Njia mbadala ya kufidia tozo

Njia mbadala ya kufidia tozo

Wakuu wa wilaya wapo toka nchi imepata uhuru ndugu yangu na itakuaje wilaya kama hakuna mkuu wa wilaya Rais Samia Suluhu anafanya kazi kubwa tumpe hongera zake ameikuta nchi kwenye janga la corona pia vita vya ukraine vikayumbisha uchumi lakini Tanzania tumeendelea kusimama

..Wakuu wa wilaya au Ma-DC walikuwepo tangu enzi za UKOLONI wa Muingereza.

..Lakini hiyo haimaanishi kwamba tunawahitaji hata leo hii.

..Tunao Wakurugenzi wa wilaya ambao wanaweza kabisa kutekeleza majukumu ya wakuu wa wilaya.

..Serikali ifute nafasi ya Mkuu wa wilaya ili kuokoa fedha za umma.
 
Huna hoja yoyote, kwa nn majukumu ya wakurugenzi yasitekelezwe na wakuu wa wilaya?

..unaweza kuwa sahihi.

..Nafasi mojawapo kati ya hizo ni vizuri ikafutwa.

..Kama unapendekeza Wakurugenzi ndio waondoke niko tayari kukusikiliza.
 
Nchi ya hovyo sana ndugu yangu hatuna budi kuihama maana viongozi wanataka kuwa mabilionea kupitia hela zetu
 
Back
Top Bottom