Njia rahisi ya kupata number ya mkaka/ mdada unayemcrushia

Mbinu za wapoloo
 
Utongozaji wa kizamani we fala tafuta mmoja uache ushamba wa kuwaza ngono ili upambane na umasikini wanawake hawataisha utaisha wewe.
 
Kuna mdada humu mwaka 2020 aliwahi kusema kwamba wanaume wa kisasa 95% hawawezi kutongoza ana kwa ana, kwamba wanatongozea kwenye thimu!

wakuu tunaingia 2023! shauri yako
 

Mkuu unatumia kinywaji gani nikupe ofa [emoji123]
 
Utongozaji wa kizamani we fala tafuta mmoja uache ushamba wa kuwaza ngono ili upambane na umasikini wanawake hawataisha utaisha wewe.
Umaskini ndo unakufanya utukane hovyo bila sababu ya msingi pumbavu!
 
Kazi yote ya nini? Si umuombe tu?

Mi siku hizi huwa natongoza kwanza, then itajulikana kama tunapeana namba.
 
Kuna mdada humu mwaka 2020 aliwahi kusema kwamba wanaume wa kisasa 95% hawawezi kutongoza ana kwa ana, kwamba wanatongozea kwenye thimu!

wakuu tunaingia 2023! shauri yako
😂😂
 
Ishakua kamzozo hapa nielekee kwenye mateka wima na soda mweleka.
 
Nakutaka
 
Umaskini ndo unakufanya utukane hovyo bila sababu ya msingi pumbavu!
Tajiri hana muda wa kuandika topic mbovu zisizo na kichwa wala miguu kama huna kitu kichwani jifunze kwenye topic za wataalamu wabobevu mtafute Robert Heriet atakusaidia kisaikolojia.
 
Mimi huwa nachukua namba zao kwa kuwaomba kuwapiga picha kutumia simu yangu

Hii simu ni hatari sana kwenye camera yaani nikishampiga/wapiga picha mbili tatu halafu nikawaonyesha hizo picha huwa nasikia waoooooooooo jamani picha nzuri

Nitumie/tutumie hizo picha

Hapo hapo naomba naomba yake/zao nawatumia kwa njia ya what's App halafu nazituma kwa njia ya documents inamfikia kama zilivyopigwa

HUO HUWA NI MWANZO MWEMA NA YAJAYO HUWA YANAFURAHISHA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…