana, Mistro pekee ndio zinafanya hiyo kazi.Hizi xinaweza kuondoa mimba ya wiki mbili kasoro siku kadhaa?
Kabla au hata baada yote sawa tu.Ni kabla au ndani ya saa 72 baada ya tendo?
Kuna p2 ambazo zinaenda mpka siku 5, mbali na hapo subiri kulea tu la sivyo utoe.Zikipita siku wik huez zuia ?
Kuna p2 ambazo zinaenda mpka siku 5, mbali na hapo subiri kulea tu la sivyo utoe.Zikipita siku wik huez zuia ?
Ni sahihi..... Lakini atakuwa na probability ya kupata magonjwa ya zinaa, homa ya INI, na hata virusi vya ukimwi.Ameze P2 kabla ya masaa 72...