Njia Rahisi ya Jinsi ya Kuacha Porno na Punyeto

Njia Rahisi ya Jinsi ya Kuacha Porno na Punyeto

kinachotokea ktk ulimwengubwa roho mtu anapojichua mapepo wabaya majini hupita kukusanya mbegu za wote wanajichua na kuzipeleka kuzimu.(ya wachawi,mapepo majini na shetani)
mbegu za mwanaume ndio zimebeba taarifa zake vinasaba DNA na uzao wake damu yake,hivyo ni nyota yake,zinapopelekwa ulimwengu wa kuzimu unakuwa wamechukua kitu cha thamani kwako,wanaenda kutumia wachawi,mapepo,shetani katika kazi zao za giza
unapata hasara na mbele za Mungu ni dhambi na dhambi ni mauti dhambi inakutenga na Mungu.
ukitubu dhambi na kuacha Mungu ni wa msamaha atakusamehe na atakurejeshea vyote alivyokuibia aduia katika ulimwengu usioonekana wa ROHO...
Vipi kama nikitumia kinga
 
Inawezekana kabisa.
Kama uko Dar hakikisha kila siku ukitoka kazini unapitia kwa wale dada poa wa buku mbili au tatu.
Namaanisha wale wa Temeke Sudan, Manzese kwa mfuga mbwa, Manzese kwa bakhresa, Mwananyamala na Msasani mandazi. Kwa Hawa unaweza kupiga hatawawili ilikuondoa hamu kabisa.
Utafika nyumbani hukumbuki Tena kujichukulia Sheria mkononi.
Yaani unamshauri haache uraibu wa punyeto alafu wakati huo unamshauri ajiingize kwenye uraibu wa kununua malaya?
Kama hawezi kudhibiti nyege zake aowe tu.
 
Vipi kama nikitumia kinga
KTK ulimwengu usioonekana wa ROHO,Family planning methods ikiwemo Mpira inayovaliwa wakati wa kukutana kimwili ilitengenezwa kwa lengo hilo,1.condoms kuiba mbegu za wanadamu hata ukiitupa katika shimo la choo majini wataichukua wanakusanya condoms zote zilizotumika wanaiba mbegu
2.njia nyingine za uzazi wa mpango kiroho zinafanya kazi baada ya mbegu kukutana na yai la mwanamke na embryo kutengenezwa contrary na science tunayofundishwa kuwa FP zinazuia fertilization,kiroho zinafanya abortion,ili kuwafarakanisha wanadamu na MUNGU wao.Kifupi ni dhambi ni kinyume na maagizo ya Mungu.
 
Yaani unamshauri haache uraibu wa punyeto alafu wakati huo unamshauri ajiingize kwenye uraibu wa kununua malaya?
Kama hawezi kudhibiti nyege zake aowe tu.
Kuoa sio suluhisho la kumaliza nyege.
Kuna wanawake wazuri kwenye department nyingine lakini kwenye sex Ni ziro kabisa ndio maana unakuta mtu ana mke mzuri tako lipo, uso unalipa, akili imo, elimu Hadi master's degree lkn mtu anakamchepuko hata elimu Hakana ispokua elimu ya kumhandle mwanamme mwenye pesa na nyege.
Kama lengo lako la kuoa Ni kumaliza hamu ya sex ujue umeshafeli maisha.
Oa mwanamke mwenye akili ya kuingiza pesa. Zichukue hizo pesa peleka kwa mchepuko.
 
