Anyamazishwe , au siyo?Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa za Kenya toka enzi na enzi,
Hata wakati wa uchaguzi mkuu I told them Sikumsapot kibaki 2007 nilimuunga Mkono Odinga,
2012 nilimuunga Mkono Uhuru, kutokana na Maono ya atakapoifikisha kenya
2017 Vile vile Nilimpa sapot Kenyatta.
Baada ya kuona kuwa Kirusi cha siasa za Kenya ni Odinga
Njia pekee ni Kumficha au Kutumia ile njia ya kutomkamata Mateka, Kenya itatawalika vema,
Matatizo ya Kenya si sababu ya Rutto bali ni Mambo ya Dunia nzima
#FichaOdingaWakenyaWawenaAmani
Britanicca
Kichwa chako walikiacha shamba wakakubebesha boga?We una umia nni na siasa zake
Ruto aliandamana? Watu wakifa kwenye haya maandamano mtamlaumu ruto au odinga? Huwa mnawaza kwa kutumia viungo gani?Ulichoandika ni pumba mbona ruto alikua anamtuhumu uhuru kwenye kupanda kwa bei na huku dunia nzima bei ya vitu ilikua imepanda
Werevu wanaopigana hadi vita vya ukabila au kenya unatoiongelea wewe ni ya uranus?Huwez fananisha siasa za Tanzania na kenya ni mbingu na ardhi,
Tanzania kukiwa na mtaji wa wajinga kenya kuna werevu wengi
Kuandamana ni haki ya kikatiba acha ujinga sio criminal case katiba yao inatambua maandamaoRuto aliandamana? Watu wakifa kwenye haya maandamano mtamlaumu ruto au odinga? Huwa mnawaza kwa kutumia viungo gani?
Kumuita Odinga meza i ni kuruhusu culture ya kutokubali kushindwa iendelee kumea.Sio rahisi kihivyo!! Ukimkamata uwe tayari kwa machafuko kuanzia Mombasa mpaka Busia au Taita Taveta Hadi Homa Bay kitu ambacho Ruto hawezi himili.
Odinga ni WA kuitwa mezani tu otherwise siku sio nyingi mtaanza sikia Al Shabaab wanavamia airports na viwanja vya Mpira.
HakikaKumuita Odinga meza i ni kuruhusu culture ya kutokubali kushindwa iendelee kumea.
Haiwezekani yeye ndiye awe muamuzi wa kila jambo la wakenya. Katiba yao iliweka vyombo mbalimbali inatakiwa Raila aheshimu maa.muzi ya vyombo hivyo maana ndicyo vyenye mandate kwa,mujibu wa katiba yao.
Katiba inatambua pia vifo visivyo na lazima.? Pathetic thinking. Just because it’s legal it doesn’t make it logicalKuandamana ni haki ya kikatiba acha ujinga sio criminal case katiba yao inatambua maandamao
Mbona mahakama kuu ya kenya ambayo ndo watafsiri sheria hawajasema kwamba raila kavunja sheria ila mkazi wa tanzania unataka kutuaminisha raila kavunja sheriaKatiba inatambua pia vifo visivyo na lazima.? Pathetic thinking. Just because it’s legal it doesn’t make it logical
Maandamano ni haki ya vyama vya siasa maadam hakuna vurugu. It's simple Ruto ashushe gharama za maisha that's all maandamano yatakufa automaticallyKumuita Odinga meza i ni kuruhusu culture ya kutokubali kushindwa iendelee kumea.
Haiwezekani yeye ndiye awe muamuzi wa kila jambo la wakenya. Katiba yao iliweka vyombo mbalimbali inatakiwa Raila aheshimu maa.muzi ya vyombo hivyo maana ndicyo vyenye mandate kwa,mujibu wa katiba yao.
