Njia pekee ya kuiokoa CHADEMA ni Lissu kumuunga mkono Mbowe baada ya uchaguzi wao

Njia pekee ya kuiokoa CHADEMA ni Lissu kumuunga mkono Mbowe baada ya uchaguzi wao

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Nimetafakari sana nimeona namna pekee ya kukinusuru chama rafiki CHADEMA ni Lissu kukubali matokeo na kumuunga mkono mwenyekiti wa kudumu wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe mara baada ya uchaguzi wao. Kinyume na hapo CHADEMA haitasalimika. Itavunjika vipande baada ya muda mfupi.

Lissu na genge lake wajue kuwa CHADEMA ina watu wengi wanaokisapoti kimyakimya bila kuwa na kadi za chama wala kutaka kujulikana popote. Ushahidi wa hili ni kwenye kura ilizopata kwenye urais 2020. Uamuzi wa kutomuunga mkono Mbowe (mmiliki wa CHADEMA) au kuhama chama utakuwa ni uamuzi utakaompoteza vibaya Lissu.

CHADEMA isipofuata huu ushauri wangu ijiandae kupokonywa nafasi ya chama kikuu cha upinzani na UPDP ya Fahmi Dovutwa.
 
Nimetafakari sana nimeona namna pekee ya kukinusuru chama rafiki CHADEMA ni Lissu kukubali matokeo na kumuunga mkono mwenyekiti wa kudumu wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe mara baada ya uchaguzi wao. Kinyume na hapo CHADEMA haitasalimika. Itavunjika vipande baada ya muda mfupi.

Lissu na genge lake wajue kuwa CHADEMA ina watu wengi wanaokisapoti kimyakimya bila kuwa na kadi za chama wala kutaka kujulikana popote. Ushahidi wa hili ni kwenye kura ilizopata kwenye urais 2020. Uamuzi wa kutomuunga mkono Mbowe (mmiliki wa CHADEMA) au kuhama chama utakuwa ni uamuzi utakaompoteza vibaya Lissu.

CHADEMA isipofuata huu ushauri wangu ijiandae kupokonywa nafasi ya chama kikuu cha upinzani na UPDP ya Fahmi Dovutwa.
Je ni kweli mzee alikufata akiwa naked unapoishi Kama anavyosema Kabdendera katika kitabu chake ?
 
Nimetafakari sana nimeona namna pekee ya kukinusuru chama rafiki CHADEMA ni Lissu kukubali matokeo na kumuunga mkono mwenyekiti wa kudumu wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe mara baada ya uchaguzi wao. Kinyume na hapo CHADEMA haitasalimika. Itavunjika vipande baada ya muda mfupi.

Lissu na genge lake wajue kuwa CHADEMA ina watu wengi wanaokisapoti kimyakimya bila kuwa na kadi za chama wala kutaka kujulikana popote. Ushahidi wa hili ni kwenye kura ilizopata kwenye urais 2020. Uamuzi wa kutomuunga mkono Mbowe (mmiliki wa CHADEMA) au kuhama chama utakuwa ni uamuzi utakaompoteza vibaya Lissu.

CHADEMA isipofuata huu ushauri wangu ijiandae kupokonywa nafasi ya chama kikuu cha upinzani na UPDP ya Fahmi Dovutwa.
kibaraka hachaguliki chadema ndrugu zango, anashabikiwa na wasio na maono wala kadi za uanachama wa chadema.

kisayansi zaidi, mwamba wa kaskazini anatambaa na kudeal na wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa kiintelijensia zaidi, wajumbe ambao ndio viongozi waandamizi wa Chadema ngazi mbalimbali wanao wakilisha maeneo yao ngazi ya Taifa 🐒
 
kibaraka hachaguliki chadema ndrugu zango, anashabikiwa na wasio na maono wala kadi za uanachama wa chadema.

kisayansi zaidi, mwamba wa kaskazini anatambaa na kudeal na wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa kiintelijensia zaidi, wajumbe ambao ndio viongozi waandamizi wa Chadema ngazi mbalimbali wanao wakilisha maeneo yao ngazi ya Taifa 🐒
Kazi mnayo huyo ndo rais wako
 
kibaraka hachaguliki chadema ndrugu zango, anashabikiwa na wasio na maono wala kadi za uanachama wa chadema.

kisayansi zaidi, mwamba wa kaskazini anatambaa na kudeal na wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa kiintelijensia zaidi, wajumbe ambao ndio viongozi waandamizi wa Chadema ngazi mbalimbali wanao wakilisha maeneo yao ngazi ya Taifa 🐒
Mbowe ni mkubwa sana kwa Lissu kisiasa. Hakuna namna Lissu anaweza kumzidi Mbowe. Lissu kisiasa anazidiwa hata na Abdul Nondo wa ACT.
 
