Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Sasa Mkuu kama hali ya usalama hujui ipoje?
Uimara wa sarafu hujui?
Fulsa za kibiashara hujui? Kinachokusukuma kutaka kuzamia katka hiyo nchi ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitaka niulize hayo maswali😇😇 .hna idea na kitu chochote kile 😛😛