Njia nyepesi ya kumfukuza mwanaume

Njia nyepesi ya kumfukuza mwanaume

Muombe hela tu mwanaume akikutongoza wewe umtaki muombe hela tu akikutumia uyo kweli anakupenda nakuganda 🤗🤗🤗 napenda pesa jaman ukija kwangu unatakiwa uwe mvumilivu na kibunda pia
Shoo unatoa kikamilifu au ndo nyie mkifika gheto full kunuka chupi na contena la UTI kule chini!?

Unaweza shoo!?
 
Ahahaha nimecheka sana hapo kwenye kibunda.
Yan mimi mtu akijipendekeza kwenye masuala ya pesa nje ya kazi au deal namuona kama shetan flan hivi..
Yan nipukuche kibunda kisa bwawa lako hilo la mtera..MegaWatt za umeme kama zote na bado hela nikupe??! Shit..
 
Back
Top Bottom