Njia gani sahihi za kuzuia mimba mara baada tu ya kujamiana?

Njia gani sahihi za kuzuia mimba mara baada tu ya kujamiana?

Unajua lkn madhara ya hv vdonge ukinyw mara moja n sawa na kutoa mayai ya mwanamke ytee kwhy hpaa utavuruga hedhi yake lakn pia janga kubw n pale unapohtaj mtto hlf usimpat kw wakt au kua tasa kabisaaa doooh hkna jemaa
Acha kutisha watu Mkuu, yai litakuwa tayari kupokea tena mbegu mpaka mwezi unaokuja kwa huyo mwanamke.
 
yani humu tunasaidia kweli kweli ..
namimi nikazie hapo hapo tuu ni
1.Majivu
2.P2
3.Flagile
4.Morning After
5. Majani ya Chai Meengi koroga kwenye chai..
kama walivyo sema wenzangu hapo juu.. Ingawa mi sijui
Mkuu inaonekana unachangia usichoelewa
 
Ni sahihi..... Lakini atakuwa na probability ya kupata magonjwa ya zinaa, homa ya INI, na hata virusi vya ukimwi.
Duuh! umenena vyema kabisa,watu wanasahau kabisa kua uzinzi humuweka mtu katika hatari si yakupata mimba tu,bali hata homa ya ini ambayo kwasasa inaua sana pia inapatikana kwa njia ya uzinzi,ngoja tuendelee kuteketea kwakukosa maarifa.
 
Kama wewe ni Mkatoliki jua kwamba kwa wanandoa njia yoyote ya kuzuia mimba kwa makusudi ni DHAMBI ....kama unavyojaribu kutafuta maarifa ya kuzuia mimba ni vizuri ukajua ukweli huu then uchague ....ukiamua kukausha poa ila kama umesoma ujumbe huu message sent and delivered ....[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
We jamaa umekalili so mtu hata akitumia njia ya asili (kalenda) nayo dhambi? Uo ukatoliki wa wapi?
 
Kama wewe ni Mkatoliki jua kwamba kwa wanandoa njia yoyote ya kuzuia mimba kwa makusudi ni DHAMBI ....kama unavyojaribu kutafuta maarifa ya kuzuia mimba ni vizuri ukajua ukweli huu then uchague ....ukiamua kukausha poa ila kama umesoma ujumbe huu message sent and delivered ....[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Kutokana na uliyoongea hapo juu.... Do you really practice what you preach ...!!! Au hizi ni nadharia za kwenye makaratasi pekee???
 
hahaha...,naon mnaogopa kwenda veta[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Coca au pepsi baridiii kesho yake asubuh au keshokutwa...nimetumia miaka 9 sasa...sijawah mpa demu mimba

Mkuu nieleweshe vizuri hapo. Anakunywa Soda ya Pepsibaridi siku ya pili au yatatu baada ya tendo au?
 
Back
Top Bottom