Njia pekee ya kuleta amani Kenya ni ku-deal na Odinga bila kudekezwa

Njia pekee ya kuleta amani Kenya ni ku-deal na Odinga bila kudekezwa

Kwanza kabisa, Ku_deal na Rails kwa kumuondoa kabisa in wazo ambalo halipo. Akuguswa tu, patakuwa hapatoshi hapa Kenya, na sio utani.

Pili, siasa za Raila zinahujumu siasa za Ruto za Bottom-Up. Kipindi cha kampeni, Ruto alisema akishaapishwa na kuweka Biblia chini, atashughulikia mfumuko wa bei ya vyakula, ataomdoa ruzuku kwenye mafuta na unga, hatakopakopa nje, atapumguza matumizi na ya kuwa bei ya juu ya bidhaa kipindi kile ni kwa sababu ya handshake (kumbuka vita vya Ukraine/Russia). Sasa ahadi zake zote zinamtokea puani.
Kwani ye ni Nani
 
Hakuna taifa lina watu wajinga hapa Africa kama Kenya. Japo wao husema wanajitambua wameelimika ila ni wajinga sana. Wanafanya siasa za kishabiki zisizo na faida yoyote.
Haya ndio mambo nilikuwa namkubali JPM kwa kuchora mstari wa kudili na waganga njaa wa kisiasa mtu akileta mchezo unatandika shaba tu. Yani Rais amechaguliwa na watu kwa kura za kidemokrasia alafu wewe unataka kumtoa kwa maandamano?? Dunia nzima mafuta yamepanda bei alafu ruto baada ya miezi 6 ashushe bei nchini Kenya. Ruto b a man ukicheka na nyani utavuna mabua una wananchi wajinga mno na mnadekezana sana.
Wajinga ni nyingi mnaoburuzwa Kwa bütün kupanda bəzi bila kulalamika, wakenya wanajitambua mno,
Maandamano yanaşı
-Inflation ishuke
-Katiba
-wizi wa kura
-Ukabila
Etc
Hapa kwenu vote hivyo vipo Tena Kwa halı ya juu mpo kimyaaaa nani mpuuzi
 
Wajinga ni nyingi mnaoburuzwa Kwa bütün kupanda bəzi bila kulalamika, wakenya wanajitambua mno,
Maandamano yanaşı
-Inflation ishuke
-Katiba
-wizi wa kura
-Ukabila
Etc
Hapa kwenu vote hivyo vipo Tena Kwa halı ya juu mpo kimyaaaa nani mpuuzi
Tangu waanze kuandamana nini kimeshuka bei?
Ukabila umeisha?
Katiba si ndio ilikuwa tatizo baada ya kubadilidshwa mbona bado wanaandamana kama zombies?
Wapuuzi na wakoswa akili hao.
 
Kweli kabisa, haiwezekani kila uchaguzi anajiona yeye ni mkubwa kuliko nchi, wakati wake wa kujua hajui ni sasa. Ruto anafahamu vyema namna ya ku deal na huyu mzee. Maandamano yake ya leo yamekua failure
Wamchape ya kichwa wiki moja tu atasahaulika Kenya isonge mbele
 
Wakenya hua ni wajinga sana sana
Ingekuwa hapa kwetu watu wangetushana ohhh sijui waende viongozi na familia zao sijui upuuzi gani
Wakenya wanaandamana tu kwasabbu wwanajitambua
 
Hapo ndipo nilipokuwa namkubali JPM, alijua kuwashughulikia wapuuzi wavuruga amani
 
Ndg zangu waTZ mbona mnawashwa washwa sana
(in Jiwe's voice)😂😂
Ziacheni mutu za Kenya
ziamue mambo zao.
 
Siasa za Kenya ni zaidi ya vyama vya siasa ndani yake kuna ukabila wa kutisha wa wajaluo na kikuyu. Sio shughuli ndogo kudeal na Odinga,manake husipopiga mahesabu vizuri unaamsha vita ya Kikuyu na Wajaluo.
Huo uoga wako tu. Anachapwa risasi moja tu wiki anazikwa faster wiki moja tu watu wanasahau. Ananaki wajakoya hana madhara yule bendera fuata upepo.
 
Huo uoga wako tu. Anachapwa risasi moja tu wiki anazikwa faster wiki moja tu watu wanasahau. Ananaki wajakoya hana madhara yule bendera fuata upepo.
Uoga wangu kwani mimi Mkenya?Nimeongea sababu najua tatizo la ukabila ambalo wanalo Wakenya.Ruto akithubutu tu kumpiga risasi hali itakuwa mbaya mara kumi hii ya sasa.
 
Kwanza lazima ujue historia ya Kenya na Odinga kabla ya kushauri njia za kuondokana naye.Die hard supporter wa Odinga ni almost nusu ya wakenya wote.Pia ikumbukwe wanasiasa wengi wa kizazi hiki Kenya wamepita mikononi mwa Odinga.Neno BABA Kenya linamaana kubwa.Ukitaka kusambaratisa Kenya basi tumia njia za kibabe.Njia pekee labda nikumwomba Mungu amchukue naturally.[emoji3][emoji3][emoji3]
Natural death inachelewa
 
Aguswe tu ndio utatambua huyo jamaa ni nani. Unafikiri UDA battalion nzima na askari mbona hawajamkamata hadi wa leo? Wanabwabwaja wakifoka eti, " Tutamkamata, tutamshughulikia, tutamfung,a bla bla bla.....". Wanajua wakimgusa tu, kwishnei.
Kama aliweza kumtesa mzee moi ruto ni nani sasa 😂😂😂

Baba odinga acha awanyooshe tu
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa za Kenya toka enzi na enzi,

Hata wakati wa uchaguzi mkuu I told them Sikumsapot kibaki 2007 nilimuunga Mkono Odinga,

2012 nilimuunga Mkono Uhuru, kutokana na Maono ya atakapoifikisha kenya

2017 Vile vile Nilimpa sapot Kenyatta.

Baada ya kuona kuwa Kirusi cha siasa za Kenya ni Odinga


Njia pekee ni Kumficha au Kutumia ile njia ya kutomkamata Mateka, Kenya itatawalika vema,

Matatizo ya Kenya si sababu ya Rutto bali ni Mambo ya Dunia nzima

#FichaOdingaWakenyaWawenaAmani


Britanicca
Kabisa! Huyu wana mwendekeza sana😎
 
Huu ndio ukweli nyingine ni siasa tu hua tunafanya, dunia nzima maisha yamepanda sio kenya tu, wao walitakiwa kuibana serikali yao walau waone wanatokaje kwenye mkwamo huo wa uchumi,
Hakika
 
Back
Top Bottom