Njia pekee Feitoto kuondoka Yanga bila makubaliano/kuuzwa ni kustaafu soka

Njia pekee Feitoto kuondoka Yanga bila makubaliano/kuuzwa ni kustaafu soka

John Gregory

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2019
Posts
1,137
Reaction score
2,147
Najaribu kutafakari endapo Al hilal wangemtaka Messi na kumshawishi avunje mkataba na PSG ili wamchukue bila mazungumzo na ingekuwaje?

Duniani kote hakuna utaratibu wa mchezaji kujiamulia kuvunja mkataba na kuondoka, Au club kujiamulia kumvunjia mkataba mchezaji bila mazungumzo/makubaliano baina yao.

Njia pekee ya kijana kuondoka Yanga ni kutangaza kustaafu soka.
 
Mwakani sio Mbali atavumilia hadi mkataba uishe
 
Najaribu kutafakari endapo Al hilal wangemtaka Messi na kumshawishi avunje mkataba na PSG ili wamchukue bila mazungumzo na ingekuwaje?

Duniani kote hakuna utaratibu wa mchezaji kujiamulia kuvunja mkataba na kuondoka, Au club kujiamulia kumvunjia mkataba mchezaji bila mazungumzo/makubaliano baina yao.

Njia pekee ya kijana kuondoka Yanga ni kutangaza kustaafu soka.
Hata kustaafu hawezi mpaka Yanga ama wamruhusu au amalize mkataba wake.Maxim ya kilatini ambayo ni kanuni ya kisheria inasema,pacta Sunda servanda.
 
1. Amesema ATARUDI yanga endapo hersy akiondoKa.

2. Hakuna MKATABA wowote Duniani usiovunjwa.

3. Ndio kwanza Amefungua kesi Leo CAS so si muda mbovu na mbichi zitajulikana.

4. YANGA Hawana wanasheria wazuri. Always wamekuwa walishindwa.

5. Jasmini mwanasheria wa FEI mara zote amekuwa akishinda kesi.

6Mwakani sio mbali.

N:B.
JITAHIDI UWE UNAJENGA HOJA UPUNGUZE KUKURUPUKA.
 
Kwa muda huu harudi Zanzibar afanye kazi ya kurembeza watalii.

Aache janjajanja kama za DECI, UPATU wa kujioatia pesa kwa kusema achangiwe!
 
1. Amesema ATARUDI yanga endapo hersy akiondoKa.

2. Hakuna MKATABA wowote Duniani usiovunjwa.

3. Ndio kwanza Amefungua kesi Leo CAS so SI muda mbovu na mbichi zitajulikana.

4. YANGA Hawana wanasheria wazuri. Always wamekuwa walishindwa.

5.Jasmini mwanasheria wa FEI mara zote amekuwa akishinda kesi.

6Mwakani sio mbali.

N:B.
JITAHIDI UWE UNAJENGA HOJA UPUNGUZE KUKURUPUKA.
Kufungua jesi alisema zinahitajika kama milioni 60 ila mpaka jana alikuwa amefikisha milioni 9 tu!
 
1. Amesema ATARUDI yanga endapo hersy akiondoKa.

2. Hakuna MKATABA wowote Duniani usiovunjwa.

3. Ndio kwanza Amefungua kesi Leo CAS so si muda mbovu na mbichi zitajulikana.

4. YANGA Hawana wanasheria wazuri. Always wamekuwa walishindwa.

5. Jasmini mwanasheria wa FEI mara zote amekuwa akishinda kesi.

6Mwakani sio mbali.

N:B.
JITAHIDI UWE UNAJENGA HOJA UPUNGUZE KUKURUPUKA.
Unatumia nguvu sana
 
Uko cas kamshtaki yanga au tff, atamalizana na tff yanga wala awana muda nae
Sasa c mtuliee, mbna nyie Yanga mnapovukwaaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo nn kwan??
 
Yaani huoni uhusika wa Yanga ktk huu ujinga wa Fei!?

Ama hakika Ndg, Rage alikuwa sahihi.[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi wee umevurugwaaa?? Unajua unacho kizungumza?? Nikupee poleeee tyuuh.

Na hapo bado kipigo cha kesho usiku huko Algeria, woiiiiih
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi wee umevurugwaaa?? Unajua unacho kizungumza?? Nikupee poleeee tyuuh.

Na hapo bado kipigo cha kesho usiku huko Algeria, woiiiiih
Kipigo cha Algeria kitahusu pia Nchi...na wewe kitakuhusu kama Mtanzania....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Punguza munkariiii
 
Kipigo cha Algeria kitahusu pia Nchi...na wewe kitakuhusu kama Mtanzania....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Punguza munkariiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mashabiki wa utopoloo mshapoteanaa kabisaa, ni wa kuonewa hurumaa tyuuh. Uwiiiiiih
 
Back
Top Bottom