Njia Rahisi ya Jinsi ya Kuacha Porno na Punyeto

Njia Rahisi ya Jinsi ya Kuacha Porno na Punyeto

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Punyeto, au masturbation, inaweza kuwa na madhara kadhaa kwa wanaume, pamoja na:
  1. Kuathiri uhusiano wa kimapenzi: Baadhi ya wanaume wanaweza kuhisi kujilaumu au hatia baada ya kufanya punyeto, ambayo inaweza kuathiri uhusiano wao wa kimapenzi.
  2. Kupunguza hisia za kujiamini: Baadhi ya wanaume wanaweza kuhisi hawana kujiamini wanapofanya punyeto mara kwa mara.
  3. Kuharibu uhusiano wa kingono: Punyeto inaweza kusababisha matatizo ya nguvu za kiume au kupunguza hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa wengine.
  4. Inaweza kusababisha kuumia: Punyeto inaweza kusababisha kuumia kwa viungo vya uzazi ikiwa inafanyika kwa nguvu sana au kwa njia isiyo salama.
Ni muhimu kufahamu kuwa kila mtu ni tofauti na athari za punyeto zinaweza kutofautiana kwa kila mtu. Kwa wengine, punyeto inaweza kuwa sehemu ya afya ya kinga ya kujamiiana na inaweza kuwa salama na yenye manufaa. Hata hivyo, kwa wengine, inaweza kuwa na athari hasi. Ni muhimu kuelewa jinsi punyeto inavyoathiri mwili wako na kufanya maamuzi yanayofaa kwa afya yako ya kimwili na kihisia. Ikiwa una wasiwasi kuhusu athari za punyeto, ni vyema kuzungumza na daktari au mshauri wa afya. Tuwasiliane 0788167284,
 
HABARI WANA JF
LEO TUPEANE MBINU NA TUWAPE MBINU VIJANA WENZETU

AU NDUGU ZETU

NAOMBA LEO TU SHARE IDEA JE

ULITUMIA NJIA GANI KUACHANA NA MCHEZO MCHAFU WA KUJICHUA
??????????
sex-6486927_1280.jpg
 
Mbona kujichua Safi Tu,halafu sio lazima wote muache Nyie wachache ndio wafuasi wa Pompey masturbator
 
Kuepuka kupiga nyeto jitaid sana kuto kaa pekee ako room kwa muda mrefu na kuchek ma pisi makali makali kwenye mitandao ya kijamii na kubwa zaid kuwa tayali kubadilika mwenyewe kabla ujachukua hatua yoyote
 
Ajichuaye ni MFUNGWA kama tu alivyo mlevi wa pombe au Zinaa au dawa za KULEVYA.

Anahitajika third part kumsaidia Kutoka kifungoni.
 
Mchezo mchafu ni kwa Mpalange tu,
Hebu ipe heshima Yake Nyeto mkuu
Ni mara 17 ukajichukulia hatua mkononi kuliko kuchukua hatua kwenda Kimboka au sinza kwa wa Inshomile,

Heshimu sana sana sana,
Soon nitaongea na Pope Franz tuiweke kwenye kundi la Sakrament takatifu ikiwemo Weed na mvinyo Mtakatifu!
Fa masikhara nini?
😁😁
 
Ajichuaye ni MFUNGWA kama tu alivyo mlevi wa pombe au Zinaa au dawa za KULEVYA.

Anahitajika third part kumsaidia Kutoka kifungoni.
Ufungwa gwa Newyorko Nyeto inapunguza madhara ya Dhambi iletayo majuto,
Imagine hupigi kupunguza nanii na uchukue hatua kwenda kwa Kimboka kuchukua Mwajuma na akupe Ngoma huoni utakua umeongeza idadi ya Dhambi ndugu mtumishi?

😁😁
 
Kukaziq tu kama unapiga nyeto bao moja ombq msaada hayo ni matumizi mabaya ya rasilimali mkono na nikinyume cha sheria namba 304 ya mwaka 1500000B.C ya upigaji nyeto
 
Back
Top Bottom