Nimecheka kaa fala 😂😂😂😂😆😆😆Kwanza lazima ujue historia ya Kenya na Odinga kabla ya kushauri njia za kuondokana naye.Die hard supporter wa Odinga ni almost nusu ya wakenya wote.Pia ikumbukwe wanasiasa wengi wa kizazi hiki Kenya wamepita mikononi mwa Odinga.Neno BABA Kenya linamaana kubwa.Ukitaka kusambaratisa Kenya basi tumia njia za kibabe.Njia pekee labda nikumwomba Mungu amchukue naturally.😀😀😀
MainiRuto aliandamana? Watu wakifa kwenye haya maandamano mtamlaumu ruto au odinga? Huwa mnawaza kwa kutumia viungo gani?
Unadhani Kenya ni kama hapa kwetu? afadhari hao maandamano yanawapa relief ya kusema shida zao vinginevyo hukutaweza kutawalika na huo ushauri unaosema wa kumtokomeza Raila watakua wamemwaga petrol kwenye moto tuwa ache na nchi yao wanafahamiana baadae watakaa utasikia wameyamaliza hii sio mara ya kwanzaNimekuwa mfuatiliaji wa siasa za Kenya toka enzi na enzi,
Hata wakati wa uchaguzi mkuu I told them Sikumsapot kibaki 2007 nilimuunga Mkono Odinga,
2012 nilimuunga Mkono Uhuru, kutokana na Maono ya atakapoifikisha kenya
2017 Vile vile Nilimpa sapot Kenyatta.
Baada ya kuona kuwa Kirusi cha siasa za Kenya ni Odinga
Njia pekee ni Kumficha au Kutumia ile njia ya kutomkamata Mateka, Kenya itatawalika vema,
Matatizo ya Kenya si sababu ya Rutto bali ni Mambo ya Dunia nzima
#FichaOdingaWakenyaWawenaAmani
Britanicca
Mwalimu wako wa kiingereza alipata tabu. Rudia kusoma. “Just because it’s legal, it doesn’t make it logical” sasa mahakama hapo nimeitaja wapi? Kila mwanadamu ana haki ya kuimba na kucheza mbona hamuendi kukata viuno lugalo mle ndani? na sheria haikatazi kwasababu hakuna mwenye ardhi yake.Mbona mahakama kuu ya kenya ambayo ndo watafsiri sheria hawajasema kwamba raila kavunja sheria ila mkazi wa tanzania unataka kutuaminisha raila kavunja sheria
Swali langu tukusikilize wewe au mahakama ya kenya
Alivyo kua Maalim Seif Zanzibar ni sawa na Raila Kenya ile ni roho yao wakitaka Kenya iwe jivu wafanye huo ujingaHuwezi kulinganisha kuwa kizuizini kwa Mandela wakati wa utawala wa Makaburu na utawala wa Mwaafrika. Unakumbuka mwaka Jana wakati Rais mstaafu, Zuma, wa Africa Kusini alipofungwa jela jinsi raia wa chama chake walivyokiwasha hadi kaachiliwa.
Kenya wakimkamata/kumpoteza kabisa Odinga ujue Kenya haitakalika na lazima Taifa hilo ligawanyike. Kenya Ina historia yake na watu wake ni tofauti sana kitabia na maamuzi. Sio watu wa kilialia bila actions. Pale wimbo ni Aluta continua.
Yes kama Magufuli alivyokuwa ana deal na wapumbavu wachachePiga risasi moja ya kichwa maliza kazi..Misukule yake itapiga vurugu siku chache ila nchi itapata amani ya kudumu baada ya hapo
Where is he?Yes kama Magufuli alivyokuwa ana deal na wapumbavu wachache
Kwa njia ipi waibane serikali unadhani...?Huu ndio ukweli nyingine ni siasa tu hua tunafanya, dunia nzima maisha yamepanda sio kenya tu, wao walitakiwa kuibana serikali yao walau waone wanatokaje kwenye mkwamo huo wa uchumi,