Mbowe ni mkubwa sana kwa Lissu kisiasa. Hakuna namna Lissu anaweza kumzidi Mbowe. Lissu kisiasa anazidiwa hata na Abdul Nondo wa ACT.
Safari hii tunaenda na msomi

Kuna rais kaishia form four hatumtaki 2025

Na Mbowe alipata zero hatumtaki
 
Nimetafakari sana nimeona namna pekee ya kukinusuru chama rafiki CHADEMA ni Lissu kukubali matokeo na kumuunga mkono mwenyekiti wa kudumu wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe mara baada ya uchaguzi wao. Kinyume na hapo CHADEMA haitasalimika. Itavunjika vipande baada ya muda mfupi.

Lissu na genge lake wajue kuwa CHADEMA ina watu wengi wanaokisapoti kimyakimya bila kuwa na kadi za chama wala kutaka kujulikana popote. Ushahidi wa hili ni kwenye kura ilizopata kwenye urais 2020. Uamuzi wa kutomuunga mkono Mbowe (mmiliki wa CHADEMA) au kuhama chama utakuwa ni uamuzi utakaompoteza vibaya Lissu.

CHADEMA isipofuata huu ushauri wangu ijiandae kupokonywa nafasi ya chama kikuu cha upinzani na UPDP ya Fahmi Dovutwa.
..uamuzi wa mbowe kurejea chamani utakiathiri chadema vibaya mno, mbowe kachokwa vibaya, lissu anaweza kukaa kimya au pembeni, lakini chadema haitakufa salama.Mbowe anajipenda zaidi kuliko kuipenda chadema, muda utasema
 
Nimetafakari sana nimeona namna pekee ya kukinusuru chama rafiki CHADEMA ni Lissu kukubali matokeo na kumuunga mkono mwenyekiti wa kudumu wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe mara baada ya uchaguzi wao. Kinyume na hapo CHADEMA haitasalimika. Itavunjika vipande baada ya muda mfupi.

Lissu na genge lake wajue kuwa CHADEMA ina watu wengi wanaokisapoti kimyakimya bila kuwa na kadi za chama wala kutaka kujulikana popote. Ushahidi wa hili ni kwenye kura ilizopata kwenye urais 2020. Uamuzi wa kutomuunga mkono Mbowe (mmiliki wa CHADEMA) au kuhama chama utakuwa ni uamuzi utakaompoteza vibaya Lissu.

CHADEMA isipofuata huu ushauri wangu ijiandae kupokonywa nafasi ya chama kikuu cha upinzani na UPDP ya Fahmi Dovutwa.
Baada ya uchaguzi chama kinakuwa kimoja,kinachoendelea ni siasa tu za uchaguzi maana yake hata akishinda Lissu Mbowe atamuunga mkono jambo ambalo maccm hamtaki kulisikia.
 
Lissu Hawa wanachama,ana kundi la wanaharakati kutokea TLS.
Kundi hilo halina madhara kwenye siasa Wala chadema
 
Mbowe ni mkubwa sana kwa Lissu kisiasa. Hakuna namna Lissu anaweza kumzidi Mbowe. Lissu kisiasa anazidiwa hata na Abdul Nondo wa ACT.
For sure,
Mbowe ni mkubwa zaidi kiuchumi, kijamii, kisiasa, kitaifa na kimataifa.

nadhani lisu anapumbazwa na ajali aliyoipata kimwili ambayo anatembea na upepo wake akadhani inaweza kumsaidia kisiasa 🐒
 
Nimetafakari sana nimeona namna pekee ya kukinusuru chama rafiki CHADEMA ni Lissu kukubali matokeo na kumuunga mkono mwenyekiti wa kudumu wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe mara baada ya uchaguzi wao. Kinyume na hapo CHADEMA haitasalimika. Itavunjika vipande baada ya muda mfupi.

Lissu na genge lake wajue kuwa CHADEMA ina watu wengi wanaokisapoti kimyakimya bila kuwa na kadi za chama wala kutaka kujulikana popote. Ushahidi wa hili ni kwenye kura ilizopata kwenye urais 2020. Uamuzi wa kutomuunga mkono Mbowe (mmiliki wa CHADEMA) au kuhama chama utakuwa ni uamuzi utakaompoteza vibaya Lissu.

CHADEMA isipofuata huu ushauri wangu ijiandae kupokonywa nafasi ya chama kikuu cha upinzani na UPDP ya Fahmi Dovutwa.
Yaani leo hii wana ccm ndio wako upande wa mbowe, wonders shall never end 😂
 
Back
Top Bottom