Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha mkuu hilo angalizo lako gumu sana. KariJoto linaathiri muda wa kuishi wa kirusi hichi kikiwa nje ya mwili wabinadamu lakini siyo kwa kiasi kikubwa sana. Kibaya zaidi mtu unaweza kuwa navyo lakini asionyeshe dalili na akavisambaza pia.
Kwa kifupi, nimeelewa kuna aina mbili ya hivi virusi. Aina ya kwanza ikikupata unapata dalili za mafua na homa, koo kuuma lakini ukatibu kama mafua mengine ukapona. Aina ya pili ndio mbaya sana ambayo ina develop pneumonia, mapafu yanajaa maji inabidi mtu awekewe vifaa vya kupumua na kutoa maji mpaka apone. Hivyo vifaa mara nyingi vinapatikana hopitali kubwa, hasa vyumba vya ICU. Tanzania tunavyo vya kutosha kuhudumia mlipuko ukitokea?
Maji masafi na sabuni ndio wawe rafiki zetu wa kudumu kwa sasa.
Laiti serikali ingehakikisha stendi zote za vyombo vya usafiri, malango ya kuingilia sokoni, maeneo ya mikusanyiko yote, nk. kuwe na maji na sabuni. Watu walazimishwe kunawa mikono kabla ya kuingia na baada ya kutoka kwenye maeneo haya na vyombo vyote vya usafiri.
Kuna uzi humu unatoa updates za Virusi na maambukizi ya Corona au COVID-19:
Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)
Nadhani hiyo namba 2 ndio inawaliza wazungu. Ila Mungu apishe mbali tutaanza kuogopana.Joto linaathiri muda wa kuishi wa kirusi hichi kikiwa nje ya mwili wabinadamu lakini siyo kwa kiasi kikubwa sana. Kibaya zaidi mtu unaweza kuwa navyo lakini asionyeshe dalili na akavisambaza pia.
Kwa kifupi, nimeelewa kuna aina mbili ya hivi virusi. Aina ya kwanza ikikupata unapata dalili za mafua na homa, koo kuuma lakini ukatibu kama mafua mengine ukapona. Aina ya pili ndio mbaya sana ambayo ina develop pneumonia, mapafu yanajaa maji inabidi mtu awekewe vifaa vya kupumua na kutoa maji mpaka apone. Hivyo vifaa mara nyingi vinapatikana hopitali kubwa, hasa vyumba vya ICU. Tanzania tunavyo vya kutosha kuhudumia mlipuko ukitokea?
Maji masafi na sabuni ndio wawe rafiki zetu wa kudumu kwa sasa.
Laiti serikali ingehakikisha stendi zote za vyombo vya usafiri, malango ya kuingilia sokoni, maeneo ya mikusanyiko yote, nk. kuwe na maji na sabuni. Watu walazimishwe kunawa mikono kabla ya kuingia na baada ya kutoka kwenye maeneo haya na vyombo vyote vya usafiri.
Kuna uzi humu unatoa updates za Virusi na maambukizi ya Corona au COVID-19:
Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)
Mkuu nadhani hakuna mtu mwenye presha sasa hivi kama Waziri wa Afya. Nadhani anaomba dawa igundulike fasta aziagize au hili balaa litoweke lenyewe kama ebola.Waziri wa afya yupo kimya tu anakenua na kuchekelea
Mkuu nadhani hakuna mtu mwenye presha sasa hivi kama Waziri wa Afya. Nadhani anaomba dawa igundulike fasta aziagize au hili balaa litoweke lenyewe kama ebola.
Kwani wagonjwa huwa wana mhuri usoni?Wachina ni jamaa zetu na wanaokuja ni wale wanaokuja kuendelea na kazi wala si wagonjwa wa corona tuelewane basi nyie vichwa vigumu kuelewa
Wanatakiwa kuziacha zijadiliwe hapa hapaBahati mbaya hata mada zinazohusu Corona na serikali, moderator wanazihamishia Jukwaa tofauti
Acha tusubiri tuone. Time will tellTunalindwa na Mwenge[emoji1241]