Njia pekee ya kuleta amani Kenya ni ku-deal na Odinga bila kudekezwa

Njia pekee ya kuleta amani Kenya ni ku-deal na Odinga bila kudekezwa

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa za Kenya toka enzi na enzi.

Hata wakati wa uchaguzi mkuu I told them Sikumsapot kibaki 2007 nilimuunga Mkono Odinga.

2012 nilimuunga Mkono Uhuru, kutokana na Maono ya atakapoifikisha Kenya.

2017 Vile vile Nilimpa sapot Kenyatta.

Baada ya kuona kuwa Kirusi cha siasa za Kenya ni Odinga.

Njia pekee ni Kumficha au Kutumia ile njia ya kutomkamata Mateka, Kenya itatawalika vema.

Matatizo ya Kenya si sababu ya Rutto bali ni Mambo ya Dunia nzima.

#FichaOdingaWakenyaWawenaAmani


Britanicca
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa za Kenya toka enzi na enzi,

Hata wakati wa uchaguzi mkuu I told them Sikumsapot kibaki 2007 nilimuunga Mkono Odinga,

2012 nilimuunga Mkono Uhuru, kutokana na Maono ya atakapoifikisha kenya

2017 Vile vile Nilimpa sapot Kenyatta.

Baada ya kuona kuwa Kirusi cha siasa za Kenya ni Odinga


Njia pekee ni Kumficha au Kutumia ile njia ya kutomkamata Mateka, Kenya itatawalika vema,

Matatizo ya Kenya si sababu ya Rutto bali ni Mambo ya Dunia nzima

#FichaOdingaWakenyaWawenaAmani


Britanicca
Tundu Lissu style cc Retired
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa za Kenya toka enzi na enzi,

Hata wakati wa uchaguzi mkuu I told them Sikumsapot kibaki 2007 nilimuunga Mkono Odinga,

2012 nilimuunga Mkono Uhuru, kutokana na Maono ya atakapoifikisha kenya

2017 Vile vile Nilimpa sapot Kenyatta.

Baada ya kuona kuwa Kirusi cha siasa za Kenya ni Odinga


Njia pekee ni Kumficha au Kutumia ile njia ya kutomkamata Mateka, Kenya itatawalika vema,

Matatizo ya Kenya si sababu ya Rutto bali ni Mambo ya Dunia nzima

#FichaOdingaWakenyaWawenaAmani


Britanicca
Haiwezekani kumgusa BABA nyie vichwa hali jojo pambaneni na ujinga yenu ya Tizi, mambo ya Kenya yetu tuachieni wenyewe.
We know our rights na kwa taarifa yako hakuna penye wanaeza mpeleka BABA na hakuna cell ya polisi yeyote anaweza lazwa hapa Nai
 
Hakuna taifa lina watu wajinga hapa Africa kama Kenya. Japo wao husema wanajitambua wameelimika ila ni wajinga sana. Wanafanya siasa za kishabiki zisizo na faida yoyote.
Haya ndio mambo nilikuwa namkubali JPM kwa kuchora mstari wa kudili na waganga njaa wa kisiasa mtu akileta mchezo unatandika shaba tu. Yani Rais amechaguliwa na watu kwa kura za kidemokrasia alafu wewe unataka kumtoa kwa maandamano?? Dunia nzima mafuta yamepanda bei alafu ruto baada ya miezi 6 ashushe bei nchini Kenya. Ruto b a man ukicheka na nyani utavuna mabua una wananchi wajinga mno na mnadekezana sana.
 
Hakuna taifa lina watu wajinga hapa Africa kama Kenya. Japo wao husema wanajitambua wameelimika ila ni wajinga sana. Wanafanya siasa za kishabiki zisizo na faida yoyote.
Haya ndio mambo nilikuwa namkubali JPM kwa kuchora mstari wa kudili na waganga njaa wa kisiasa mtu akileta mchezo unatandika shaba tu. Yani Rais amechaguliwa na watu kwa kura za kidemokrasia alafu wewe unataka kumtoa kwa maandamano?? Dunia nzima mafuta yamepanda bei alafu ruto baada ya miezi 6 ashushe bei nchini Kenya. Ruto b a man ukicheka na nyani utavuna mabua una wananchi wajinga mno na mnadekezana sana.
Kenya nimekaa nao mateja wengi kuliko wenye akili timamu
 
He has to be eliminated by any means ,anataka kuivuruga amani ya Kenya iliyopo
 
Baada ya Ruto kupinga ushoga kwa kujifichia kwenye kivuli cha mahakamani huku akiwa tayari ashalamba pesa za mashoga, naona wamemuinulia Odinga, kwa kumuonyesha saver ya mchakato mzima wa wizi wa kura, mashoga wapo nyuma ya Odinga kuhakikisha Ruto anatoka madarakani Ili Odinga achukue waruhushu ushoga Kenya.

