To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Point.....Matatizo ya Kenya si sababu ya Rutto bali ni Mambo ya Dunia nzima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Point.....Matatizo ya Kenya si sababu ya Rutto bali ni Mambo ya Dunia nzima
Jaluo Iko na maneno mingiHaiwezekani kumgusa BABA nyie vichwa hali jojo pambaneni na ujinga yenu ya Tizi, mambo ya Kenya yetu tuachieni wenyewe.
We know our rights na kwa taarifa yako hakuna penye wanaeza mpeleka BABA na hakuna cell ya polisi yeyote anaweza lazwa hapa Nai
Mambo yao waachie wenyewe...
Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa za Kenya toka enzi na enzi,
Hata wakati wa uchaguzi mkuu I told them Sikumsapot kibaki 2007 nilimuunga Mkono Odinga,
2012 nilimuunga Mkono Uhuru, kutokana na Maono ya atakapoifikisha kenya
2017 Vile vile Nilimpa sapot Kenyatta.
Baada ya kuona kuwa Kirusi cha siasa za Kenya ni Odinga
Njia pekee ni Kumficha au Kutumia ile njia ya kutomkamata Mateka, Kenya itatawalika vema,
Matatizo ya Kenya si sababu ya Rutto bali ni Mambo ya Dunia nzima
#FichaOdingaWakenyaWawenaAmani
Britanicca
Kipindi Ruto anamtukana Kenyatta hakujua ni Dunia nzima Kuna mfumuko wa bei?Huu ndio ukweli nyingine ni siasa tu hua tunafanya, dunia nzima maisha yamepanda sio kenya tu, wao walitakiwa kuibana serikali yao walau waone wanatokaje kwenye mkwamo huo wa uchumi,
Yuko wapi Sasa huyo JPM? Ukijifanya mbabe Kuna wababe zaidi Yako!! Ruto akijaribu kumtia shaba Odinga nakwambia vita itakua kubwa kuliko 2007 na nchi itagawanyika pasu kwa pasu.Haya ndio mambo nilikuwa namkubali JPM kwa kuchora mstari wa kudili na waganga njaa wa kisiasa mtu akileta mchezo unatandika shaba tu
Kama anajua Hilo mbona kapandisha bajeti ya magari kutoka TZS billion 16 Hadi TZS Billion 40?? Au kupanda bei anayeumia ni kwa maskini tu huku matumizi ya serikali yanazidi kupandishwa tu kwenye vitu vya anasa?Dunia nzima mafuta yamepanda bei alafu ruto baada ya miezi 6 ashushe bei nchini Kenya.
Sio rahisi kihivyo!! Ukimkamata uwe tayari kwa machafuko kuanzia Mombasa mpaka Busia au Taita Taveta Hadi Homa Bay kitu ambacho Ruto hawezi himili.imkamate na kumfungulia mashtaka.
Hapana sidhani kama ni wajinga mkuu, ndo matokeo ya uhuru uliopitiliza. Hakuna nchi iliyowahi kuendelea kwa kuendekeza hili neno ‘demokrasia’ kila mtu ataamka asubuhi anataka lake ndo lisikilizwe, ilishindikana wanaandamana.Wakenya hua ni wajinga sana sana
Wewe wasemaKwa hiyo afanywe kama Tundu Lissu?
Wakifichwa wa nchini uturukiDawa ni kumficha Mhe Raila, yaani kuwekwa kizuizini, hakuna dawa ya aina njingine. Mara tano anakosa urais na bado anavuruga nchi!!
Kuna la kujifunza ndo maana tunaongea. Ndo tunapoelekea. Tanzania na sisi tuna kiongozi kama odinga. Anaeamini yeye ndo anapendwa na nchi nzima. Sijui nani huwa anawadanganya.Mambo ya Kenya waachieni wakenya. Tushughulike na Tanzania yetu kwanza.
we nae kichwa majiNinyi ndo mnafikiria kwa kutumia sijui nini akina Mandela wamekaa gerezani hakuna kimetokea ! Hakuna mtu mkubwa kuliko Taifa lolote,
Njia za kumuondoa ni nyingi tu si za kishamba za kupigana risasi nyingine ni Siri za kambi kinafanyikaga nini
Britanicca
We una umia nni na siasa zakeWatu mnavyosema eti mkimdhibiti raila mtaitawanya kenya sijui wajaluo watabweka sasa aachwe ili aendelee kusumbua?. Kwani shida za mfumuko wa bei zipo kenya pekee? so mnabariki anavyoendelea kutesa vijana kuwaingiza mtaani?
Kuna watu wana uchu wa madaraka aisee huyo mzee si apumzike ye anaamini akiwa rais ataipeleka wapi kenya
Ruto anazingua sana na wale wapambe wake 50 ambao serekali inawahudumia kwenye kila kituKama anajua Hilo mbona kapandisha bajeti ya magari kutoka TZS billion 16 Hadi TZS Billion 40?? Au kupanda bei anayeumia ni kwa maskini tu huku matumizi ya serikali yanazidi kupandishwa tu kwenye vitu vya anasa?
Ulichoandika ni pumba mbona ruto alikua anamtuhumu uhuru kwenye kupanda kwa bei na huku dunia nzima bei ya vitu ilikua imepandaWatu mnavyosema eti mkimdhibiti raila mtaitawanya kenya sijui wajaluo watabweka sasa aachwe ili aendelee kusumbua?. Kwani shida za mfumuko wa bei zipo kenya pekee? so mnabariki anavyoendelea kutesa vijana kuwaingiza mtaani?
Kuna watu wana uchu wa madaraka aisee huyo mzee si apumzike ye anaamini akiwa rais ataipeleka wapi kenya
Huwez fananisha siasa za Tanzania na kenya ni mbingu na ardhi,Kuna la kujifunza ndo maana tunaongea. Ndo tunapoelekea. Tanzania na sisi tuna kiongozi kama odinga. Anaeamini yeye ndo anapendwa na nchi nzima. Sijui nani huwa anawadanganya.
Kuna watu wakiachwa wafanye wanayoyataka taifa litachafuka