Uchaguzi 2020 Njia pekee ya Mwita Waitara kuwa mbunge wa Bunge lijalo ni kuteuliwa. Hakuna jimbo analoweza kuchaguliwa kwa kura, hana ushawishi wowote

Naukumbuka ule uzi wao wa "wabunge ambao mpaka Sasa wanasubiri kuapishwa", sijui matumaini huwa wanayatoa wapi hawa watu [emoji23][emoji23][emoji23]
Utadhan hawamjui vzr Jpm

Wanashinda kila siku kujadili Siasa lakini hawamjui JPM kuwa hataki kabisa kuwasikia Chadema ,
 
Utadhan hawamjui vzr Jpm

Wanashinda kila siku kujadili Siasa lakini hawamjui JPM kuwa hataki kabisa kuwasikia Chadema ,
Ilionekana wazi kwenye uchaguzi wa serikali za mtaa, jamaa wakimzilia watajaa kijani tu bungeni jamaa hajali
 
Kwahiyo ulitaka matokeo ya Jimbo gani yaanzwe kutangazwa ili huo uchaguzi yawe halali? Unaposema matokeo yalitangazwa bila kura kuhesabiwa, ina hamkua na mawakala kwenye vituo?
Hai ni miongoni mwa majimbo yenye wapiga kura wengi sasa iweje waanze kutangaza jimbo kubwa kama hilo wakati kuna vijimbo vina wapiga kura wachache.

Ilikuwa ni mkakati uliosukwa vema.
 
Mh. Niliifadhi ili andiko

Rejea[emoji21]
Kwa andiko hilo mwandishi alimuhusisha Mungu na kushindwa kwa Mbowe ubunge.
Sasa huyuhuyu aliyesema ni Mungu pekee ndio atakae mzuia Mbowe kuwa mbunge atalalamika kwamba Mbowe ameibiwa kura kwamba Mungu ameshindwa kuzuia wizi wa kura?
Tusimuhusishe Mungu na siasa zetu uchwara zisizo na muelekeo wa ukweli.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
 
Hai ni miongoni mwa majimbo yenye wapiga kura wengi sasa iweje waanze kutangaza jimbo kubwa kama hilo wakati kuna vijimbo vina wapiga kura wachache.

Ilikuwa ni mkakati uliosukwa vema.
Etiii, hiviii, Katiba inasema jimbo gani linapaswa kwanza kutangazwa matokeo yake?
 
Ukirudia kusoma hi post unajionaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…