Odinga kula pesa zao ukishapata tu kiti jifichie kwenye mahakama kuukataa ushoga utaleta laana Kenya.
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa za Kenya toka enzi na enzi,

Hata wakati wa uchaguzi mkuu I told them Sikumsapot kibaki 2007 nilimuunga Mkono Odinga,

2012 nilimuunga Mkono Uhuru, kutokana na Maono ya atakapoifikisha kenya

2017 Vile vile Nilimpa sapot Kenyatta.

Baada ya kuona kuwa Kirusi cha siasa za Kenya ni Odinga


Njia pekee ni Kumficha au Kutumia ile njia ya kutomkamata Mateka, Kenya itatawalika vema,

Matatizo ya Kenya si sababu ya Rutto bali ni Mambo ya Dunia nzima

#FichaOdingaWakenyaWawenaAmani


Britanicca
Odinga hana haki na anachofanya. Hata kama maisha magumu hakuna kipengele cha katiba kinachompa haki ya kuamua serikali halali iliyopo madarakani iondolewe kinyume cha katiba. Odinga kama anqadhani ana hoja ya kuwashawishi wakenya anapaswa asubiri uchaguzi ujao auze sera za,maisha magumu wakenya waki.kubali wamchague.

Ni nani aliyemuweka kuwa mwamuzi wa kila ja.mbo la wakenya.

Serikali ya Ruto isicheke naye imkamate na kumfungulia mashtaka. Anachofanya Raoia ni upuuzi wa hali ya juu kwani imeandikwa wapi lqzima kabla hajafa awe rais?
 
Haiwezekani kumgusa BABA nyie vichwa hali jojo pambaneni na ujinga yenu ya Tizi, mambo ya Kenya yetu tuachieni wenyewe.
We know our rights na kwa taarifa yako hakuna penye wanaeza mpeleka BABA na hakuna cell ya polisi yeyote anaweza lazwa hapa Nai
Ilaa kipewa handshake anakaa kimya mnaacha na njaaa unabaki tuachie BABA ukumnaendelaa kuteseka wakati yeye kashakula cake yake serekalini amkaa Sasa huu ujinga wakuandamana bila sababu ya msingi ni ujinga wakuharibu uchimi wa nchi
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa za Kenya toka enzi na enzi,

Hata wakati wa uchaguzi mkuu I told them Sikumsapot kibaki 2007 nilimuunga Mkono Odinga,

2012 nilimuunga Mkono Uhuru, kutokana na Maono ya atakapoifikisha kenya

2017 Vile vile Nilimpa sapot Kenyatta.

Baada ya kuona kuwa Kirusi cha siasa za Kenya ni Odinga


Njia pekee ni Kumficha au Kutumia ile njia ya kutomkamata Mateka, Kenya itatawalika vema,

Matatizo ya Kenya si sababu ya Rutto bali ni Mambo ya Dunia nzima

#FichaOdingaWakenyaWawenaAmani


Britanicca

Dawa ni kumficha Mhe Raila, yaani kuwekwa kizuizini, hakuna dawa ya aina njingine. Mara tano anakosa urais na bado anavuruga nchi!!
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa za Kenya toka enzi na enzi,

Hata wakati wa uchaguzi mkuu I told them Sikumsapot kibaki 2007 nilimuunga Mkono Odinga,

2012 nilimuunga Mkono Uhuru, kutokana na Maono ya atakapoifikisha kenya

2017 Vile vile Nilimpa sapot Kenyatta.

Baada ya kuona kuwa Kirusi cha siasa za Kenya ni Odinga


Njia pekee ni Kumficha au Kutumia ile njia ya kutomkamata Mateka, Kenya itatawalika vema,

Matatizo ya Kenya si sababu ya Rutto bali ni Mambo ya Dunia nzima

#FichaOdingaWakenyaWawenaAmani


Britanicca

Serikali lazima ichange kimtazamo wake because wakimchekea wamekwishq
 
Back
Top Bottom