Njia rahisi ya kung'arisha sink na tiles zako zenye uchafu sugu pasipo kupoteza muda na hela katika njia ambazo hazifanyi kazi

Njia rahisi ya kung'arisha sink na tiles zako zenye uchafu sugu pasipo kupoteza muda na hela katika njia ambazo hazifanyi kazi

Digital base

Senior Member
Joined
Jul 19, 2020
Posts
131
Reaction score
199
Habari ya leo wapendwa,leo nimekuja na somo la usafi kwa wale wanao penda usafi.

Vifaa.
1.Dawa ya kung'arisha masink na Tiles
2.Gloves
3.Mask
4.Viatu vya kufinika miguu.
5.Brash ngumu kubwa na
ndogo.

NAMNA YA KUSAFISHA
Kabla huja fungua dawa vaa gloves,mask na viatu miguuni kisha fungua dawa yako mwagia katika sink na utandaze kwa brash sehemu zote zenye uchafu sugu.

Mwagia katika Tiles na utandaze kwa brash sehemu zote zenye uchafu sugu na kwa zile za ukutani chovya brash katika dawa na upake maeneo yote yenye uchafu.

Kisha acha kwa dk.30 na uanze kusugua taratibu katika sink lako ama tiles usiende haraka sugua taratibu kwa dakika 40 katika sink na Tiles.

Mwagia maji kuondoa uchafu ulio kama tope ili kuacha mng'ao wa tiles na sink lako.

Hakikisha maji ya sabuni hayabaki katika sink ama tiles kila unapo oga ili kuzuia kurudia kwa unjano.

Je ume jaribu njia hizo na hujaona matokeo uliyo tarajia na unge penda uwe shuhuda unaye fata kwa kuondokana na tatizo la uchafu sugu nyumbani au ofisini kwako?
Kama jibu ni NDIO basi niambie una taka mimi nikusaidie nini katika kung'arisha masink yako na Tiles zako ili kurudia upya tena?

Karibu nikusaidie kuondokana na tatizo hilo la uchafu sugu kwa kutumia njia sahihi na ya muda mfupi pasipo kupoteza muda wako na hela katika njia ambazo hazi fanyi kazi.

Nitafute WhatsApp kwa number 0787181643

Tazama picture za mfano hapa chini kabla na baada ya kusafisha.

IMG_20210616_085113_045.jpg

IMG_20210616_124746_764.jpg
 
Unapatikana wapi.?
Je unayo hiyo dawa yakusugulia..?
Kama unayo unauzaje..? Kama huna je nidawa gani nzuri mana huko madukani zipo nyingi sana na nyingine hazileti matokeo mazuri
 
Unapatikana wapi.?
Je unayo hiyo dawa yakusugulia..?
Kama unayo unauzaje..? Kama huna je nidawa gani nzuri mana huko madukani zipo nyingi sana na nyingine hazileti matokeo mazuri
Mimi napatikana Dar pia dawa mimi nnazo natengeneza mwenyewe ina uwezo wa kung'arisha Tiles na Masink Lita 1 inauzwa 7000 japo hata dukani zipo ukienda ulizia Tiles cleaner Ila tofauti ni kwamba hazi leti matokeo Kama hayo mimi ni mjasiriamali nnaye jihusisha na usafi pia kwahyo zilikuwa zina niletea changamoto kwenye kazi nika amua kutafuta suluhisho langu mwenyewe ndo nikaweza Kutengeneza dawa hizi.
 
Mimi napatikana Dar pia dawa mimi nnazo natengeneza mwenyewe ina uwezo wa kung'arisha Tiles na Masink Lita 1 inauzwa 7000 japo hata dukani zipo ukienda ulizia Tiles cleaner Ila tofauti ni kwamba hazi leti matokeo Kama hayo mimi ni mjasiriamali nnaye jihusisha na usafi pia kwahyo zilikuwa zina niletea changamoto kwenye kazi nika amua kutafuta suluhisho langu mwenyewe ndo nikaweza Kutengeneza dawa hizi.
Nitakutafuta mdau minipo mkoani
 
Habari ya leo wakuu,

Mimi ni mjasiriamali napatikana Dar, najihusisha na usafi hasa uchafu sugu katika Tiles na Masink.

Ikiwa ume jenga nyumba yako uka fanya finishing kuka baki na uchafu katika Tiles ama Masink natoa huduma ya usafi wa kung'arisha kwa kutumia dawa nnazo tengeneza mwenyewe zenye uwezo mkubwa wa kuondoa madoa na uchafu wote kufanya Tiles zako na Masink kurudia mng'ao wake Asilia.

Ikiw una nyumba yako, Hotel ama sehemu yoyote ile na una tatizo la uchafu sugu katika Tiles na Masink yako tatizo lililo fanya Tiles zigeuke rangi kiasi kwamba kusafisha imekuwa tabu.

Usijali Katika hilo maana natoa pia huduma hiyo ya kung'arisha Tiles za aina hiyo na kurudisha mng'ao wa mwanzo kwa kutumia dawa zenye uwezo mkubwa sana kuondoa uchafu sugu kwa tiles zote za ukutani na chini.

Pia nang'arisha Masink aina zote.

Karibu nikuhudumie niambie changamoto yako ili nikusaidie kuitatua na ikiwa ntakufanyia usafi huu ntakupa maelekezo ya utunzaji kila siku kutabaki katika hari ya usafi pasipo kubadirika rangi.

Pia natoa huduma zingine zote za usafi kama,
-Kusafisha Sofa
-Kusafisha Vioo
-Kusafisha kuta za rangi zilizo na uchafu
-Kufyeka na kukwetua majani.

Pia nafanya Fumigation kuua wadudu wote Kama mende,kunguni,viroboto,mchwa,kutokomeza panya n.k kwa kutumia dawa zenye uwezo wa kuua ndani ya sekunde 30 tu ambazo pia natengeneza mwenyewe.

Nitafute WhatsApp kwa number hii 0787181643 nikuhudumie pia natoa huduma ya bure kama mfano.

Mfano wa kazi zangu nnazo fanya Picha za kabla na baada ya kusafisha

IMG_20210616_085113_045.jpg

IMG_20210616_124746_764.jpg

IMG_20210429_145954_379.jpg

IMG_20210430_113429_819.jpg
 
Back
Top Bottom