Njia Rahisi ya Jinsi ya Kuacha Porno na Punyeto

Njia Rahisi ya Jinsi ya Kuacha Porno na Punyeto

Inawezekana kabisa.
Kama uko Dar hakikisha kila siku ukitoka kazini unapitia kwa wale dada poa wa buku mbili au tatu.
Namaanisha wale wa Temeke Sudan, Manzese kwa mfuga mbwa, Manzese kwa bakhresa, Mwananyamala na Msasani mandazi. Kwa Hawa unaweza kupiga hatawawili ilikuondoa hamu kabisa.
Utafika nyumbani hukumbuki Tena kujichukulia Sheria mkononi.
 
Mkuu unademu labda au unampango mbadala wa kupeleka maziwa mtindi somewhere

Hapo kwenye kuamua mimi leo naamua maana nilianza kuamua toka nipo na miaka 14 mpaka leo sijawahi vusha mwezi
Identify triggers-vitu vinavyokufanya upige puchu

ukipata hizo triggers fanya mambo mengine ya maana

rinse and repeat

dem wa nini sio lazima
 
Bado young hivyo siwezi kuoa

Nyie mliachaje wadau ni jana tu nimesema mwisho ila muda huu hapa nimetoka kukirusha basi akili imerudi ndio hivyo tena huku nikiwa site za wakubwa mode trans

Sidhani kama inawezekana kuna watu waliweza epuka hii?
Anza kuoga chumvi ya mawe itakusaidia sana unapooga weka maneno nataka kuacha punyeto afu nyingine mwaga kitandani kidogo naamini unaacha
 
Akili yako iamini kuanzia sasa kuwa umeacha na akili yako ifute hiyo program ya kujichua,moyoni mwako amua kwa kumaamisha kuacha,na ukipata attack moto ya hisia ya kujichua ukija,kataa kemea hiyo hali na kuikataa,simamia maamuzi yako,wewe ndio u control akili yako
2.jiepushe na vichocheo kama mazingira,kusikiliza kutazama vichocheo vya ngono
3.imarisha ibada na MUNGU wako,fuata mafundisho mazuri ya Mungu,
inawezekana ukiamua na kusimamia maamuzi yako.
 
kinachotokea ktk ulimwengubwa roho mtu anapojichua mapepo wabaya majini hupita kukusanya mbegu za wote wanajichua na kuzipeleka kuzimu.(ya wachawi,mapepo majini na shetani)
mbegu za mwanaume ndio zimebeba taarifa zake vinasaba DNA na uzao wake damu yake,hivyo ni nyota yake,zinapopelekwa ulimwengu wa kuzimu unakuwa wamechukua kitu cha thamani kwako,wanaenda kutumia wachawi,mapepo,shetani katika kazi zao za giza
unapata hasara na mbele za Mungu ni dhambi na dhambi ni mauti dhambi inakutenga na Mungu.
ukitubu dhambi na kuacha Mungu ni wa msamaha atakusamehe na atakurejeshea vyote alivyokuibia aduia katika ulimwengu usioonekana wa ROHO...
 
Back
Top Bottom