Acha kutisha watu Mkuu, yai litakuwa tayari kupokea tena mbegu mpaka mwezi unaokuja kwa huyo mwanamke.Unajua lkn madhara ya hv vdonge ukinyw mara moja n sawa na kutoa mayai ya mwanamke ytee kwhy hpaa utavuruga hedhi yake lakn pia janga kubw n pale unapohtaj mtto hlf usimpat kw wakt au kua tasa kabisaaa doooh hkna jemaa
Mkuu inaonekana unachangia usichoelewayani humu tunasaidia kweli kweli ..
namimi nikazie hapo hapo tuu ni
1.Majivu
2.P2
3.Flagile
4.Morning After
5. Majani ya Chai Meengi koroga kwenye chai..
kama walivyo sema wenzangu hapo juu.. Ingawa mi sijui
Kabisa Mkuu, p2 si mchezo.Ulikosea masharti... Ni dawa moja effective sanaa
Duuh! umenena vyema kabisa,watu wanasahau kabisa kua uzinzi humuweka mtu katika hatari si yakupata mimba tu,bali hata homa ya ini ambayo kwasasa inaua sana pia inapatikana kwa njia ya uzinzi,ngoja tuendelee kuteketea kwakukosa maarifa.Ni sahihi..... Lakini atakuwa na probability ya kupata magonjwa ya zinaa, homa ya INI, na hata virusi vya ukimwi.
Huyo bashite huyoooKuna jamaa yangu back in college yeye huwa anamnywesha huyo patina wake chupa mbili za maji uhai za baridi saaana.
Yule jamaa sijui alipata wapi ile method
We jamaa umekalili so mtu hata akitumia njia ya asili (kalenda) nayo dhambi? Uo ukatoliki wa wapi?Kama wewe ni Mkatoliki jua kwamba kwa wanandoa njia yoyote ya kuzuia mimba kwa makusudi ni DHAMBI ....kama unavyojaribu kutafuta maarifa ya kuzuia mimba ni vizuri ukajua ukweli huu then uchague ....ukiamua kukausha poa ila kama umesoma ujumbe huu message sent and delivered ....[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Kutokana na uliyoongea hapo juu.... Do you really practice what you preach ...!!! Au hizi ni nadharia za kwenye makaratasi pekee???Kama wewe ni Mkatoliki jua kwamba kwa wanandoa njia yoyote ya kuzuia mimba kwa makusudi ni DHAMBI ....kama unavyojaribu kutafuta maarifa ya kuzuia mimba ni vizuri ukajua ukweli huu then uchague ....ukiamua kukausha poa ila kama umesoma ujumbe huu message sent and delivered ....[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
[emoji3][emoji3][emoji3]babu wa chatle ataua mtu walaihahaha...,naon mnaogopa kwenda veta[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mtoto ana miaka mingapi sasa hivi?
wewe ni mwanamke bila shakaAlitoka apo nikukojoa tu, ukitoka kumwagiwa ukikojoa fasta zinatema zoootee
Coca au pepsi baridiii kesho yake asubuh au keshokutwa...nimetumia miaka 9 sasa...sijawah mpa demu mimba
Wengine haziwatoshi atauaMpe vidonge vya kutoa mimba changa. Au anywe chai yenye majani meengi yachemkie sana.
Na kama kweli zipo zinauzwaje kwa doze?Ivi kweli dawa hizo zipo?