Kuoa sio suluhisho la kumaliza nyege.
Kuna wanawake wazuri kwenye department nyingine lakini kwenye sex Ni ziro kabisa ndio maana unakuta mtu ana mke mzuri tako lipo, uso unalipa, akili imo, elimu Hadi master's degree lkn mtu anakamchepuko hata elimu Hakana ispokua elimu ya kumhandle mwanamme mwenye pesa na nyege.
Kama lengo lako la kuoa Ni kumaliza hamu ya sex ujue umeshafeli maisha.
Oa mwanamke mwenye akili ya kuingiza pesa. Zichukue hizo pesa peleka kwa mchepuko.
Siku zote malaya huna hana sababu ya msingi kufanya umalaya wake, bali huwa analeta visingizio ili kuhalalisha huo uzinzi wake.
Ni sawa mtu kuiba alafu ukamuuliza ni kwa nn una iba ,akakujibu ninaiba kwa sababu mm ni maskini hali ya kuwa kuna mabilion ya watu duniani ni maskini zaidi yake na hawajawahi kuiba wala hawafikirii.
Yaani umshauri mtu kuacha nyeto ambayo ilikuwa haimgharimu chochote zaidi ya 500 ya sabuni ,alafu wakati huo umshauri kuingia kwenye mtengo wa kuendekeza uzinzi utakao kuja kutafuna kipato chake na kumletea magonjwa sugu sasa hapo una kuwa umemsaidia au umemdidimiza zaidi?
Kwani lengo la mwanaume kufanya mapenzi si ili amwage shahawa ili ziache kumsumbua kiunoni au ww huwa kuna kitu cha ziada ambacho huwa una kifuata?
Alafu mwanaume kamili huwa haoi manamke ili aje kumsaidia maisha ukiona una mawazo ya kusaidiwa maisha na mwanamke jua uanaume wako unatia mashaka sana.
 
Siku zote malaya huna hana sababu ya msingi kufanya umalaya wake, bali huwa analeta visingizio ili kuhalalisha huo uzinzi wake.
Ni sawa mtu kuiba alafu ukamuuliza ni kwa nn una iba ,akakujibu ninaiba kwa sababu mm ni maskini hali ya kuwa kuna mabilion ya watu duniani ni maskini zaidi yake na hawajawahi kuiba wala hawafikirii.
Yaani umshauri mtu kuacha nyeto ambayo ilikuwa haimgharimu chochote zaidi ya 500 ya sabuni ,alafu wakati huo umshauri kuingia kwenye mtengo wa kuendekeza uzinzi utakao kuja kutafuna kipato chake na kumletea magonjwa sugu sasa hapo una kuwa umemsaidia au umemdidimiza zaidi?
Kwani lengo la mwanaume kufanya mapenzi si ili amwage shahawa ili ziache kumsumbua kiunoni au ww huwa kuna kitu cha ziada ambacho huwa una kifuata?
Alafu mwanaume kamili huwa haoi manamke ili aje kumsaidia maisha ukiona una mawazo ya kusaidiwa maisha na mwanamke jua uanaume wako unatia mashaka sana.
ITR nitakujibu nikitulia.
 
Huu ni UONGO na Ile umemkamulia Mwanamke kwenye tupu yake umemwagia ndani kisha anaenda kujisafisha CHOONI anajikamua zitoke hapo zinachukuliwa na nani?

Huu ni UONGO na Ile umemkamulia Mwanamke kwenye tupu yake umemwagia ndani kisha anaenda kujisafisha CHOONI anajikamua zitoke hapo zinachukuliwa na nani?
kama umekutana kimwili na mwanamke asiye mke wako wa ndoa yani kama umefanya dhambi ya zinaa,dhambi ni mlango unaowapa majini mawakala wa ufalme wa giza ikiwemo wachawi uhalali wa kukushambulia kiroho.Inawezekana zikaibiwa kama umezini .Ila kama ni tendo la ndoa halali na ni mke wako hapo upo salama.Na hata kuzini kwenye ndoto pia ni mashambulizi ya kiroho na haitakiwi kuota unazini.Ndoto zote katika ulimwengu wa roho ni halisi.
 
kama umekutana kimwili na mwanamke asiye mke wako wa ndoa yani kama umefanya dhambi ya zinaa,dhambi ni mlango unaowapa majini mawakala wa ufalme wa giza ikiwemo wachawi uhalali wa kukushambulia kiroho.Inawezekana zikaibiwa kama umezini .Ila kama ni tendo la ndoa halali na ni mke wako hapo upo salama.Na hata kuzini kwenye ndoto pia ni mashambulizi ya kiroho na haitakiwi kuota unazini.Ndoto zote katika ulimwengu wa roho ni halisi.
Wewe umeshawahi?
 
Back
Top Bottom