ya mufindi
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 569
- 888
segitokamwene tuvayago tulipa kivembo ipaSafiri mpaka Kampala.Pale utapata magari mengi sana ya kwenda Juba.Maisha ya Sudan kusini ni ya kawaida tu na hali ya amani ni nzuri.machafuko hutokea lakini sio juba.ni miji ya jirani.Kuhusu biashara wengi wanajumulia biashara zao Uganda na kuzivusha Sudan.hali ya hewa ni kama umasaini tu.Kuwa makini na fata kilichokepeleka.
Sent using Jamii Forums mobile app
ni kujaribu tu maisha,you never knowKama maisha ya hapa penye mvua na mabonde yenye maji yamekushinda utaweza kweli maisha ya jangwani? Hio nchi ina vita miaka na miaka majeshi ya serikali na ya waasi jumlisha jangwa wananchi wanategemea mifugo kama wamasai
kwa ndege ni ug shs ngap?Kutokea Kampala,UG ni rahisi sana kufika South Sudan
Kwa ndege Unatokea wapi? Dar.?kwa ndege ni ug shs ngap?
kutokea kampalaKwa ndege Unatokea wapi? Dar.?
Uganda kwenda Sudani kusini ni karibu sana ndo maana kampala kuna wasudani wengi sana!! Kuna basi zinatokea kampala kwenda Sudani kusini..ni rahisi kufika
Mkuu ni mtaalamu wa ujenzi wa majumba ya kawaida,maghorofa,madaraja pia vipi unaonaje nikienda huko naweza pata fursa?Njia rahisi ni kupitia Uganda
Usalama kwa sasa upo, ukizingatia mwaka jana mwishoni viongozi wametia saini ya makubaliano ya amani
Sarafu yak wameifix kwa dollar 5 ya marekani, lakini dollar inathamani kubwa
Waganda na wakenya wapo wengi kwa ajili ya fursa iliyokuwepo sababu jamaa wengi wakule hawapendi kazi...
Rushwa imetamalaki....
Sent using Jamii Forums mobile app
BotswanaMkuu ni mtaalamu wa ujenzi wa majumba ya kawaida,maghorofa,madaraja pia vipi unaonaje nikienda huko naweza pata fursa?