Njia pekee ya kuiokoa CHADEMA ni Lissu kumuunga mkono Mbowe baada ya uchaguzi wao

Njia pekee ya kuiokoa CHADEMA ni Lissu kumuunga mkono Mbowe baada ya uchaguzi wao

Nimetafakari sana nimeona namna pekee ya kukinusuru chama rafiki CHADEMA ni Lissu kukubali matokeo na kumuunga mkono mwenyekiti wa kudumu wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe mara baada ya uchaguzi wao. Kinyume na hapo CHADEMA haitasalimika. Itavunjika vipande baada ya muda mfupi.

Lissu na genge lake wajue kuwa CHADEMA ina watu wengi wanaokisapoti kimyakimya bila kuwa na kadi za chama wala kutaka kujulikana popote. Ushahidi wa hili ni kwenye kura ilizopata kwenye urais 2020. Uamuzi wa kutomuunga mkono Mbowe (mmiliki wa CHADEMA) au kuhama chama utakuwa ni uamuzi utakaompoteza vibaya Lissu.

CHADEMA isipofuata huu ushauri wangu ijiandae kupokonywa nafasi ya chama kikuu cha upinzani na UPDP ya Fahmi Dovutwa.
Kwanini yeye Mbowe asipishe?
 
Nimetafakari sana nimeona namna pekee ya kukinusuru chama rafiki CHADEMA ni Lissu kukubali matokeo na kumuunga mkono mwenyekiti wa kudumu wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe mara baada ya uchaguzi wao. Kinyume na hapo CHADEMA haitasalimika. Itavunjika vipande baada ya muda mfupi.

Lissu na genge lake wajue kuwa CHADEMA ina watu wengi wanaokisapoti kimyakimya bila kuwa na kadi za chama wala kutaka kujulikana popote. Ushahidi wa hili ni kwenye kura ilizopata kwenye urais 2020. Uamuzi wa kutomuunga mkono Mbowe (mmiliki wa CHADEMA) au kuhama chama utakuwa ni uamuzi utakaompoteza vibaya Lissu.

CHADEMA isipofuata huu ushauri wangu ijiandae kupokonywa nafasi ya chama kikuu cha upinzani na UPDP ya Fahmi Dovutwa.
mbowe hawezi kushinda huu uchaguzi tupo hapa utakuja kuniambia
 
Nimetafakari sana nimeona namna pekee ya kukinusuru chama rafiki CHADEMA ni Lissu kukubali matokeo na kumuunga mkono mwenyekiti wa kudumu wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe mara baada ya uchaguzi wao. Kinyume na hapo CHADEMA haitasalimika. Itavunjika vipande baada ya muda mfupi.

Lissu na genge lake wajue kuwa CHADEMA ina watu wengi wanaokisapoti kimyakimya bila kuwa na kadi za chama wala kutaka kujulikana popote. Ushahidi wa hili ni kwenye kura ilizopata kwenye urais 2020. Uamuzi wa kutomuunga mkono Mbowe (mmiliki wa CHADEMA) au kuhama chama utakuwa ni uamuzi utakaompoteza vibaya Lissu.

CHADEMA isipofuata huu ushauri wangu ijiandae kupokonywa nafasi ya chama kikuu cha upinzani na UPDP ya Fahmi Dovutwa.
Mimi bado najiuliza mantiki ya approach ya Tundu Lissu. Kuna mtu mmoja alitoa mfano wa wanandoa, kwamba akichofanya Lissu ni sawa wanandoa wawe na mgogoro na mmoja wao achukue shuka wanalolalia, na kwenda varabarani na kusema "jamani oneni haya madoa, halafu ndiyo mnasema huyu mume/mke, kweli?" Of course, wapita njia wakiona watacheka, na kusema "ah! Nilidhani huyu ni mke/mume, kumbe hamna kitu?" Sasa je, wapita njia watalifua hilo shuka? Binafsi naamini Lissu angeweza ku'deal' na allegations za rushwa ndani ya chama chake Kwa kutumia approach tofauti, na still ange'achieve' matokeo tarajiwa. Kwenye moja ya hotuba za Lissu alisema Kwa vile SSH alikuwa makamu wa Magufuli, hawezi kujitenganisha na utawala wa bosi wake. Lakini akija kwenye chama chao, yeye anajitenganisha na uongozi wa Chadema as if hakuwa kiongozi. Hapa napata shida kuamini kuwa makamu wa mwenyekiti Chadema ni sawa na kutokuwa na makamu kabisa! How is this possible? Iko wapi collective responsibility? Yaani kwamba mafanikio ya Chadema ni ya wote, na matatizo ya Chadema ni ya Mbowe? Hapa nashindwa kuelewa kabisa!
 
Kwanini yeye Mbowe asipishe?
Kwa nini apishe, wakati Kwa mujibu wa katiba yao ana haki ya kugombea? Mimi ningeona shida iwapo Mbowe angekuja na hoja mfano ya kuondoa ukomo wa madaraka kwenye Katiba yao. Hapo ndipo tungeweza kusema "ana uchu wa madaraka". Lakini katiba yao haina kipengele cha ukomo wa madaraka, na hapakuwa na mchakato wowote wa kuuweka hadi sasa, isipokuwa mapendekezo aliyokuja nayo Lissu kama moja ya mambo atajayoshughulikia akiwa mwenyekiti. Sasa kosa la Mbowe ni nini hapa? Amekiuka Katiba ya chama au amefanya jinsi katiba yao inavyosema?
 
Back
Top Bottom